KUMEKUCHA: Tanzania Kupokea 5% Ya Project Bomba La Mafuta Kutoka Uganda, Kinyume Na Magufuli Alivyowaaminisha Raia Wake

Habari Wana Jamvi,

Katika pita pita za kuchambua, kudadisi, kufuatilia, kuchunguza na kuperuzi baadhi ya mambo yanayo endelea kwa maslahi ya taifa letu, mara baada ya report ya CAG kutoka na baadhi ya raia kuhoji kuhusu hatima ya project ambazo aliacha Marehemu Magufuli.

Raia tumefumbuliwa macho na CAG (Japo kuna baadhi yetu tulikua macho kibishi bishi kweli, hata kipindi Marehemu alipojaribu kutumwagia pilipili na upupu machoni ili tuyafumbe, na aliona haitoshi akaamua kututoboa macho kabisa tusione).

Nimekutana na hii issue ya project ya bomba la mafuta, ambayo nimeileta kama hoja binafsi mbele ya "BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA JAMIIFORUMS" ijadiliwe. Mheshimiwa Speaker, naomba muongozo niwakilishe hoja;

Nirudi kwenye mada husika,

Hivi karibuni, mara baada ya Rais Mama Samia kuapishwa tu, siku ya pili alifanya ziara ya kikazi kwenda nchini Uganda kufuatilia makubaliano yaliofikiwa na Rais Museven pamoja na Marehemu Magufuli.

Project hio ambayo inategemewa kuwa ndio bomba refu zaidi duniani la kusafirisha mafuta, lenye thamani ya Mabillioni Ya USD, ambalo linatarajiwa kuwa na;

1) Bomba Zenye Unene Wa 24" (Insulated 24 Inch Pipeline).

2) Ujazo Wa 216,000 Bopd (Design Capacity).

3) Bomba Refu Kuliko Yote Duniani Ya Kusafirisha Mafuta Kwa Kuyachemsha (Longest Trace Heated Pipeline In The World).

4) Mafuta Ghafi Mpaka Yenye Nyuzi Joto 45°C (45°C PP).

5) Vituo 16 Vya Usimamizi Na Plant 1 Ya Kukoat Mafuta Ghafi (16 Camps & 1 Coating Plant).

6) Vituo 6 Vya Kusukuma Mafuta (6 Pump Stations PS).

7) Vituo 2 Vya Kupunguza Presha (2 Reduction Pressure Stations PRS).

8) Generator Za Kisasa Katika Kituo PS 3 & PS 5 Na Terminal.

9) Marine Storage & Export Terminal.

Swala la mkataba wa makubaliano wa hio project ya bomba la mafuta liliwekwa wazi na Rais Magufuli alipo mkaribisha chato Rais Museven mnamo mwaka jana, na aliliongelea kabla ya umauti kumfika mwaka huu.

Tanzania iliingia makubaliano na Uganda ya ujenzi wa bomba hilo lenye thamani ya Mabillioni mara baada ya kuipiga chini Kenya (Ambayo awali ndio ilianza majadiliano na Uganda).

Rais Magufuli alisema "Tanzania ndio nchi itakayo faidika zaidi na bomba hilo kwa asilimia 70%" pindi alipomkaribisha Rais Museven chato, jambo ambalo raia waliamini na kufurahishwa sana nchi nzima. Raia kwenye hii project walijua hakika tumepiga bingo haijawahi kutokea katika taifa letu (70% si mchezo).

Binafsi, nlishtuka na mahesabu hayakuingia akilini, yaani Tanzania ipate 70%, halafu 30% Uganda na Kampuni Ya Total wagawane. Ila sikuwa jinsi ila kuamini kwasababu mikataba haikuwekwa wazi.

Hivi karibuni, report zimeanza kuwekwa wazi na wahusika wa project hio (Ikiwemo kampuni kubwa ya Mafuta Duniani TOTAL) mara baada ya Rais Samia kufanya ziaya ya kikazi nchini Uganda na kukamilisha sambamba na kumalizia kazi alioianza Rais aliemtangulia.

Mataifa ya wenzetu HAYANA USIRI pamoja na kuwa na UWAZI kwenye mambo yenye maslahi ya kitaifa na makampuni yao. Tofauti na hapa kwetu.

REPORT; Tanzania itapata 5% (Sio 70% kama Magufuli alivyosema na kuwaaminisha Raia), Ugands itapata 15%, wakati CNOON Ltd itapata 8%, na 72% zitachukuliwa na kampuni nguli kutoka nchini France ya TOTAL.


View attachment 1762911


HOJA YANGU;

Sio Tanzania kupewa asilimia chache (5%) katika hio project, hapana, hata tungepewa 2% isingekuwa tatizo. ila point ni "KWANINI VIONGOZI WALITUMIA UONGO KUWAAMINISHA WANANCHI".

Hii sio mara ya kwanza viongozi wa nchi kudanganya raia, ilitokea kwenye;

1) Swala la ATCL kuwaaminisha watanzania kwamba shirika linafanya kazi kwa "FAIDA" kupelekea hata kuipa serikali gawio la faida.

2) Swala la Corona, raia walidanganywa na kuaminishwa kwamba hakuna Corona nchini, ila watu wengi walipoteza maisha kwa Corona (Mpaka baadhi ya Viongozi Wa Vyama Vya Upinzani na Maproffesor Wa Ngazi Za Juu).

3) Swala la kuaminisha watanzania kwamba hakuna ufisadi na upotevu wa hela za wanyonge katika serikali ya awamu ya 5. Ila report ya CAG imetoa hati mbaya kwa baadhi ya wizara kwasababu ya matumizi makubwa ya pesa za watanzania (Wizara nyingine kutumia hela zaidi ya budget walizowekewa).
Soma uelewe wewe mdudu. Sio unakimbilia kubweka bweka hovyo kama una kichaa cha mbwa (distemper).

Nenda kwenye thread za Diamond Platnumz mkabishane kama amenunua ndege au amenunua kipeperushi hicho, huku hapakufai kijana.

Mzee wenu alikua ana laana ya uongo.
KUDOS.............

“Never argue with an idiot. They will drag you down to their level and beat you with experience.”​

 
Tuwe realistic kidogo. Ada ya kupitisha mafuta si ndogo. Ardhi mtafidiwa na bado mtapata ada ya kupitisha mafuta. Tatizo letu waswahili ni kutaka kikubwa bila kuangalia kuwa itakuwaje hata ukikosa hicho kidogo. Nadhani Kenya walikuwa wako tayari kutoa concession chini ya hapo. Kuna faida nyingine kama vile peaceful coexistence baina ya mataifa yanayoingia kwenye biashara kama hii na mengine mengi.
Tunafail sana Watanzania, kujibu tusiloulizwa. Mtoa mada anazungumzia issue ya kuambiwa ukweli, issue ya asilimia kuwa kubwa au ndogo siyo hoja. Tusome mada na kuchangia mada kama ilivyotolewa.
 
Tunafail sana Watanzania, kujibu tusiloulizwa. Mtoa mada anazungumzia issue ya kuambiwa ukweli, issue ya asilimia kuwa kubwa au ndogo siyo hoja. Tusome mada na kuchangia mada kama ilivyotolewa.
Kama unfail kuelewa ni wewe. Usitake kutuingiza na kututwisha ujinga wako. Mbona issue iko wazi kama tuvoidurusu na Bulesi bila mkanganyiko unaotaka kuuzusha. Nadhan argument iko kwenye kwanini asilimia tano badala ya 70. Simple and clear. Wapi utata hapa au kushindwa kuelewa na kujibu kinachoulizwa?
 
Imani yangu, wewe ndio sio mfatiliaji wa mambo kwa undani, na ndio mliokua mkiaminishwa hata ATCL kufanya kazi kwa faida na kuipa serikali gawio.

Hoja ni fupi; KWANINI RAIA TULIDANGANYWA? Tungeambiwa ukweli kuwa tunapata 5% au 1% wala tusingekataa, tungekubali. Ila Magufuli Kila kitu kwake kilikua kinaendeshwa kwa mwendo wa uongo uongo uongo na propaganda tu.
We ndo hukuelewa maana ya hiyo 70%
 
W
Habari Wana Jamvi,

Katika pita pita za kuchambua, kudadisi, kufuatilia, kuchunguza na kuperuzi baadhi ya mambo yanayo endelea kwa maslahi ya taifa letu, mara baada ya report ya CAG kutoka na baadhi ya raia kuhoji kuhusu hatima ya project ambazo aliacha Marehemu Magufuli.

Raia tumefumbuliwa macho na CAG (Japo kuna baadhi yetu tulikua macho kibishi bishi kweli, hata kipindi Marehemu alipojaribu kutumwagia pilipili na upupu machoni ili tuyafumbe, na aliona haitoshi akaamua kututoboa macho kabisa tusione).

Nimekutana na hii issue ya project ya bomba la mafuta, ambayo nimeileta kama hoja binafsi mbele ya "BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA JAMIIFORUMS" ijadiliwe. Mheshimiwa Speaker, naomba muongozo niwakilishe hoja;

Nirudi kwenye mada husika,

Hivi karibuni, mara baada ya Rais Mama Samia kuapishwa tu, siku ya pili alifanya ziara ya kikazi kwenda nchini Uganda kufuatilia makubaliano yaliofikiwa na Rais Museven pamoja na Marehemu Magufuli.

Project hio ambayo inategemewa kuwa ndio bomba refu zaidi duniani la kusafirisha mafuta, lenye thamani ya Mabillioni Ya USD, ambalo linatarajiwa kuwa na;

1) Bomba Zenye Unene Wa 24" (Insulated 24 Inch Pipeline).

2) Ujazo Wa 216,000 Bopd (Design Capacity).

3) Bomba Refu Kuliko Yote Duniani Ya Kusafirisha Mafuta Kwa Kuyachemsha (Longest Trace Heated Pipeline In The World).

4) Mafuta Ghafi Mpaka Yenye Nyuzi Joto 45°C (45°C PP).

5) Vituo 16 Vya Usimamizi Na Plant 1 Ya Kukoat Mafuta Ghafi (16 Camps & 1 Coating Plant).

6) Vituo 6 Vya Kusukuma Mafuta (6 Pump Stations PS).

7) Vituo 2 Vya Kupunguza Presha (2 Reduction Pressure Stations PRS).

8) Generator Za Kisasa Katika Kituo PS 3 & PS 5 Na Terminal.

9) Marine Storage & Export Terminal.

Swala la mkataba wa makubaliano wa hio project ya bomba la mafuta liliwekwa wazi na Rais Magufuli alipo mkaribisha chato Rais Museven mnamo mwaka jana, na aliliongelea kabla ya umauti kumfika mwaka huu.

Tanzania iliingia makubaliano na Uganda ya ujenzi wa bomba hilo lenye thamani ya Mabillioni mara baada ya kuipiga chini Kenya (Ambayo awali ndio ilianza majadiliano na Uganda).

Rais Magufuli alisema "Tanzania ndio nchi itakayo faidika zaidi na bomba hilo kwa asilimia 70%" pindi alipomkaribisha Rais Museven chato, jambo ambalo raia waliamini na kufurahishwa sana nchi nzima. Raia kwenye hii project walijua hakika tumepiga bingo haijawahi kutokea katika taifa letu (70% si mchezo).

Binafsi, nlishtuka na mahesabu hayakuingia akilini, yaani Tanzania ipate 70%, halafu 30% Uganda na Kampuni Ya Total wagawane. Ila sikuwa jinsi ila kuamini kwasababu mikataba haikuwekwa wazi.

Hivi karibuni, report zimeanza kuwekwa wazi na wahusika wa project hio (Ikiwemo kampuni kubwa ya Mafuta Duniani TOTAL) mara baada ya Rais Samia kufanya ziaya ya kikazi nchini Uganda na kukamilisha sambamba na kumalizia kazi alioianza Rais aliemtangulia.

Mataifa ya wenzetu HAYANA USIRI pamoja na kuwa na UWAZI kwenye mambo yenye maslahi ya kitaifa na makampuni yao. Tofauti na hapa kwetu.

REPORT; Tanzania itapata 5% (Sio 70% kama Magufuli alivyosema na kuwaaminisha Raia), Ugands itapata 15%, wakati CNOON Ltd itapata 8%, na 72% zitachukuliwa na kampuni nguli kutoka nchini France ya TOTAL.


View attachment 1762911


HOJA YANGU;

Sio Tanzania kupewa asilimia chache (5%) katika hio project, hapana, hata tungepewa 2% isingekuwa tatizo. ila point ni "KWANINI VIONGOZI WALITUMIA UONGO KUWAAMINISHA WANANCHI".

Hii sio mara ya kwanza viongozi wa nchi kudanganya raia, ilitokea kwenye;

1) Swala la ATCL kuwaaminisha watanzania kwamba shirika linafanya kazi kwa "FAIDA" kupelekea hata kuipa serikali gawio la faida.

2) Swala la Corona, raia walidanganywa na kuaminishwa kwamba hakuna Corona nchini, ila watu wengi walipoteza maisha kwa Corona (Mpaka baadhi ya Viongozi Wa Vyama Vya Upinzani na Maproffesor Wa Ngazi Za Juu).

3) Swala la kuaminisha watanzania kwamba hakuna ufisadi na upotevu wa hela za wanyonge katika serikali ya awamu ya 5. Ila report ya CAG imetoa hati mbaya kwa baadhi ya wizara kwasababu ya matumizi makubwa ya pesa za watanzania (Wizara nyingine kutumia hela zaidi ya budget walizowekewa).
Weka ushahidi wa hoja zako ili tujadili vizuri.
 
Ni kweli kabisa Hayati JPM alitufahamisha watanzania kuwa baada ya mkutano wa ndani na Rais Museveni na baada ya kuvutana sana wote wakiwa chato walikubaliana Tanzania ipate 70% ili mradi uanze bila kuchelewa.

sasa unataka kusema kipengele hicho ktk Mkataba kilibadilishwa baada ya JPM kufariki?! au?.

kwa mtizamo wangu naamini kabisa viongozi wetu wa Tanzania wamefanya na kuchukua tahadhari zote zinazo paswa ktk mkataba huu, usije ukawa ni mkataba wenye kutu nyonya na mwishowe tukashindwa kufikia malengo.

Mleta Mada tafadhali Tunaomba utuwekee huo mkataba hapa kwa Faida ya watanzania wote.
Weka mkataba hapa.

au yeyote mwenye mkataba auweke hapa ili watanzania wausome.
 
Habari Wana Jamvi,

Katika pita pita za kuchambua, kudadisi, kufuatilia, kuchunguza na kuperuzi baadhi ya mambo yanayo endelea kwa maslahi ya taifa letu, mara baada ya report ya CAG kutoka na baadhi ya raia kuhoji kuhusu hatima ya project ambazo aliacha Marehemu Magufuli.

Raia tumefumbuliwa macho na CAG (Japo kuna baadhi yetu tulikua macho kibishi bishi kweli, hata kipindi Marehemu alipojaribu kutumwagia pilipili na upupu machoni ili tuyafumbe, na aliona haitoshi akaamua kututoboa macho kabisa tusione).

Nimekutana na hii issue ya project ya bomba la mafuta, ambayo nimeileta kama hoja binafsi mbele ya "BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA JAMIIFORUMS" ijadiliwe. Mheshimiwa Speaker, naomba muongozo niwakilishe hoja;

Nirudi kwenye mada husika,

Hivi karibuni, mara baada ya Rais Mama Samia kuapishwa tu, siku ya pili alifanya ziara ya kikazi kwenda nchini Uganda kufuatilia makubaliano yaliofikiwa na Rais Museven pamoja na Marehemu Magufuli.

Project hio ambayo inategemewa kuwa ndio bomba refu zaidi duniani la kusafirisha mafuta, lenye thamani ya Mabillioni Ya USD, ambalo linatarajiwa kuwa na;

1) Bomba Zenye Unene Wa 24" (Insulated 24 Inch Pipeline).

2) Ujazo Wa 216,000 Bopd (Design Capacity).

3) Bomba Refu Kuliko Yote Duniani Ya Kusafirisha Mafuta Kwa Kuyachemsha (Longest Trace Heated Pipeline In The World).

4) Mafuta Ghafi Mpaka Yenye Nyuzi Joto 45°C (45°C PP).

5) Vituo 16 Vya Usimamizi Na Plant 1 Ya Kukoat Mafuta Ghafi (16 Camps & 1 Coating Plant).

6) Vituo 6 Vya Kusukuma Mafuta (6 Pump Stations PS).

7) Vituo 2 Vya Kupunguza Presha (2 Reduction Pressure Stations PRS).

8) Generator Za Kisasa Katika Kituo PS 3 & PS 5 Na Terminal.

9) Marine Storage & Export Terminal.

Swala la mkataba wa makubaliano wa hio project ya bomba la mafuta liliwekwa wazi na Rais Magufuli alipo mkaribisha chato Rais Museven mnamo mwaka jana, na aliliongelea kabla ya umauti kumfika mwaka huu.

Tanzania iliingia makubaliano na Uganda ya ujenzi wa bomba hilo lenye thamani ya Mabillioni mara baada ya kuipiga chini Kenya (Ambayo awali ndio ilianza majadiliano na Uganda).

Rais Magufuli alisema "Tanzania ndio nchi itakayo faidika zaidi na bomba hilo kwa asilimia 70%" pindi alipomkaribisha Rais Museven chato, jambo ambalo raia waliamini na kufurahishwa sana nchi nzima. Raia kwenye hii project walijua hakika tumepiga bingo haijawahi kutokea katika taifa letu (70% si mchezo).

Binafsi, nlishtuka na mahesabu hayakuingia akilini, yaani Tanzania ipate 70%, halafu 30% Uganda na Kampuni Ya Total wagawane. Ila sikuwa jinsi ila kuamini kwasababu mikataba haikuwekwa wazi.

Hivi karibuni, report zimeanza kuwekwa wazi na wahusika wa project hio (Ikiwemo kampuni kubwa ya Mafuta Duniani TOTAL) mara baada ya Rais Samia kufanya ziaya ya kikazi nchini Uganda na kukamilisha sambamba na kumalizia kazi alioianza Rais aliemtangulia.

Mataifa ya wenzetu HAYANA USIRI pamoja na kuwa na UWAZI kwenye mambo yenye maslahi ya kitaifa na makampuni yao. Tofauti na hapa kwetu.

REPORT; Tanzania itapata 5% (Sio 70% kama Magufuli alivyosema na kuwaaminisha Raia), Ugands itapata 15%, wakati CNOON Ltd itapata 8%, na 72% zitachukuliwa na kampuni nguli kutoka nchini France ya TOTAL.


View attachment 1762911


HOJA YANGU;

Sio Tanzania kupewa asilimia chache (5%) katika hio project, hapana, hata tungepewa 2% isingekuwa tatizo. ila point ni "KWANINI VIONGOZI WALITUMIA UONGO KUWAAMINISHA WANANCHI".

Hii sio mara ya kwanza viongozi wa nchi kudanganya raia, ilitokea kwenye;

1) Swala la ATCL kuwaaminisha watanzania kwamba shirika linafanya kazi kwa "FAIDA" kupelekea hata kuipa serikali gawio la faida.

2) Swala la Corona, raia walidanganywa na kuaminishwa kwamba hakuna Corona nchini, ila watu wengi walipoteza maisha kwa Corona (Mpaka baadhi ya Viongozi Wa Vyama Vya Upinzani na Maproffesor Wa Ngazi Za Juu).

3) Swala la kuaminisha watanzania kwamba hakuna ufisadi na upotevu wa hela za wanyonge katika serikali ya awamu ya 5. Ila report ya CAG imetoa hati mbaya kwa baadhi ya wizara kwasababu ya matumizi makubwa ya pesa za watanzania (Wizara nyingine kutumia hela zaidi ya budget walizowekewa).
Magufuli ni uongo! Kupitia uongo amekuwa akisogeza siku, hakujali kuwa njia ya muongo ni fupi.
 
Habari Wana Jamvi,

Katika pita pita za kuchambua, kudadisi, kufuatilia, kuchunguza na kuperuzi baadhi ya mambo yanayo endelea kwa maslahi ya taifa letu, mara baada ya report ya CAG kutoka na baadhi ya raia kuhoji kuhusu hatima ya project ambazo aliacha Marehemu Magufuli.

Raia tumefumbuliwa macho na CAG (Japo kuna baadhi yetu tulikua macho kibishi bishi kweli, hata kipindi Marehemu alipojaribu kutumwagia pilipili na upupu machoni ili tuyafumbe, na aliona haitoshi akaamua kututoboa macho kabisa tusione).

Nimekutana na hii issue ya project ya bomba la mafuta, ambayo nimeileta kama hoja binafsi mbele ya "BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA JAMIIFORUMS" ijadiliwe. Mheshimiwa Speaker, naomba muongozo niwakilishe hoja;

Nirudi kwenye mada husika,

Hivi karibuni, mara baada ya Rais Mama Samia kuapishwa tu, siku ya pili alifanya ziara ya kikazi kwenda nchini Uganda kufuatilia makubaliano yaliofikiwa na Rais Museven pamoja na Marehemu Magufuli.

Project hio ambayo inategemewa kuwa ndio bomba refu zaidi duniani la kusafirisha mafuta, lenye thamani ya Mabillioni Ya USD, ambalo linatarajiwa kuwa na;

1) Bomba Zenye Unene Wa 24" (Insulated 24 Inch Pipeline).

2) Ujazo Wa 216,000 Bopd (Design Capacity).

3) Bomba Refu Kuliko Yote Duniani Ya Kusafirisha Mafuta Kwa Kuyachemsha (Longest Trace Heated Pipeline In The World).

4) Mafuta Ghafi Mpaka Yenye Nyuzi Joto 45°C (45°C PP).

5) Vituo 16 Vya Usimamizi Na Plant 1 Ya Kukoat Mafuta Ghafi (16 Camps & 1 Coating Plant).

6) Vituo 6 Vya Kusukuma Mafuta (6 Pump Stations PS).

7) Vituo 2 Vya Kupunguza Presha (2 Reduction Pressure Stations PRS).

8) Generator Za Kisasa Katika Kituo PS 3 & PS 5 Na Terminal.

9) Marine Storage & Export Terminal.

Swala la mkataba wa makubaliano wa hio project ya bomba la mafuta liliwekwa wazi na Rais Magufuli alipo mkaribisha chato Rais Museven mnamo mwaka jana, na aliliongelea kabla ya umauti kumfika mwaka huu.

Tanzania iliingia makubaliano na Uganda ya ujenzi wa bomba hilo lenye thamani ya Mabillioni mara baada ya kuipiga chini Kenya (Ambayo awali ndio ilianza majadiliano na Uganda).

Rais Magufuli alisema "Tanzania ndio nchi itakayo faidika zaidi na bomba hilo kwa asilimia 70%" pindi alipomkaribisha Rais Museven chato, jambo ambalo raia waliamini na kufurahishwa sana nchi nzima. Raia kwenye hii project walijua hakika tumepiga bingo haijawahi kutokea katika taifa letu (70% si mchezo).

Binafsi, nlishtuka na mahesabu hayakuingia akilini, yaani Tanzania ipate 70%, halafu 30% Uganda na Kampuni Ya Total wagawane. Ila sikuwa jinsi ila kuamini kwasababu mikataba haikuwekwa wazi.

Hivi karibuni, report zimeanza kuwekwa wazi na wahusika wa project hio (Ikiwemo kampuni kubwa ya Mafuta Duniani TOTAL) mara baada ya Rais Samia kufanya ziaya ya kikazi nchini Uganda na kukamilisha sambamba na kumalizia kazi alioianza Rais aliemtangulia.

Mataifa ya wenzetu HAYANA USIRI pamoja na kuwa na UWAZI kwenye mambo yenye maslahi ya kitaifa na makampuni yao. Tofauti na hapa kwetu.

REPORT; Tanzania itapata 5% (Sio 70% kama Magufuli alivyosema na kuwaaminisha Raia), Ugands itapata 15%, wakati CNOON Ltd itapata 8%, na 72% zitachukuliwa na kampuni nguli kutoka nchini France ya TOTAL.


View attachment 1762911


HOJA YANGU;

Sio Tanzania kupewa asilimia chache (5%) katika hio project, hapana, hata tungepewa 2% isingekuwa tatizo. ila point ni "KWANINI VIONGOZI WALITUMIA UONGO KUWAAMINISHA WANANCHI".

Hii sio mara ya kwanza viongozi wa nchi kudanganya raia, ilitokea kwenye;

1) Swala la ATCL kuwaaminisha watanzania kwamba shirika linafanya kazi kwa "FAIDA" kupelekea hata kuipa serikali gawio la faida.

2) Swala la Corona, raia walidanganywa na kuaminishwa kwamba hakuna Corona nchini, ila watu wengi walipoteza maisha kwa Corona (Mpaka baadhi ya Viongozi Wa Vyama Vya Upinzani na Maproffesor Wa Ngazi Za Juu).

3) Swala la kuaminisha watanzania kwamba hakuna ufisadi na upotevu wa hela za wanyonge katika serikali ya awamu ya 5. Ila report ya CAG imetoa hati mbaya kwa baadhi ya wizara kwasababu ya matumizi makubwa ya pesa za watanzania (Wizara nyingine kutumia hela zaidi ya budget walizowekewa).
Wewe ndo mgumu kuelewa. Wakisema tutafaidika na project kwa 70% hawamaanishi hela inatotokana na mkataba tu. Hapo kuna employment (% kubwa itakuwa ndani ya vituo vya Tz), kuna fursa za wafanya biashara alongside stations za hiyo pipeline na terminals, na faida nyingine nyingi kwa Tanzania ukilinganisha na Uganda, ukizingatia bomba linapita sehem kubwa ya Tanzania almost 75% na Uganda linapita umbali mfupi tu.


Muwe mnaelewa. Walisema kutikana na makubaliano ya mkataba mpya kati ya Barrick na Tanzania kupitia kampuni ya Twiga, Tanzania itafaidika 50% kwa 50%, jitu linatoka huko kusikojulikana linakuja kusema mbona serikali inapata 16% tu kutokana na hisa zake?? Unasahau kwenye kufaidika sio hela tu iliyopo kwenye mkataba bali kuna vitu vingi kama ushuru kwa halmashauri zilizopo ndani ya project, kuna uendelezwaji wa miundo mbinu na huduma za jamii katika maeneo ya project, kuna kodi za serikali kuu, kuna % ya ajira kwa watz, n.k. Hivi vyote ukivithaminisha vinakupa 50%.


Muwe mnaacha kukurupuka na kutanguliza siasa katika kila jambo.
 
Habari Wana Jamvi,

Katika pita pita za kuchambua, kudadisi, kufuatilia, kuchunguza na kuperuzi baadhi ya mambo yanayo endelea kwa maslahi ya taifa letu, mara baada ya report ya CAG kutoka na baadhi ya raia kuhoji kuhusu hatima ya project ambazo aliacha Marehemu Magufuli.

Raia tumefumbuliwa macho na CAG (Japo kuna baadhi yetu tulikua macho kibishi bishi kweli, hata kipindi Marehemu alipojaribu kutumwagia pilipili na upupu machoni ili tuyafumbe, na aliona haitoshi akaamua kututoboa macho kabisa tusione).

Nimekutana na hii issue ya project ya bomba la mafuta, ambayo nimeileta kama hoja binafsi mbele ya "BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA JAMIIFORUMS" ijadiliwe. Mheshimiwa Speaker, naomba muongozo niwakilishe hoja;

Nirudi kwenye mada husika,

Hivi karibuni, mara baada ya Rais Mama Samia kuapishwa tu, siku ya pili alifanya ziara ya kikazi kwenda nchini Uganda kufuatilia makubaliano yaliofikiwa na Rais Museven pamoja na Marehemu Magufuli.

Project hio ambayo inategemewa kuwa ndio bomba refu zaidi duniani la kusafirisha mafuta, lenye thamani ya Mabillioni Ya USD, ambalo linatarajiwa kuwa na;

1) Bomba Zenye Unene Wa 24" (Insulated 24 Inch Pipeline).

2) Ujazo Wa 216,000 Bopd (Design Capacity).

3) Bomba Refu Kuliko Yote Duniani Ya Kusafirisha Mafuta Kwa Kuyachemsha (Longest Trace Heated Pipeline In The World).

4) Mafuta Ghafi Mpaka Yenye Nyuzi Joto 45°C (45°C PP).

5) Vituo 16 Vya Usimamizi Na Plant 1 Ya Kukoat Mafuta Ghafi (16 Camps & 1 Coating Plant).

6) Vituo 6 Vya Kusukuma Mafuta (6 Pump Stations PS).

7) Vituo 2 Vya Kupunguza Presha (2 Reduction Pressure Stations PRS).

8) Generator Za Kisasa Katika Kituo PS 3 & PS 5 Na Terminal.

9) Marine Storage & Export Terminal.

Swala la mkataba wa makubaliano wa hio project ya bomba la mafuta liliwekwa wazi na Rais Magufuli alipo mkaribisha chato Rais Museven mnamo mwaka jana, na aliliongelea kabla ya umauti kumfika mwaka huu.

Tanzania iliingia makubaliano na Uganda ya ujenzi wa bomba hilo lenye thamani ya Mabillioni mara baada ya kuipiga chini Kenya (Ambayo awali ndio ilianza majadiliano na Uganda).

Rais Magufuli alisema "Tanzania ndio nchi itakayo faidika zaidi na bomba hilo kwa asilimia 70%" pindi alipomkaribisha Rais Museven chato, jambo ambalo raia waliamini na kufurahishwa sana nchi nzima. Raia kwenye hii project walijua hakika tumepiga bingo haijawahi kutokea katika taifa letu (70% si mchezo).

Binafsi, nlishtuka na mahesabu hayakuingia akilini, yaani Tanzania ipate 70%, halafu 30% Uganda na Kampuni Ya Total wagawane. Ila sikuwa jinsi ila kuamini kwasababu mikataba haikuwekwa wazi.

Hivi karibuni, report zimeanza kuwekwa wazi na wahusika wa project hio (Ikiwemo kampuni kubwa ya Mafuta Duniani TOTAL) mara baada ya Rais Samia kufanya ziaya ya kikazi nchini Uganda na kukamilisha sambamba na kumalizia kazi alioianza Rais aliemtangulia.

Mataifa ya wenzetu HAYANA USIRI pamoja na kuwa na UWAZI kwenye mambo yenye maslahi ya kitaifa na makampuni yao. Tofauti na hapa kwetu.

REPORT; Tanzania itapata 5% (Sio 70% kama Magufuli alivyosema na kuwaaminisha Raia), Ugands itapata 15%, wakati CNOON Ltd itapata 8%, na 72% zitachukuliwa na kampuni nguli kutoka nchini France ya TOTAL.


View attachment 1762911


HOJA YANGU;

Sio Tanzania kupewa asilimia chache (5%) katika hio project, hapana, hata tungepewa 2% isingekuwa tatizo. ila point ni "KWANINI VIONGOZI WALITUMIA UONGO KUWAAMINISHA WANANCHI".

Hii sio mara ya kwanza viongozi wa nchi kudanganya raia, ilitokea kwenye;

1) Swala la ATCL kuwaaminisha watanzania kwamba shirika linafanya kazi kwa "FAIDA" kupelekea hata kuipa serikali gawio la faida.

2) Swala la Corona, raia walidanganywa na kuaminishwa kwamba hakuna Corona nchini, ila watu wengi walipoteza maisha kwa Corona (Mpaka baadhi ya Viongozi Wa Vyama Vya Upinzani na Maproffesor Wa Ngazi Za Juu).

3) Swala la kuaminisha watanzania kwamba hakuna ufisadi na upotevu wa hela za wanyonge katika serikali ya awamu ya 5. Ila report ya CAG imetoa hati mbaya kwa baadhi ya wizara kwasababu ya matumizi makubwa ya pesa za watanzania (Wizara nyingine kutumia hela zaidi ya budget walizowekewa).
Kitu hujui uliza. Wewe usingekuwa mpuuzi usingefikiria hivyo. Mtu awe na malighafi halafu kwa vile yanapita kwako umzidi mgawo, acha ukiazi
 
NILIDHANI UZEE WAKO UNGEKUWA NA BUSARA, BADALA YA KUJIBU MASWALI UNAANZA KUNIITA MBUZI!! MZEE PEACE AND HARMONY BETREEN COUNTRIES ARE NOT STATIC ; NGOJA NIKUPE MFANO WA RWANDA NA UGANDA, KAMA UNAVYOFAHAMU NA UZEE WAKO HIZI NI NCHI AMBAZO NI NDUGU WA DAMU IN THE SENSE THAT KAGAME AMELELEWA NA MUSEVENI!! ARE YOU AWARE OF THEIR POLICAL RELATIONSHIP NOW? IS THAT THE HARMONY YOU ARE TALKING ABOUT?

INGAWA WEWE NI MZEE NIMEKUPA HILO SOMO KUHUSU INSTABILITY NADHANI SASA UMEELEWA KUWA AL SHABAAB HAWEZI KUSHINDWA KUJA KUBLOW HIYO PIPELINE TANZANIA!

HII MIKATABA MNAIFICHA NA KUITETEA KWASABABU YA WIZI WENU NA NDIO MAANA MTAITETEA MPAKA KUFA. NYIE NI MAADUI WA HILI TAIFA.
Mkuu 5% unayosema ni umiliki wa hiyo project. Lakini ushuru wa kupitisha mafuta ndio ambao Tanzania itapata 60%

Hapa faida kubwa ambayo Tanzania itanufaika nayo ni ushuru na Wala sio umiliki. Pia ajira nyingi watazipata watanzania kuanzia bandarini pale tanga na center zote zitakazojengwa kwenye bomba la mafuta
 
Habari Wana Jamvi,

Katika pita pita za kuchambua, kudadisi, kufuatilia, kuchunguza na kuperuzi baadhi ya mambo yanayo endelea kwa maslahi ya taifa letu, mara baada ya report ya CAG kutoka na baadhi ya raia kuhoji kuhusu hatima ya project ambazo aliacha Marehemu Magufuli.

Raia tumefumbuliwa macho na CAG (Japo kuna baadhi yetu tulikua macho kibishi bishi kweli, hata kipindi Marehemu alipojaribu kutumwagia pilipili na upupu machoni ili tuyafumbe, na aliona haitoshi akaamua kututoboa macho kabisa tusione).

Nimekutana na hii issue ya project ya bomba la mafuta, ambayo nimeileta kama hoja binafsi mbele ya "BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA JAMIIFORUMS" ijadiliwe. Mheshimiwa Speaker, naomba muongozo niwakilishe hoja;

Nirudi kwenye mada husika,

Hivi karibuni, mara baada ya Rais Mama Samia kuapishwa tu, siku ya pili alifanya ziara ya kikazi kwenda nchini Uganda kufuatilia makubaliano yaliofikiwa na Rais Museven pamoja na Marehemu Magufuli.

Project hio ambayo inategemewa kuwa ndio bomba refu zaidi duniani la kusafirisha mafuta, lenye thamani ya Mabillioni Ya USD, ambalo linatarajiwa kuwa na;

1) Bomba Zenye Unene Wa 24" (Insulated 24 Inch Pipeline).

2) Ujazo Wa 216,000 Bopd (Design Capacity).

3) Bomba Refu Kuliko Yote Duniani Ya Kusafirisha Mafuta Kwa Kuyachemsha (Longest Trace Heated Pipeline In The World).

4) Mafuta Ghafi Mpaka Yenye Nyuzi Joto 45°C (45°C PP).

5) Vituo 16 Vya Usimamizi Na Plant 1 Ya Kukoat Mafuta Ghafi (16 Camps & 1 Coating Plant).

6) Vituo 6 Vya Kusukuma Mafuta (6 Pump Stations PS).

7) Vituo 2 Vya Kupunguza Presha (2 Reduction Pressure Stations PRS).

8) Generator Za Kisasa Katika Kituo PS 3 & PS 5 Na Terminal.

9) Marine Storage & Export Terminal.

Swala la mkataba wa makubaliano wa hio project ya bomba la mafuta liliwekwa wazi na Rais Magufuli alipo mkaribisha chato Rais Museven mnamo mwaka jana, na aliliongelea kabla ya umauti kumfika mwaka huu.

Tanzania iliingia makubaliano na Uganda ya ujenzi wa bomba hilo lenye thamani ya Mabillioni mara baada ya kuipiga chini Kenya (Ambayo awali ndio ilianza majadiliano na Uganda).

Rais Magufuli alisema "Tanzania ndio nchi itakayo faidika zaidi na bomba hilo kwa asilimia 70%" pindi alipomkaribisha Rais Museven chato, jambo ambalo raia waliamini na kufurahishwa sana nchi nzima. Raia kwenye hii project walijua hakika tumepiga bingo haijawahi kutokea katika taifa letu (70% si mchezo).

Binafsi, nlishtuka na mahesabu hayakuingia akilini, yaani Tanzania ipate 70%, halafu 30% Uganda na Kampuni Ya Total wagawane. Ila sikuwa jinsi ila kuamini kwasababu mikataba haikuwekwa wazi.

Hivi karibuni, report zimeanza kuwekwa wazi na wahusika wa project hio (Ikiwemo kampuni kubwa ya Mafuta Duniani TOTAL) mara baada ya Rais Samia kufanya ziaya ya kikazi nchini Uganda na kukamilisha sambamba na kumalizia kazi alioianza Rais aliemtangulia.

Mataifa ya wenzetu HAYANA USIRI pamoja na kuwa na UWAZI kwenye mambo yenye maslahi ya kitaifa na makampuni yao. Tofauti na hapa kwetu.

REPORT; Tanzania itapata 5% (Sio 70% kama Magufuli alivyosema na kuwaaminisha Raia), Ugands itapata 15%, wakati CNOON Ltd itapata 8%, na 72% zitachukuliwa na kampuni nguli kutoka nchini France ya TOTAL.


View attachment 1762911


HOJA YANGU;

Sio Tanzania kupewa asilimia chache (5%) katika hio project, hapana, hata tungepewa 2% isingekuwa tatizo. ila point ni "KWANINI VIONGOZI WALITUMIA UONGO KUWAAMINISHA WANANCHI".

Hii sio mara ya kwanza viongozi wa nchi kudanganya raia, ilitokea kwenye;

1) Swala la ATCL kuwaaminisha watanzania kwamba shirika linafanya kazi kwa "FAIDA" kupelekea hata kuipa serikali gawio la faida.

2) Swala la Corona, raia walidanganywa na kuaminishwa kwamba hakuna Corona nchini, ila watu wengi walipoteza maisha kwa Corona (Mpaka baadhi ya Viongozi Wa Vyama Vya Upinzani na Maproffesor Wa Ngazi Za Juu).

3) Swala la kuaminisha watanzania kwamba hakuna ufisadi na upotevu wa hela za wanyonge katika serikali ya awamu ya 5. Ila report ya CAG imetoa hati mbaya kwa baadhi ya wizara kwasababu ya matumizi makubwa ya pesa za watanzania (Wizara nyingine kutumia hela zaidi ya budget walizowekewa).
Kuhusu corona, ulidanganywa nini ? Mbona hujafa kwa corona?
Kuhusu bomba unataka nini zaidi ya ku pata ? Iwe kubwa au ndogo lakini umepata.
Acheni utoto
 
Soma uelewe wewe mdudu. Sio unakimbilia kubweka bweka hovyo kama una kichaa cha mbwa (distemper).

Nenda kwenye thread za Diamond Platnumz mkabishane kama amenunua ndege au amenunua kipeperushi hicho, huku hapakufai kijana.

Mzee wenu alikua ana laana ya uongo.
Bavicha mbona umepotea au matusi yameisha? Tuko page ya 4 ujue!
 
"Tanzania ndio nchi itakayofaidi zaidi kwa 70%"

Kwa mleta mada shida inaanzia hapo, tujadili kwanza hii kauli, hizo 70% zinahusisha na hiyo 5%, yaani mwendazake alimaanisha kuwa hiyo 5%, ajira kwa watanzania,kama ni material,sijui makitu gani kitu gani, ndio unapata hyo 70% japo sina uhakika na 70% kweli ama ni 50%,60,52,75% nakadhalika

Hivyo asilimia 5, ni kiwango tutakachoingiza serikalini moja kwa moja, lakini pia kuna ajira kwa wananchi,kuna sijui vibali vya kazi,kuna vitu kibao ndio yeye akasema 70%, ndio tanzania kunufaika huko.

Akina muwekezaji akawekeza tz moja kwa moja itapata kodi lakini kuna vitu vya ziada itapata ambavyo sio direct kama kodi..

Sijui nimeeleweka.
 
Back
Top Bottom