Kumpa mwanamke pesa ni kumdharau

Kumpa mwanamke pesa ni kumdharau

Siku hz wanaume ni selfish sana unaweza maliza ufundi wako wote mwisho akamalizia na atakayekuoa atafaidi sana....kisa tu wanaona zile huduma unazompa wanahisi kwamba unapalilia ndoa kumbe maskini ya Mungu hata hauwazi hiyo kitu
Wajinga sana🤣🤣
 
Bibi zenu walikuwa wako composed. Unatunza kitu bikra unakula mzigo 0km kabisa hata ukiumwagia hela haina mbambamba. Hawaombi maana sio adabu kuomba omba.
Na babu zetu waliwastahili. Ila nyie ndio size zetu sasa, au umesahau unapewa wa kufanana nawe?

Basi nanyi msituombe ombe ebo😂
 
Back
Top Bottom