Kumradhi Wagogo, inabidi tu niulize

fakalava

JF-Expert Member
Jul 16, 2015
4,459
6,024
Zamani ukiingia Form One wanafunzi uliowakuta watakuita Mgogo.

Hivi kwa sasa mbadala wa neno hili ni nini?
6bcf9f09c13e72e59144afa6cdcaa296.jpg

ca7b33f0f8965a7e4cff0b41ec0aad3c.jpg
 
Wapi huko walikuwa wanawaita hivyo?

Huku kwetu ilikuwa ni njuka, nyoya au serengeti boy
 
umenikumbusha kipindi naingia form 1 nilikuwa na kimwili kidogo alafu mijezi mikuubwa, suruali hiloo shati kama nataka kupaaa
siku tupo break kuna mjamaa akanita.. "wewe NJUKA ebu niungie miatatu hapo" kwa jinsi nilivyokuwa mdogo alafu muoga nikatoa mia tatu fasta huku nikibakiwa na mia mbili tu!
baadae nakuja kuambiwa yule mjamaa aliyeniita NJUKA kumbe na yeye alikuwa form one kama mimi... nimuoba mkaksi lakini nilishidwa kumfanya kitu chochote.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom