GenuineMan
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 5,253
- 11,602
Na wewe ni mke wake?@Asprin aje aseme hapa anamiliki wake wangapi!!!! La sivyo leo patachimbika
Sent using Jamii Forums mobile app
Na wewe ni mke wake?@Asprin aje aseme hapa anamiliki wake wangapi!!!! La sivyo leo patachimbika
kisu kimefika kwenye mfupa 😅Nyuzi kama hizi pepo mchafu atoke nazo kabla mume wangu Asprin hajazisoma.
Nakubali kwa asilimia zoteNani kawaroga enyi wanaume wa ki,zazi hiki? Unaanzaje kufanya ujinga huu wa kumuandaa mwanamke ili akuache baadaye?
Ndiyo! Kumfungulia mwanamke biashara YAKE ni maandalizi muhimu ya kutaka akuache siku za usoni. Kwasabb unampa uwezo wa kiuchumi ili asimame peke yake.
Mwanamke ili atulie kwenye ndoa anapaswa awe INSECURE ama kiuchumi au kijamii.
Mbaya zaidi wanaume wengi kwa upofu wa mapenzi tu huwaambia kabisa "hii biashara ni yako mke wangu" (kwa sauti ya kubana pua). Yaani biashara ni ya mke siyo ya familia.
USHAURI: Mwanaume fungua biashara ya familia halafu muweke mkeo aisimamie kama wewe uko bize, lkn uifuatilie kana kwamba umeajili mwizi kwenye biashara yako. Vinginevyo ataiba na biashara itakufa ama utadhulumiwa asubuhi na mapema na kisha utaachwa.
Mm Sexless nimefanya Sana kazi za ukungwi nimeyaona matatizo mengi yanayosabanisha migogoro ya ndoa. Hivi sasa migogoro ambayo chanzo chake ni wanaume kuwafungulia biashara wake zao imeshika kasi sana.
Si kweli naona ni upungufu tu wa akil...Nani kawaroga enyi wanaume wa ki,zazi hiki? Unaanzaje kufanya ujinga huu wa kumuandaa mwanamke ili akuache baadaye?
Ndiyo! Kumfungulia mwanamke biashara YAKE ni maandalizi muhimu ya kutaka akuache siku za usoni. Kwasabb unampa uwezo wa kiuchumi ili asimame peke yake.
Mwanamke ili atulie kwenye ndoa anapaswa awe INSECURE ama kiuchumi au kijamii.
Mbaya zaidi wanaume wengi kwa upofu wa mapenzi tu huwaambia kabisa "hii biashara ni yako mke wangu" (kwa sauti ya kubana pua). Yaani biashara ni ya mke siyo ya familia.
USHAURI: Mwanaume fungua biashara ya familia halafu muweke mkeo aisimamie kama wewe uko bize, lkn uifuatilie kana kwamba umeajili mwizi kwenye biashara yako. Vinginevyo ataiba na biashara itakufa ama utadhulumiwa asubuhi na mapema na kisha utaachwa.
Mm Sexless nimefanya Sana kazi za ukungwi nimeyaona matatizo mengi yanayosabanisha migogoro ya ndoa. Hivi sasa migogoro ambayo chanzo chake ni wanaume kuwafungulia biashara wake zao imeshika kasi sana.
Halaf ukute anamsambwana was mama zuchu Sasa....Tako Kama kichuguu Cha Mbagala...hatari sanaKwanini wanawake hupenda kulala tena chini kabisa kwenye maeneo yao ya biashara?
Unakuta katandika mtandio /kanga analala chini eneo la biashara
Labda wanawake wa buza Kwa mama kibonge mwanamke wa kichaga huwezi kuta kalala dukani miaka MilioniKwanini wanawake hupenda kulala tena chini kabisa kwenye maeneo yao ya biashara?
Unakuta katandika mtandio /kanga analala chini eneo la biashara
Mbona hapo Buza kuna wanawake wa kichaga na tunawaona mara kibao wanalala lala tuLabda wanawake wa buza Kwa mama kibonge mwanamke wa kichaga huwezi kuta kalala dukani miaka Milioni
Acha ujinga wewe, unadanganyaje Watu wazima kizembe hivyo nakati mitaani tunawaona na hata kwenye madawati ya jinsi ya Ke na Watoto wameachika sana kwa sababu hizo hizo za biashara & kazi?ukiona hvyo yan huyo mwanamke alikukubali coz alikuwa anashida za kiuchumi au maden huko kwao lakin wengi walioana kwa true love watu wanaish vizur tu
Ndo maana msioe wachagaKabisa isiwe yake Pasee iwe ya familia yeye awe msimamizi tu,maana wanawake wa leo wapo KICHAPAA zaidi.
Niliambiwa huu ujinga na Ke wangu, nikacheka kimya kimya rohoni hiiiiiiiiiii(Late JPM'S voice)Baada ya ile ya kusomesha tunaongeza na hii
Ni mchumba siyo mke. Somesha mkeo halali ila vijana wa chuo lazima wakapone hosteli huko.Niliambiwa huu ujinga na Ke wangu, nikacheka kimya kimya rohoni hiiiiiiiiiii(Late JPM'S voice)
Kilichofatia hadi sasa haamini