hhehe afya ya watoto lol....Bado hatujachelewa...........
Mi kesi za unyumba kusuluhishwa kanisani ni mwiko. Yaani nimpelekee padre/mchungaji mke wangu anisaidie kummega? Mi kama tumeshindwana, kila mtu achukue hamsini zake. We kamegwe huko nami nikamege huko, tukikutana tukaamua kukumbushiana kwa ajili ya afya ya watoto wetu, poa tu. Ukiamua kurudi baada ya kunogewa tena, poa tu. Msimamo ni uleule: MWANAUME HAKUUMBWA KWA AJILI YA MWANAMKE MMOJA!!!!!!!!!!!!!!!!
Nyamayao sasa likizo unampa ya siku ngapi? nakuona mkali wewe...
mwanamke cku hizi hutakiwi kulianzisha, unaharibu mazima yeye ndio alianzishe.......
....watafute kitu unique sio hiyo inanunuliwa kwa kina hao Eliza kwa shs 5000...
kuna frnd wa mr tulicmamia haruc yake, juzi mkewe kanical analiaa weee, kulikoni? ananiambia alimpa mr kila kitu kutoka mwilini mwake lakini kaja kujua mr ana mwanamke ana mimba nje, na kamuuliza mr, mr kakubali ni kweli ana mwanamke mwenye mimba, nikamuuliza kila kitu umempa kivipi? akaniambia hicho kitu, kidogo nipige yowe kwenye cmu, yaani cjui nani kawaambia wadada wakitoa hiyo ndio wanaume cjui watawapenda/watatulia yaani cjui kabisa....cjui kwa kweli....watafute kitu unique sio hiyo inanunuliwa kwa kina hao Eliza kwa shs 5000...
Hahahaha unaona shem ni mpole sana ndo maana unamkalia mkichwa.
Mind you watu wapole ni wabaya wanaua kimya kimya na hugundui hivi una hausi geli hapo kwako?
mwanamke cku hizi hutakiwi kulianzisha, unaharibu mazima yeye ndio alianzishe.......
Tena hawa wanaojifanya wakali ndio wanaibiwa kinoma.
ha ha ha nimeipenda hii Nyamayao! Akimwaga ugali unamwaga mboga!!hana upole wowote, ishu ni kwamba tumekutana vichaa wawili, bac maisha yanasonga.....
hana upole wowote, ishu ni kwamba tumekutana vichaa wawili, bac maisha yanasonga.....
hana upole wowote, ishu ni kwamba tumekutana vichaa wawili, bac maisha yanasonga.....
ooh yeah??
ngoja niondoke hapa usiijaribu imani yangu
Ni mbinu mpya ya kutaka talaka au? Yaani unamnyima halafu unaanza kumvizia na kumwekea wapelelezi ili umfumanie! Ingekuwa mie nikitendewa hivyo sitafanya kwa siri, na mtu akitaka kuishia aishie tu babake! Kama noma na iwe noma.
ca huko kuniibia cpajali mpaka nitakapomfuma.....yaani nikae niwaze naibiwa?...gosh nina mabo mengi ya kufanya sio kumwaza mtu na meno yake 32.....
umeonaa eeh, ukiingia kwenye game uwe ngangari dearest, c unaona jibu la chris hapo?
huu mjadala mgumu sana bora mie niliyo sing..........
Kama ndo hivyo mnazidiana wewe ndo unaongoza umemfunika yeye.
Hujui kuwa mafahari wawili hawakai zizi moja!
Yanatoka kumoyo haya?