Kumekucha, ni suala la muda tu. Taratibu sote tutaelewana na kuongea lugha moja!

Mag3

Platinum Member
May 31, 2008
13,078
22,793


Nimemsikiliza kwa makini sana Mbunge Joseph Kasheku (Musukuma) akizungumza bungeni alipopewa nafasi.

Japo mimi si mpenzi wa mbunge huyu lakini hata saa mbovu ukutani, kuna wakati unaweza kuitizama na kukiri inasema kweli.

Najua hata mimi si mpenzi wa wana JF wengi lakini nawaombeni mumsikilize kwa makini kama nilivyofanya halafu muamue wenyewe.

Angeongea haya Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Mh. Tundu Antiphas Lissu wala nisingehangaika kuleta aliyosema humu.
 
View attachment 2987538

Nimemsikiliza kwa makini sana Mbunge Joseph Kasheku (Musukuma) akizungumza bungeni alipopewa nafasi.

Japo mimi si mpenzi wa mbunge huyu lakini hata saa mbovu ukutani, kuna wakati unaweza kuitizama na kukiri inasema kweli.

Najua hata mimi si mpenzi wa wana JF wengi lakini nawaombeni mumsikilize kwa makini kama nilivyofanya halafu muamue wenyewe.

Angeongea haya Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Mh. Tundu Antiphas Lissu wala nisingehangaika kuleta aliyosema humu.
Zote ni point!!!!!!!!!!!!!!!!!1

Kaacha maneno mawili: Disgusting & Abominable!!
 
hakuna mbunge mwenye guts za kuchukua maamuzi, hakuna kitu hapo, we said it before, tutasema tena na tena CCM ni part and parcel ya haya mauchafu.
 
Ameongea point mhimu zote isipokuwa nampinga kwa wezi hao kupewa adhabu ya kwenda jela kufanyishwa adhabu ya kulima

Hoja ya mwizi akatumikie adhabu kwa kulimishwa, inatudhalilisha wakulima na kuonekana sisi tunatumikia adhabu hapa duniani

Mwizi anyongwe na ama aogelee viboko kila siku
 
Ameongea point mhimu zote isipokuwa nampinga kwa wezi hao kupewa adhabu ya kwenda jela kuganyishwa adhabu ya kulima

Hoja ya mwizi akatumikie adhabu kwa kulimishwa, inatudhalilisha wakulima na kuonekana sisi tunatumikia adhabu hapa duniani

Mwizi anyongwe na ama aogelee viboko kila siku

Nchi masikini na za watu wajinga huwa wanadhani kilimo ni mateso.
 
View attachment 2987538

Nimemsikiliza kwa makini sana Mbunge Joseph Kasheku (Musukuma) akizungumza bungeni alipopewa nafasi.

Japo mimi si mpenzi wa mbunge huyu lakini hata saa mbovu ukutani, kuna wakati unaweza kuitizama na kukiri inasema kweli.

Najua hata mimi si mpenzi wa wana JF wengi lakini nawaombeni mumsikilize kwa makini kama nilivyofanya halafu muamue wenyewe.

Angeongea haya Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Mh. Tundu Antiphas Lissu wala nisingehangaika kuleta aliyosema humu.
KADCO ni kampuni ya mtu binafsi hapa Tanzania sijui ni nani.🤣🤣🤣🤣

Wezi ni viongozi Wakuu wa Serikali hususani wakisiasa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom