Kumsamehe aliye kusaliti

Ni kwel mkuu vp kwa mfano mwnamke akakussliti mara ya kwanza akakili na akaomba msamaha yakaisha alafu baada ya muda Tena karudia Yale Yale Tena vp unaweza msamehe

NB : bado anakujali na heshima iko pale pale yaan hajabadilika kitu
Heshima gani iliyo palepale.......Mi nilisalitiwa na mke wa ndoa nikamsamehe....akarudia. nikaingia mahakamani nikadaka gamba muda huu kila mtu kimpango wake. Usicheze hicho kidonda hakipinagi ni kama kansa hivi. Ushauri wangu ukisalitiwa katika uchumba hiyo ni alam kiwa hicho kimeo.....unasamehe ili iwaje sasa
 
Mi sijawahi aisee! wenza wangu wote nimewaacha ingawa wengine walithubutu kuniambia hawatorudia
 
Hakika umenena ukwel mtupu mkuu
 
Daah aisee Sina cha kusema
 
pole sana
 
olver, post: 25267764, member: 415752"]Mfano hakuna sababu mkuu yaan mko Safi tuu hamjagombana wala nini[/QUOTE]
Nimesafiri mda,nimepata ulemavu wa mda kidogo km zaidi ya miaka miwili kutokana na maradhi labda sina namna.zipo nyingi
 
Mm mtu akinicheat huwa namwachia kovu au alama yyte mwilini. Nikikuacha hivihivi roho haitakati
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…