Kumbukumbu ya kuundwa kwa chama cha AA mwaka 1927 chini ya Sesilia Matola

Yericko ninachouliza mimi nini chanzo cha habari za Cecil Matola.

Vitabu? Magazeti au nyaraka binafsi?

Historia nzima ya African Association kuanzia 1929 hadi 1949 mimi
nimeisoma kwenye nyaraka za Kleist Sykes.

Historia ya TAA 1950 hadi 1954 na kuundwa kwa TANU nimepata
kutoka kwa Nyaraka za watoto wake Abdulwahid na Ally Sykes.

Matola mwenyewe nimemsoma katika Nyaraka za Kleist na naamini
wewe ni baada ya kusoma kwangu ndiyo ukamjua.

Habari za Dr. Aggrey pia nimezisoma katika Nyaraka za Kleist naamini
pia wewe baada ya kumsoma kwangu ndipo ukamjua.

Kuwa AA iliasisiwa 1929 ipo katika Nyaraka za Kleist na picha ya ufunguzi
wa ofisi yote haya ni katika Nyaraka za Kleist naamini wewe baada ya
kunisoma mimi ndipo ukaja na mwaka wa 1927 kuwa ndiyo AA ilipoasisiwa
kitu ambacho si sawa.

Hivyo utaona uzito wa nyaraka za Kleist na watoto wake katika historia ya
TANU na uhuru wa Tanganyika na pia katika kumjua Mwalimu Julius
Nyerere
.

Ninalouliza ni ''source,'' yako ni nini kwa uliyoandika kuhusu Cecil Matola?

Ikiwa umepata kutoka kwenye nyaraka zake binafsi baada ya miaka 85
hakika hili ni jambo kubwa sana ndiyo nakuomba utupe taarifa hizi tujue.
Kwabahati mbaya mzee wangu haujakisoma kitabu chsngu, ingekuwa busara ukisome kisha uulize maswali... Kwa waliokisoma wameona vema mwishoni mwa kitabu nimeweka nyaraka na rejea zote, swali la chanzo lingejibiwa hivyo...

AA iliasisiwa 1927 na gavana wa kiingereza kama chama cha kushughulika na mambo ya starehe za watu weusi waliokuwa wamezuiwa kwenda kwenye maendeo ya starehe za wazungu huko mjini hasa katika ukumbi wa starehe wa Karijee leo NBC Garden ....

Matola amefariki 1933 wakati AA imeshazawadiwa jengo mtaa wa Stanley, leo Lumumba na leo ni makao ya TANU/ccm... Hoja ya kuwa ukoo wa Sykes ndio uliotoa jengo hilo ni uongo, labda tuseme waliteka umiliki baada ya Matola kufariki...kumbuka tangu afariki matola 1933 hadi achukue Nyerere madaraka 1953 chama hicho kilikuwa kama kikundi cha kahawa tu kisicho na dira... Baadae ndio chama kikaanza kuwa cha Siasa...
 
Kwabahati mbaya mzee wangu haujakisoma kitabu chsngu, ingekuwa busara ukisome kisha uulize maswali... Kwa waliokisoma wameona vema mwishoni mwa kitabu nimeweka nyaraka na rejea zote, swali la chanzo lingejibiwa hivyo...

AA iliasisiwa 1927 na gavana wa kiingereza kama chama cha kushughulika na mambo ya starehe za watu weusi waliokuwa wamezuiwa kwenda kwenye maendeo ya starehe za wazungu huko mjini hasa katika ukumbi wa starehe wa Karijee leo NBC Garden ....

Matola amefariki 1933 wakati AA imeshazawadiwa jengo mtaa wa Stanley, leo Lumumba na leo ni makao ya TANU/ccm... Hoja ya kuwa ukoo wa Sykes ndio uliotoa jengo hilo ni uongo, labda tuseme waliteka umiliki baada ya Matola kufariki...kumbuka tangu afariki matola 1933 hadi achukue Nyerere madaraka 1953 chama hicho kilikuwa kama kikundi cha kahawa tu kisicho na dira... Baadae ndio chama kikaanza kuwa cha Siasa...
Yericko,
Hayo uliyoandika hapo juu tulishajadili huko nyuma na naamini mjadala
ule tuliumaliza lakini ukiwa unataka turejee upya katika huu mjadala si
vibaya ila mada iliyopo mezani kwa sasa ni mimi kukuomba, ''source,''
ya hayo unayosema umeandika kuhusu Cecil Matola.

Nakusihi toa jibu katika hili kisha tutasonga mbele Insha Allah kwa hayo
ambayo utapenda tujadili.

Huenda labda hujui unachotakiwa kufanya.

Mimi hapo chini nakuwekea moja ya ''source,'' ya historia niandikayo kuhusu
African Association:

upload_2018-7-8_22-55-30.png


Yericko,
Hiyo hapo juu ni tarifa za siri za Special Branch walizokuwa wakitoa mara kwa mara
kufanya tathmini ya harakati za siasa zilivyokuwa zikienda wakati wa ukoloni.

Nakusihi tuwekee mfano wa haya kuhusu Cecil Matola kuthibitisha unayosema.
Ikiwa huna hapana neno mimi nitaelewa.
 
Kwabahati mbaya mzee wangu haujakisoma kitabu chsngu, ingekuwa busara ukisome kisha uulize maswali... Kwa waliokisoma wameona vema mwishoni mwa kitabu nimeweka nyaraka na rejea zote, swali la chanzo lingejibiwa hivyo...

AA iliasisiwa 1927 na gavana wa kiingereza kama chama cha kushughulika na mambo ya starehe za watu weusi waliokuwa wamezuiwa kwenda kwenye maendeo ya starehe za wazungu huko mjini hasa katika ukumbi wa starehe wa Karijee leo NBC Garden ....

Matola amefariki 1933 wakati AA imeshazawadiwa jengo mtaa wa Stanley, leo Lumumba na leo ni makao ya TANU/ccm... Hoja ya kuwa ukoo wa Sykes ndio uliotoa jengo hilo ni uongo, labda tuseme waliteka umiliki baada ya Matola kufariki...kumbuka tangu afariki matola 1933 hadi achukue Nyerere madaraka 1953 chama hicho kilikuwa kama kikundi cha kahawa tu kisicho na dira... Baadae ndio chama kikaanza kuwa cha Siasa...

Ndugu zanguni,
Mie sitii langu...

Cecil Matola
kapewa jina la kike - Sesilia...

Niliyoshuhudia hapa yamenitosha mzigo mzito.
Kusoma kitabu naweza kuvunjika mgongo.

Stanley Street ikawa Aggrey baada ya uhuru kisha Makisi Mbwana
katika kuwaenzi wapigania uhuru kiasi miaka 20 iliyopita.

upload_2018-7-10_8-50-45.png

Kushoto: Mwinjuma Mwinyikambi, Makisi Mbwana Julius Nyerere na Mshume Kiyate, 1962

Lumumba Avenue ilikuwa New Street wakati wa ukoloni na baada ya
uhuru 1961 ndiyo ikawa Lumumba.

Hii yote ni mitaa yangu niliyokulia naijua vyema.
Ukumbi wa Karimjee haukupata hata siku moja kuwa wa starehe.

Waafrika walikuwa wanakutana ukumbi wa Alexander na Tanga Club
kisha George Arnautoglo akawajengea Waafrika ukumbi maarufu kwa
jina la Arnautoglo Hall.
 
Mkuu Yeriko, kwanza hongera sana kuandika kitabu, maana kuandika kitabu sio mchezo haswa kwa kuuzingatia utamaduni wa Watanzania na moyo wa kujisomea vitabu, yataka moyo sana kuandika kitabu ambacho hakitaingizwa kwenye ithibati yoyote!.

Umefanya kazi nzuri ila kwanza naomba uthibitisho, ni Bibi Sesilia Matola au ni Bw. Cecil Matola?. Nani aliyekudanganya Cecil Matola ni Bibi na jina lake ni Sesilia?!. Kama hiki ndicho ulichoandika kwenye kitabu chako hadi kutoa Hard Copy!, I wonder how many factual errors zitakuwepo kwenye the rest of kitabu hicho?!.

Kama jambo dogo kama hili umeshidwa to get the facts right, what about the credibility of the rest?.

Paskali
... is just an average diplomat, tofauti anavyotaka kukuzwa; Yericko is more security conscious kuliko yeye.
Mkuu Kilatha , nimekuona ukimponda mtu kule na kumsifu huyu jamaa. Kama mwandishi wa history anasoma jina la Cecil Matola, ni mwanaume, anamuandika Bibi Cecilia Matola, na hiyo ni hard copy!, what do you expect?.
P
 
Mkuu Yeriko, kwanza hongera sana kuandika kitabu, maana kuandika kitabu sio mchezo haswa kwa kuuzingatia utamaduni wa Watanzania na moyo wa kujisomea vitabu, yataka moyo sana kuandika kitabu ambacho hakitaingizwa kwenye ithibati yoyote!.

Umefanya kazi nzuri ila kwanza naomba uthibitisho, ni Bibi Sesilia Matola au ni Bw. Cecil Matola?. Nani aliyekudanganya Cecil Matola ni Bibi na jina lake ni Sesilia?!. Kama hiki ndicho ulichoandika kwenye kitabu chako hadi kutoa Hard Copy!, I wonder how many factual errors zitakuwepo kwenye the rest of kitabu hicho?!.

Kama jambo dogo kama hili umeshidwa to get the facts right, what about the credibility of the rest?.

Paskali
... is just an average diplomat, tofauti anavyotaka kukuzwa; Yericko is more security conscious kuliko yeye.
Mkuu Kilatha , nimekuona ukimponda mtu kule na kumsifu huyu jamaa. Kama mwandishi wa history anasoma jina la Cecil Matola, ni mwanaume, anamuandika Bibi Cecilia Matola, na hiyo ni hard copy!, what do you expect?.
P
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom