Rudia kusoma huenda utaelewa nilichokiandika.Uliwahi kuwauliza waliokuita MGOGO??
Wewe utakuwa bado ni .com.Wapi huko walikuwa wanawaita hivyo?
Huku kwetu ilikuwa ni njuka, nyoya au serengeti boy
Unaonaa , kuna jina jingine tena MAKAPIINyoa au nguruwe
We nahis umesoma bwiru boysNyoa au nguruwe
Ihungo mkuuWe nahis umesoma bwiru boys
umenikumbusha kipindi naingia form 1 nilikuwa na kimwili kidogo alafu mijezi mikuubwa, suruali hiloo shati kama nataka kupaaa
Hahahaha aseehmgogo hili neno ni uwingi wa neno kagogo, maana yake ni kukata gogo
Vizuri sanamgogo hili neno ni uwingi wa neno kagogo, maana yake ni kukata gogo
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us