Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 20,922
- 30,271
Mag3,Haya tupe ya Kariakoo...usidandie ya wahamiaji wa Gerezani (Wazulu na Wamanyema) tupe ya Kariakoo ya Watanganyika.
Hawa Wamanyema ni kizazi cha kwanza na cha pili kuzaliwa Tanganyika
ni Watanganyika.
Mbona unataka kuleta ubaguzi?
Nakuwekea hapo chini majina ya Watanganyika ambao walihudhuria
mkutano wa kwanza wa TANU Ukumbi wa Arnautoglo:
''The TANU inaugural meeting was attended by a small crowd of about twenty people, among them Julius Nyerere, Abdulwahid and Ally Sykes (Wazulu), Dossa Aziz, Rupia, Mshume Kiyate, Makisi Mbwana, Jumbe Tambaza, Juma Waziri, Clement Mtamila, Rajab Diwani, Schneider Plantan (Mzulu), Marsha Bilali (Mhabeshi), Rashidi Ally Meli (Mngazija), Frederick Njiliwa, Idd Faiz Mafongo (Mmanyema), Idd Tulio, Denis Phombeah (Mnyasa) and others.''
Hapo chini nakuwekea orodha ya waliochangia ujenzi wa Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam: