Kumpenda mtu usiyemwamini!!!!!

Kumpenda mtu usiyemwamini!!!!!

Kuna sababu ya msingi inayoweza kukufanya umwamini mtu??

Trust nobody bana huku ni kutaka kujidisapoint kwa kujitakia
 
its possible kumpenda mtu at the same time kutomwamini ita happened once at my husband,nilijikuta simwamini without reason,yani alikua akitoka kazini nampekua kona zote kuanzia walet yake,mifuko ya suruali,gari,soksi viatu,boxa mwili,everything dah... i was stupid end of the day nikajiona mjinga maana nampekua mtu ambae hata sioni ninachotafuta hahaha
 
Inawezekana ukampenda mtu lakini haumwamini. Mfano mtu akiwa kicheche lakini we unampenda hivyo huwezi kumwamini. Cha kufanya ni kutomfuatilia sana ili kupunguza maumivu ya moyo.

ukweli mtupuuuu
 
kiukweli hivi vitu vinauma sana maana hata mm nilimuamini mtu sana matokeo yake ni mungu mwenyewe anajua so cha maana ni kupenda have fun hayo maswala ya uaminifu trust me yatakuja automatically maana hujui ni lini shetani atamuingilia mwenzi wako na kukutenda.
 
kuna uwezekano huo ni upendo wa vikojoleo tu... moyo na akili havijaridhia, ila vitafanyeje sasa ilhali kikojoleo kinataka?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom