Fisadidagaa
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 961
- 233
kwami maazimio ya bunge yanatakiwa kutimizqa baada ya muda gani???!
Baada ya CAG mpya kupitia ripoti ya CAG wa zamani na kusema FEDHA SIYO ZA UMMA!
kwami maazimio ya bunge yanatakiwa kutimizqa baada ya muda gani???!
Kwani ripoti ya CAG ilisema za umma ama la?
Hebu jaribu kuwa mkweli japo kiduchu.
Jambo lipo mana huyu Assad jana baada ya kuapishwa ametamka eti kufanya tathmini tena kama pesa ni za umma ama la., kuna kamchezo flani ccm wanajaribu cijuwi itaishia vipi hii movie. let c..
Ilisema ni za umma
hivi kwanini aliekua anakaimu nafasi ya cag hakuteuliwa cag badala yake akateuliwa mtu ambaye alikua nje ya taasisi?
kumbuka waraka wa kakobe utajua unalosema!!!
Aksante mkuu.Wakuu naomba kuweka wazi kinachoendelea.
Gazeti la Mwananchi limechapisha habari jana kuwa Bodi ya TRA (TRAB) imemsimamisha Kamishan wa TRA kutofuta hati za mauziano ya hisa kati Mechmar na Piperlink na Piperlink kwenda PAP.
Hii imetokana na ripoti ya TRA kuonyesha kuwa uuzaji wa hisa hizo ilikuwa ni uongo. Sasa Kamishna jana ameamua kufuta hizo hati na kilichonishangaza zaidi ni baada ya Zitto kutweet kuwa bodi ya TRA (TRBA) haikukaa na kutoa hili zuio kwa Kamishna. Kwa maana nyingine habari zilizochapishwa na Mwananchi jana hazikuwa za kweli.
Sasa kinachoendelea PAP na IPTL ndio wamemfungulia mashtaka Kamishner kwa kufuta hati hizo kwani alikiuka agizo la bodi ya TRA yaani TRAB)
Utouh alishamaliza kila kitu , CCM tu wamechakachua tukaletewa ripoti baridi.Hata Utouh alitolewa nje (NBAA) wakati kulikuwa na mtu ndani anakaimu. Hiyo kazi siyo mchezo kwamba umpe mtu yeyote ati kwa sababu tu ni wa ndani au alikuwa anakaimu.
Lakini pia kama unataka kuhusisha na ripoti ya CAG ya Escrow ni vyema ukajua kwamba Utouh alishamaliza hiyo kazi kwa asilimia 95 kabla ya kustaafu
Uongo huo. Huna hata haya?
.Jambo lipo mana huyu Assad jana baada ya kuapishwa ametamka eti kufanya tathmini tena kama pesa ni za umma ama la., kuna kamchezo flani ccm wanajaribu cijuwi itaishia vipi hii movie. let c..
Uongo huo. Huna hata haya?
Kama tanesco wamekiri kwamba invoices walizokuwa wanapelekewa zilikuwa zina VAT basi hakuna shaka ye yote kuwa FEDHA ZA VAT ni fedha za umma.
Kihasibu kama IPTL alifanya manunuzi makubwa yeye VAT kuliko MAUZO yenye vat,IPTL wanawajibika kisheria kuiomba tra iwalipe IPTL tofauti ya vatput na vatinput.Kinyume pia ni kweli kwamba kama IPTL walikuwa na makusanyo MAKUBWA KWA MAUZO YENYE VAT kuliko MANUNUZI yenye VAT waliwajika kuilipa TRA tofauti ya vatoutput na vatinput.
Prof. Mussa Assad ni mtu mweledi na msomi mwenye msimamo thabiti, hawezi kufanya ujinga wa aina yoyote. Yeye ni professional aliyebobea. CAG alituachia swali gumu ambalo linatakiwa kupatiwa majawabu: kwamba kwenye pesa za escrow huenda kuna pesa za serikali, je ni kaisi gani ama angetupatia scenerio analysis ya kuonyesha hizo pesa za serikali na ambazo si za serikali ni zipi.Jambo lipo mana huyu Assad jana baada ya kuapishwa ametamka eti kufanya tathmini tena kama pesa ni za umma ama la., kuna kamchezo flani ccm wanajaribu cijuwi itaishia vipi hii movie. let c..