The ice breaker
JF-Expert Member
- Apr 20, 2023
- 1,119
- 2,427
Inasikitisha sana
Nimepita Kawe hapa, aiseee wanachi wanapigwa na jua mpka huruma, na bado wana hongwa baiskeli na nyama za ng'ombe.
Ila wanasiasa wanabagaza, na kubananga kodi za wananchi kwa kununua magari makali , na kuishi maisha ya starehe, mbaya zaidi pesa zingine wamezificha huko nchi za watu .
Mtaji wa wanasiasa ni wananchi wapumbavu na raia masikini wenye kipato cha chini sana.
Nasikia idadi kubwa ya watu , wametokea huko Temeke, it means huko Temeke kuna mambumbu wengu na low income enarners ni wengi..
Nimepita Kawe hapa, aiseee wanachi wanapigwa na jua mpka huruma, na bado wana hongwa baiskeli na nyama za ng'ombe.
Ila wanasiasa wanabagaza, na kubananga kodi za wananchi kwa kununua magari makali , na kuishi maisha ya starehe, mbaya zaidi pesa zingine wamezificha huko nchi za watu .
Mtaji wa wanasiasa ni wananchi wapumbavu na raia masikini wenye kipato cha chini sana.
Nasikia idadi kubwa ya watu , wametokea huko Temeke, it means huko Temeke kuna mambumbu wengu na low income enarners ni wengi..