Wanaukumbi
nimefurahi sana kwamba hii tabia ni mbaya... na nimependa sana wakak tumeua na wadada mmeua....
kama hayupo humu, ntatatafuta namna ya kumfanya aipate hii link na akome!!
MTM.........this is very interesting pains!! yaani huyu jamaa yako dah hata sijui nianzie wapi.....najiuliza
1. Je alishawahimfumania mkewe au kuona dalili ya ukosefu wa uaminifu?
2. Kama hajawahi ilikuwaje akaoa mke asiyemwamini?
3. Nina wasiwasi kuwa yeye ndiye mchafu wa tabia na anajua kabisa namna wake za watu wanaotoka nje ya ndoa zao na pengine naye anahusika so anahisi kuwa na mkewe naye anafanya ayafanyayo yeye!!
huyo jama atakua ni wale hawajiamini kabisa.
Wajameni... Leo naomba tusaidiane kujadili jinsi tunavyowadhalilisha wapenzi wetu in the name of love and protection
Kuna rafiki yangu ana kaugonjwa kabaya sana ka kumnyang'anya mkewe simu na kukaa nazo hata siku mbili kusubiria nani atampigia mkewe... i tried to ask him kuacha tabia hiyo kwani inamweka mwanamke kwenye hisia za kudhalilishwa na kutoaminiwa na pia mke anaweza sasa akaanza kufanya siyodhani simply because jamaa ndicho alichonacho kichwani!!
Sipendi hii tabia na nina imani wengi hamuipendi
please pals, lets not do this aisee
Ndio maana nikaiweka namba mbili bacha..................madam, ukosefu wa uaminifu kwa mwenzako unaweza kujitokeza mbele ya safari..........................
wakati huo treni ndo lishashika kasi mbaya.
DC, labda ndio mapenzi yake hayo LOL
Naleta mashitaka kwako Baba Paroko nisaidiea ..ni week ya tatu sasa ...teteteteth
Huyu mwanaume hajiamini ndo ndo maana anshindwa kumwamini mkewe pia
endelee kumpa ushauri nasaha aachane na hiki kitabia kibovu
BAK naomba unitafutie wimbo wa Baba Paroko
Umeona FL1,
Hapo hakuna mwanamume tena...Kuna sanamu fulani tu linaltembea na kupumua!
Nimeona Babu DC ..huyu mwanaume mwenzenu ana matatizo makubwa ..Inabidi MTM amsaidie kutatua
FL1...Naoma ututake ladhi haraka kabla hatujachukuwa hatua....Huyo hawezi kuwa mwanamume mwenzetu...Atakuwa tu yuko wa aina yake! Si wa kiume wala jinsia nyingine!
Siwezi kuamini kitu hapa....!! Nasubiri apology tu na si kingine!
yeah, wapo pia wanawake wanaonusa hadi nguo za ndani za wanaume wakirudi nyumbani, wanakagua simu na hata kuzichukua for some daysSasa wapo wadada pia wana tabia hizo....
Unapigiwa simu anaidaka simu yako utasema yake.....
Na akisikia sauti ya kike anaanza jibu jeuri bila kujua ni nani....
Kama ni bosi wako waweza poteza kazi hivi hivi
Wajameni... Leo naomba tusaidiane kujadili jinsi tunavyowadhalilisha wapenzi wetu in the name of love and protection
Kuna rafiki yangu ana kaugonjwa kabaya sana ka kumnyang'anya mkewe simu na kukaa nazo hata siku mbili kusubiria nani atampigia mkewe... i tried to ask him kuacha tabia hiyo kwani inamweka mwanamke kwenye hisia za kudhalilishwa na kutoaminiwa na pia mke anaweza sasa akaanza kufanya siyodhani simply because jamaa ndicho alichonacho kichwani!!
Sipendi hii tabia na nina imani wengi hamuipendi
please pals, lets not do this aisee