Kumpenda mtu asiyekupenda inatesa sana!

Kumpenda mtu asiyekupenda inatesa sana!

Yaani kuweza naweza japo nilimuweka moyoni sana
Nadhani analipiza chungulia nyuma utanye tathimini si ajabu unakumbuka shuka kumekucha! Ukiwa tayari tuanze kukupa ushauri wa kurejesha penzi (nachukia wanaopenda kuachanisha wapenzi mara misuguano inapoanza)
 
Yaani haya mapenzi ni ya ajabu sana, kuna mtu nampenda sana ..kwakuwa anajua nampenda basi ndiyo ananinyanyasa kweli..

Nimekuwa mtu wa kulia tu...

Jana nimemkuta na msichana mwngine tena nahisi atakuwa bado mwanafunzi nikajifanya sijaona nikageuza haraka na kurudi home, nikijua atarudi home tuyaongee lkn mpaka hivi ninavyoandika hajarudi tangu tuonane ile Jana.

Nikipiga simu haipokelewi..nateseka sana jamani....msaada please ila mapenzi yanaumiza sana..
Njoo PM.tupange mikakati ya kumrusha roho.
 
Baada ya Yale masahibu yako ya aliyekuwa mume wako kumtafuna mdogo wako, kumpa ujauzito na hatimae kuachana, tayari umeanza mahusiano mapya eeh!!!

Pole sana, jamaa hakupendi, it's very simple, hakupendi, sijui kama wewe hulioni hilo au ni kengeza la mapenzi.

Halafu huyo jamaa asije kuishi kwa nyumba yako, usije kumshushua kama aliyekuwa mume wako.
leah2 unakumbuka ushauri wangu enzi hizo, utafute utaamini sasa niliyokuwa nakutahadharisha
 
Yaani haya mapenzi ni ya ajabu sana, kuna mtu nampenda sana ..kwakuwa anajua nampenda basi ndiyo ananinyanyasa kweli..

Nimekuwa mtu wa kulia tu...

Jana nimemkuta na msichana mwngine tena nahisi atakuwa bado mwanafunzi nikajifanya sijaona nikageuza haraka na kurudi home, nikijua atarudi home tuyaongee lkn mpaka hivi ninavyoandika hajarudi tangu tuonane ile Jana.

Nikipiga simu haipokelewi..nateseka sana jamani....msaada please ila mapenzi yanaumiza sana..
Jaribu kunipenda mimi, najua hutajuta! Mwanamke una Masters yako na kazi so hupaswi kulia kwa sababu ya mwanaume mmoja! Mungu kawaumba wengi tena wa maumbo tofauti tofauti, ukizinguliwa na mmoja mkubalie mwingine.
Penda unapopendeka na upendo ukiisha penda kwingine!
 
Jaribu kunipenda mimi, najua hutajuta! Mwanamke una Masters yako na kazi so hupaswi kulia kwa sababu ya mwanaume mmoja! Mungu kawaumba wengi tena wa maumbo tofauti tofauti, ukizinguliwa na mmoja mkubalie mwingine.
Penda unapopendeka na upendo ukiisha penda kwingine!
Hizo ndo gia zenu za kuingilia hata huyo mwanaume mwenzio alikuja hivyo hivyo
 
kawaida sana hiyo..... cha kufanya hapo na wewe tafuta mtu wa pembeni ili apate kukuliwaza

Anamwaga mboga unamwaga ugali.....
 
Back
Top Bottom