Wana JF kama tujuavyo kuwa Alhamisi ijayo itakuwa siku ya kukumbuka uhuru wetu kutoka katika ukoloni. Najua watanzania kwa maelfu watakusanyika pale uwanja wa uhuru kuhudhuria hizo sherehe.
Sasa napenda kuuliza hivi kitatokea nini kama watanzania chini ya CDM watahudhuria pale wakiwa na mabango ya kudai KATIBA MPYA NA TUME HURU YA UCHAGUZI. Je tutapigwa na polisi? au je tutazuiliwa kuingia uwanjani? Na hii ikitokea nchi nzima nini kitatokea?
Mchango tafadhali.
Sasa napenda kuuliza hivi kitatokea nini kama watanzania chini ya CDM watahudhuria pale wakiwa na mabango ya kudai KATIBA MPYA NA TUME HURU YA UCHAGUZI. Je tutapigwa na polisi? au je tutazuiliwa kuingia uwanjani? Na hii ikitokea nchi nzima nini kitatokea?
Mchango tafadhali.