101 East
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 1,040
- 2,121
Matokeo ya Form 6 yametoka, tena Kuna shule nyingi ambazo Wanafunzi wote Wamepata division One tu. Mchepuo wa PCB Kuna Division 1.3 Kama zote.
Zamani ilikuwa ngumu sana kuona Ufaulu wa namna hii. Je ni kwamba Wanafunzi wa Siku hizi ni Smart zaidi?
Zamani ilikuwa ngumu sana kuona Ufaulu wa namna hii. Je ni kwamba Wanafunzi wa Siku hizi ni Smart zaidi?