COARTEM
JF-Expert Member
- Nov 26, 2013
- 3,617
- 3,681
Acha ujinga, pesa ya serikali ya vocha inatoka wapi?Ni kweli zoezi halina shida kama mtu hataki kuwa na laini ya TTCL, ni kwamba asichukue pesa ya serikali kwa kununua voucher za mitandao mingine.Ukitaka financial independence, usipende pesa za bure pia.
Pumbavu zenu