Kumekucha TRA

Kumekucha TRA

Kwasababu aliyekuwa ana act ni mbabaishaji na hafai kuwa CAG. Alitumia sakata la Escrow kujikomba kwenye system badala ya kunyoosha mstari kama alivyokuwa boss wake aliyestaafu. CAG gani haju kama fedha ni za nani wakati huo fedha hizo zipo BOT? "eti zile fedha zinaweza kuwa za serikali ama sio za serikali. BOT inakaa fedha ya umma tu. Full stop. Huyu fara Kikwete kamtendea haki kutokumteua.
Aliyeteuliwa alikuwa ni mwalimu chuo kikuu na ni prefossor. Uzoefu umeonyesha kuwa wanaodandia siasa kwa mbele yaani wanojiunga na siasa uzeeni wakiwa maprofessor wengi ni feki kasoro Mwandosya tu. So huyu sitegemei jipya. Kubobea kwenye uhasibu na kuongoza ukaguzi na udhibiti ni vitu viwili tofauti japo vinahusiana.

wewe chizi ulichoandika hata hakieleweki, ebu rudia kusoma comment yako inawezekana wewe mwenyewe usielewe.
 
Prof. Mussa Assad ni mtu mweledi na msomi mwenye msimamo thabiti, hawezi kufanya ujinga wa aina yoyote. Yeye ni professional aliyebobea. CAG alituachia swali gumu ambalo linatakiwa kupatiwa majawabu: kwamba kwenye pesa za escrow huenda kuna pesa za serikali, je ni kaisi gani ama angetupatia scenerio analysis ya kuonyesha hizo pesa za serikali na ambazo si za serikali ni zipi.

Hakuna mtu, kampuni au shirika binafsi ambalo litakaa tu na kuanza kugawa fedha zake kama njugu au zawadi kwa watu Fulani kw kiwango cha chini mil40 mpaka kufikia dola mili 1.6 au wengine hadi milioni 400. ukiambiwa changanya na zako hii fedha ni ya umma.
 
Mi nilishtuka tangu siku Pinda anaahilisha Bunge, alipopayuka eti wanamwachia Kazi CAG abaini fedha ni za nani? kwa matamshi yale ina maana wanamtaka CAG aainishe kwa matakwa yao na si kwa uhalisia,
kazi iliyokuwa mbele ni TAnesco ku re calculate na kujua pesa yao kiasi gani na Kodi kiasi gani sasa haya mambo ya CAG kuanza tena kutathmini, anatathimni kipi, anatathmini kazi ya CAG mwenzake? haamini alichokianza mwenzake? aangalie sana asidhani hii nchi ni ya wateule wachache.

Kama ningepewa kuwa Pinda kwa dk 5 nisingezungumza tena kuhusu pesa za escrow bado hazifahamiki ni za nani. Hata pamoja na kuanza kusema kuwa hakuwa na nia ya kuchafua hali ya hewa, bado alipaswa kuwa na busara kidogo. Hii issue ya escrow inaonesha kuna giza nene mbele ya safari. Mungu atusaidie tusiingie vitani.
 
Labda kuna kitu ambacho binadam wengi hatukijui ktk siasa.Ni hivi; Katika siasa siku zote uteuzi unafanyika ili MTEULIWA akalinde aidha MASLAHI BINAFSI ya MTU AU TASISI iliyomteua au MFUMO ambao mteuliwa anaenda kuutumikia.Na wakati mwingine kulinda vyote;yaani MFUMO NA MASLAHI YA MTU au TASISI ULIYOMTEUA. Kwa hiyo Uteuzi wa CAG umezingatia mahitaji ya mfumo uliopo madarakani na agenda za mteuzi wake.Kwa hiyo CAG ATAFANYA KAZI KWA KUZINGATIA NA KUFUATA MAELEKEZO YA KIKWETE na sivinginevyo. Hivyo Tusitegemee jipya...
 
labda kuna kitu ambacho binadam wengi hatukijui ktk siasa.ni hivi; katika siasa siku zote uteuzi unafanyika ili mteuliwa akalinde aidha maslahi binafsi ya mtu au tasisi iliyomteua au mfumo ambao mteuliwa anaenda kuutumikia.na wakati mwingine kulinda vyote;yaani mfumo na maslahi ya mtu au tasisi uliyomteua. Kwa hiyo uteuzi wa cag umezingatia mahitaji ya mfumo uliopo madarakani na agenda za mteuzi wake.kwa hiyo cag atafanya kazi kwa kuzingatia na kufuata maelekezo ya kikwete na sivinginevyo. Hivyo tusitegemee jipya...

wewe ndo umeongea ukweli, na kwa kuongezea tu maprofesa weng waliopo c.c.m ni wezi wakubwa
 
Baada ya CAG mpya kupitia ripoti ya CAG wa zamani na kusema FEDHA SIYO ZA UMMA!

Rafiki je wajua sheria za CAG? Hawezi kufuta kitu chochote kwenye ripoti ya mwenzake sababu atakuwa anaenda kinyume na Professional Code of Conduct na ikithibitika ananyanyang'anywa professional certificate yake na hata kama ni mteuliwa wa rais anakuwa hana hadhi ya kuwa CAG, hivyo hataweza kuwa CAG na bodi itamshauri ajiuzulu.Upo?
 
Back
Top Bottom