Ina maana wewe hujipikii kila siku unakula mgahawani?, gheto lako husafishi? hujifulii?, Kuniheshimu na kupenda ndugu zangu nayo ni kazi???? nimekua katika familia ambayo baba ni provider na mama ni stay at home mom, na nliokwambia yanawezekana 100%Aisee una demand vitu vingi sana kutoka Kwa binadamu mwenzio,ye mwenyewe hawezi kujifanyia yote hayo ataweza kukufanyia wewe?
Ndio maana nakwambia muhesabu visa haliwezi penzi,ukianza kusema mbona hanifulii,mbona hanisafishii geto mbona mbona hizo zikiwa nyingi,hamna penzi hapo...
Tutafanya vilivyo ndani ya uwezo wetu
Dada Joannah upo serious na ulichoniambia?? kama upo serious basi wewe kwenye ndoa ni BOSHENI PRO MAX, kwa hiyo mumeo aajiri housegirl, wanaume wangapi Tanzania mishahara yao inaweza ajiri house help? Nakutosheleza kipesa naku-treat vizuri, huendi kazini, from morning to jioni unashinda nyumbani, lakini kazi za nyumbani kufanya pia Kwa mustakabali wa mumeo na watoto pia hutaki
Wakulungwa, kama wanawake wenyewe ndio hawa, tuna hasara aisee, au usikute huyu ni slay queen wa tiktok..loooh dronedrake DeepPond Extrovert mshamba_hachekwi Mzee wa kupambania nionyesheni choo kilipo nikajambe ili nipunguze izi hasira
