- Thread starter
- #121
wanaume waaminifu ni wachache sana tena sana na kuna dalili kukawa hakuna mwaminifu baada ya muda mfupi, ndio mana wengine hatufikirii hayo bali heshima yake inahitajika sana tena sana...mengineyo Mungu anajua.
Lakini Nyamayao unasahau 'it takes two to tango', ili mwanaume afanikishe kukosa uaminifu lazima apate mwanamke wa kushirikiana naye. Kwa hiyo unamaanisha hakuna binadamu mwaminifu?