Kumbukumbu ya kuundwa kwa chama cha AA mwaka 1927 chini ya Sesilia Matola

Haya mambo haya, ni balaa, Huyo Mohamed Said naye ni wakuja tu, wametoka Congo wakaishia Musoma, kisha wakaja Mzizima, naye ni wakuja tu, so hiyo history anayoandika ni story ya wazee wake wahamiaji sio wana Mzizima
Kituko,
Hakika ukoo wetu ni watu wa kuja kama nilivyokwisha eleza.

Babu yangu mkuu Samitungo kaingia Tanganyika kama askari na alikuwa
Shirati, Musoma.

Ukipenda unaweza kusema kuwa asili yangu hapa Tanganyika ni Musoma.
Historia niliyoandika imegusa wazalendo wengi na wa makabila mbalimbali.
 
Yericko Nyerere

Umenifanya nicheke peke yangu kwa upuuzi ulioleta hapa. Kwanza kwa maelezo yako yote hakuna kitu kipya tusichokijua ulicholeta ! Zaidi ya kunakili kila kitu kutoka kwenye sources mbali mbali bila ya hata kutoa credits kwa mtu or kazi ulikotoa hizi habari.

Lakini pia nilitegemea wewe Yericko Nyerere kuleta hapa habari yote kuhusu jinsi mkutano ulivyokuwa umeratibiwa na bwana Nyerere kama ulivyosema kuwa mzee Mohamed Said amepotosha and so wewe umekuja kurekebisha! Badala yake umezunguka zunguka hapa bila ya kuelezea vitu hivi muhimu! Kama unataka kujadiliana kihoja lete historia kama unavyoijua wewe ukiwa na vyanzo kama mzee Mohamed Said anavyoleta, sio unapinga then huelezi kilichojiri..!

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana kijana na niwie radhi kukupa mambo yaliyokuzidi...

Mkuu Nicholas njoo huku mzee wako mdini kaja
 
Ubavu,
Yericko
bado ni mwanafunzi katika uandishi.
Bado hajajua thamani ya mwandishi kuja na kitu kipya.

Anadhani unaweza ukakaa kitako na kunakili hapa na kunakili kule ikawa
ushaandika kitabu.

Nimejaribu kumfahamisha lakini ni mbishi hasikii la muazini, mnadi sala
wala la mteka maji.

Ubavu,
Ninalokusudia ni kutokana na maneno haya aliyosema Mwalimu Nyerere
siku alipozungumza na Wazee wa Dar es Salaaam Ukumbi wa Diamond:

''Wakati huo, mambo yalikuwa yanasinzia kidogo. Kwa muda mfupi mwaka ule, tukafufua-fufua, hasa kutoka Januari. Kufika Aprili, TAA ikafufuka. Tukafanya mkutano hapo, Anautouglou. Kwa muda mfupi mwaka ule, tukafufua-fufua, hasa kutoka Januari. Kufika Aprili, TAA ikafufuka. Tukafanya mkutano hapo, Anautouglou. Kwenye mkutano huu, wakanichagua kuwa Rais wao, wa TAA.''

Inakuwa tabu sana kwa wasomaji kusoma yale ambayo yanakinzana na
historia rasmi na khasa inapomgusa Baba wa Taifa.

Mwalimu Nyerere anasema yeye kaikuta TAA chini ya uongozi wa Abdul
Sykes
''inasinzia,'' lakini ukienda katika historia na kuangalia hali ilikuwaje,
ukweli unapingana na kauli hiyo.

Tanganyika nzima hali ya siasa ilikuwa ikiwatisha Waingereza.
Angalia hali ilivyokuwa:

''Uongozi wa TAA Makao Makuu ulianza kampeni ya nchi nzima kuueleza umma matokeo ya safari ya Kirilo kwenye Umoja wa Mataifa kuhusu mgogoro wa ardhi ya Wameru na vilevile kuchangisha fedha za kupeleka msafara mwingine kwenda Umoja wa Mataifa kuueleza umoja huo kuwa Tanganyika ilikuwa chini ya udhamini na Watanganyika walikuwa sasa na haki ya kudai uhuru wao. Kamati ya TAA ya watu watatu iliyowajumuisha Kandoro, Kirilo na Abbas Sykes iliundwa kwa ajili hiyo. Ally Sykes akiwa mweka hazina msaidizi wa TAA aliombwa ampelekee Kirilo hawala ya posta Usa River kama nauli ya kumwezesha kusafiri hadi Dodoma kujiunga na ile kamati ya watu watatu. Kulikuwa hakuna huduma ya fedha katika posta ya Usa River na fedha zile zilikaa hapo kwa muda bila ya kuchukuliwa hadi hapo zilipopelekwa posta ya Arusha mjini ambako Kirilo alizichukua. Kuanzia tarehe 26 Septemba, 1953 kwa takriban mwezi mmoja ile kamati ilitembelea na kuhutubia mikutano ya hadhara, ikikusanya fedha Dodoma, Mwanza, Bukoba, Ukerewe, Tarime, Musoma na Shinyanga. Rais wa chama cha TAA, kanda ya ziwa, Paul Bomani aliipokea ile kamati ya watu watatu na kuhutubia mikutano pamoja nao katika jimbo lote. Bomani aliwaambia wanachama wa TAA na wananchi wote mjini Mwanza kuhusu umuhimu wa kuchanga fedha kwa kwa kusudio hilo.''

''The TAA leadership at the headquarters organised a nationwide campaign to inform the people about the outcome of the Meru Land Case at the United Nations and to seek financial support to enable TAA to send another delegation to the United Nations to present and establish Tanganyika’s case as Mandate Territory seeking independence. A TAA committee composed of Kandoro, Kirilo and Abbas Sykes was formed for that purpose. Ally Sykes as the assistant treasurer was requested to send a money order to Usa River in favour of Japhet Kirilo to enable him travel to Dodoma to join the three-man TAA delegation. There was no money order facility at Usa River in those days and the money was held up at the post office for some time, but eventually Kirilo collected it from Arusha. [1] From 26 th September, 1953, for almost a month, the committee toured and addressed public meetings, collecting funds in Dodoma, Mwanza, Bukoba, Ukerewe, Tarime, Musoma and Shinyanga. The president of TAA, Lake Province, Paul Bomani received the three-man TAA committee and addressed meetings with them in the province. Bomani told TAA members and all Africans in Mwanza of the importance of contributing generously to the cause.'' [2]

[1] Money order receipt to Usa River from TAA, details not legible and Ally Sykes handwritten notes. Sykes' Papers.

[2] Report ya Lake Province Kwa Kifupi Iliyotolewa na Bwana Abbas K. Sykes, Sykes’ Papers. Also see Japhet, op. cit. p.62.

Hali hii si hali ya kuwa TAA ilikuwa imesinzia na Nyerere akaja kuiamsha.

Ninayo mengi ambayo ningeweza kuyaweka hapa kudhihirisha kuwa hali
ya siasa Tanganyika kwa wakati ule ilikuwa ya kutia moyo sana.

(Nimeweka hiyo nukuu ya Kiingereza kwa sababu ya rejea kwani katika
Kiswahili rejea zinasumbua kidogo).
Mohamed, Unapingana na Mwalimu Nyerere aloyeikuta TAA ipo taabani akafufua na kuchaguliwa kuwa rais kisha akaiunda TANU, wewe unamwamini mtoto wa Abdulwahid Sykes binti Daisy Abdul Sykes????
 
Haya mambo haya, ni balaa, Huyo Mohamed Said naye ni wakuja tu, wametoka Congo wakaishia Musoma, kisha wakaja Mzizima, naye ni wakuja tu, so hiyo history anayoandika ni story ya wazee wake wahamiaji sio wana Mzizima
Ukimwambia hivyo anaweza kulia ilimradi tu ujue anauchungu na Kariakoo
 
Pole sana kijana na niwie radhi kukupa mambo yaliyokuzidi...

Mkuu Nicholas njoo huku mzee wako mdini kaja
Haha.Mkuu Yericko huyo mzee yupo locked ktk karne mbaya. Yupo ktk chupa aliyotoka jin akafungiwa yeye huko. Anajitahidi kugeuza Lullabies kuwa real. Yupo busy kugeuza habari za wahenga kuwa real life events. Kachoka kuona Hollywood wakigeuza science fictions kuwa reality.Ila I wonder how atafanikiwa kugeuza wahenga stupidities kuwa reality.Inaelekea huko uswahili kwao ,huo upuuzi na sifa za kijinga ziliuzwa sana. Niliwahi mkuta mpuuzi mmoja anajichekesha kwa muarabu koko , anasema nyie ni "vijukuu vya mtume" mmeongezewa. huko uswahili kuna sifa km utege, busha, na sauti za kipuuzi km sifa kubwa sana.Huko uswahili uchawi ni sifa, huko uswahili, kuwapa vichaa maembe machanga na mabichi ni akili, huo uswahili kubaka malaya ni sifa, huko uswahili kumpa masikini wa kuja Maziwa yakiwa na mkojo ni baraka, huko uswahili kumpa mtu mikono alambe mikono baada ya kula ni jambo jema(Jiulize jinsi wanavyoshika mavi,maji kidogo bila sabuni zaidi yakujifukiza udi). Km mtu hajaweza kemea haya mambo unategemea dunia yenye ustaarabu mwingine atauweza?


Hawa waswahili hawajui kwanini wakuja huwa wanawapita wenyeji, ukweli ni kwamba wageni walioweza kuja ugenini na kuweza kaa nao pamoja na uadui wao ni kwamba wapo smart enough kuwazidi na mafanikio yao sio msaada au sijui wamekaribishwa kwa wema.Ila wageni wame conquer. Sidhani km binadamu kuwafuga mbwa wenye asili ya ukali na mengine yanaweza kuwa attributed kwa mbwa.Ingekuwa hivyo basi mbwa wa asingekuwa anashambulia wageni. Uswazi kuna visa, kodi za fujo,ndoa za mkeka, kelele ukipika nyama sana, kelele ukichinja wewe ukawanyima nafasi ya kupata mnyama wa kutambika, uswazi mauzauza ni mengi hdi kwa wapangaji wenye nyumba hawana haya wala soni ,wala akili kuwa nyuba ni biashara.Na mpangaji ni mteja.HIvyo vitu kwao havina utaratibu wa kuvishughulikia ,wataelewa vipi dunia?
 
Watakupinga hawa mpaka Mtume Mohamed arudi
Yericko,
Ightilafu baina ya watu ni jambo la kawaida.

Muhimu ni kukubalika katika kile mnachopingana katika jumuiya
ya wenye ujuzi katika hicho kinachopingwa.

Baada ya mimi kuandika kitabu hiki na hili nimekueleza mara nyingi
tu ni kuwa niliingizwa katika miradi miwili inayohusu historia ya
Afrika nikiwakilisha Tanzania.

Mradi wa Oxford University Press, Nairobi kwanza ulikuwa ni wa
kusomesha historia na Kiingereza katika shule za msingi.

Mradi wa pili ni wa Harvard na Oxford University Press, New York
unaofahamika kama Dictionary of African Biograph (DAB).

Miradi yote hii miwili imechapa kazi zangu.
Nakuwekea picha ushuhudie na uamini:

7v8t_xGHI01y5S0bgao5XYv06dPcxyLts_DTaUQ2wpWTzMC8x_BF8spCNew1elxUNLhxlmcBJc8jRWHBA8PbCzF-xvLtcZghGkK73EfzOm6xYX-h4gTPalV-lKyPTm-kexXkIWPIZBouJYsGKnqWLxTP327n8qB4htEuFqZoVjYMwZCNzegXZBjW_DO3pTi_zAK1euMzzGJofBzqnwxOJj_RpmUQQH5MdH1dgMYI1Prq-DZgb330meeEWWlDoqktXNXHU6-swAMGAFM9NezZrgxzd0blOiX42PHP_4RNH9I4JR-XTq9UKy7AzujLkHleB0c4DIo9HolEJfRzBDXyd65FaJmPpUcYjYfYljO8dnEAIbV2Rx-TA37Kq1CZq3f3eN4SxyCoNa2TGbUhojCBeFt3EhV5py-rhXIli5AdDfMU3ZDdG26EtTw9BGFuHiZ5ZEw7KlSzcLJe2xMRQ9FiX9n10_h6i0z9Wr5C_xmo3J8mfde-9RXWt2p24yv7F7QkpaiAFTJD6htel9nCv718FREHNxuYZfva2OuEmr88x_KzaJxFxZIwjW0akoKnpXo-3hI2ESYQ-ihj8qw-RjTfLDow1lZd0FiDiPDcxW8ztAgedn9P5eToBA=w1119-h630-no


''The Torch on Kilimanjaro,'' Oxford Universty Press, Nairobi 2007.

g6XiuMXBZ_9clX-2_E_zeXF3PmYTSWRDzxUFpIsyPFhq-xcDvHbSKNsLPUtS0DpTAAhu-X2EZYFT4LntB-ZUgPYVToJ2snjT3vZerZpsFt27NgzOn8nLjzzpFDfNP9zjpMW90nhHvRTExxRFTiaVG9U8zWRAJvlRIrcSYrHn0HM9wOy2oFvGM4EofceNsRZpAVnUR67ibwJuCxWcJ6TpSOMoCVGGcN9Sbzk5CkEuZ8UVuuQhO0ZFZIo2bJXtTVvj0aS2VtVWcS_N3cV8pK3-5kfU3bwKqGBd4knqb8a7vOBLqEnQi3-MVP-f-Ykg_0F_BscHmykcyr5WNXYkayOCjOop89cwZO33lIKgj93erMuIsq3_BwheJSNUUghnzt3jEOi0FYGDf02IIUtlBfpt3khahEG2QK2aW8jU4ES5Uhqqm22yLvp8-gcnuoM526_R4y7j3CXJcwNluNMWgdguLFpu6MB1Gb7oJBYjZk516Vn8oSuiZ5eQfxkXTQY23Uf63Rk-gxnxqq7VkY0DGGMuFJjyGvhyMOUCAGBq83xKHS7r2YATp1vNf3O0EwCajLOryPfpkXjdAMTJN8y3ZqUpd_vUajlwFYLTxbnumjHbOZ0vZsx_3P7djw=w814-h629-no


Ukurasa kutoka, Kleist Sykes 1894 - 1947, katika, ''Dictionary of African Biograph,''
Oxford University Press, New York 2011.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ubavu,
Yericko
bado ni mwanafunzi katika uandishi.
Bado hajajua thamani ya mwandishi kuja na kitu kipya.

Anadhani unaweza ukakaa kitako na kunakili hapa na kunakili kule ikawa
ushaandika kitabu.

Nimejaribu kumfahamisha lakini ni mbishi hasikii la muazini, mnadi sala
wala la mteka maji.

Ubavu,
Ninalokusudia ni kutokana na maneno haya aliyosema Mwalimu Nyerere
siku alipozungumza na Wazee wa Dar es Salaaam Ukumbi wa Diamond:

''Wakati huo, mambo yalikuwa yanasinzia kidogo. Kwa muda mfupi mwaka ule, tukafufua-fufua, hasa kutoka Januari. Kufika Aprili, TAA ikafufuka. Tukafanya mkutano hapo, Anautouglou. Kwa muda mfupi mwaka ule, tukafufua-fufua, hasa kutoka Januari. Kufika Aprili, TAA ikafufuka. Tukafanya mkutano hapo, Anautouglou. Kwenye mkutano huu, wakanichagua kuwa Rais wao, wa TAA.''

Inakuwa tabu sana kwa wasomaji kusoma yale ambayo yanakinzana na
historia rasmi na khasa inapomgusa Baba wa Taifa.

Mwalimu Nyerere anasema yeye kaikuta TAA chini ya uongozi wa Abdul
Sykes
''inasinzia,'' lakini ukienda katika historia na kuangalia hali ilikuwaje,
ukweli unapingana na kauli hiyo.

Tanganyika nzima hali ya siasa ilikuwa ikiwatisha Waingereza.
Angalia hali ilivyokuwa:

''Uongozi wa TAA Makao Makuu ulianza kampeni ya nchi nzima kuueleza umma matokeo ya safari ya Kirilo kwenye Umoja wa Mataifa kuhusu mgogoro wa ardhi ya Wameru na vilevile kuchangisha fedha za kupeleka msafara mwingine kwenda Umoja wa Mataifa kuueleza umoja huo kuwa Tanganyika ilikuwa chini ya udhamini na Watanganyika walikuwa sasa na haki ya kudai uhuru wao. Kamati ya TAA ya watu watatu iliyowajumuisha Kandoro, Kirilo na Abbas Sykes iliundwa kwa ajili hiyo. Ally Sykes akiwa mweka hazina msaidizi wa TAA aliombwa ampelekee Kirilo hawala ya posta Usa River kama nauli ya kumwezesha kusafiri hadi Dodoma kujiunga na ile kamati ya watu watatu. Kulikuwa hakuna huduma ya fedha katika posta ya Usa River na fedha zile zilikaa hapo kwa muda bila ya kuchukuliwa hadi hapo zilipopelekwa posta ya Arusha mjini ambako Kirilo alizichukua. Kuanzia tarehe 26 Septemba, 1953 kwa takriban mwezi mmoja ile kamati ilitembelea na kuhutubia mikutano ya hadhara, ikikusanya fedha Dodoma, Mwanza, Bukoba, Ukerewe, Tarime, Musoma na Shinyanga. Rais wa chama cha TAA, kanda ya ziwa, Paul Bomani aliipokea ile kamati ya watu watatu na kuhutubia mikutano pamoja nao katika jimbo lote. Bomani aliwaambia wanachama wa TAA na wananchi wote mjini Mwanza kuhusu umuhimu wa kuchanga fedha kwa kwa kusudio hilo.''

''The TAA leadership at the headquarters organised a nationwide campaign to inform the people about the outcome of the Meru Land Case at the United Nations and to seek financial support to enable TAA to send another delegation to the United Nations to present and establish Tanganyika’s case as Mandate Territory seeking independence. A TAA committee composed of Kandoro, Kirilo and Abbas Sykes was formed for that purpose. Ally Sykes as the assistant treasurer was requested to send a money order to Usa River in favour of Japhet Kirilo to enable him travel to Dodoma to join the three-man TAA delegation. There was no money order facility at Usa River in those days and the money was held up at the post office for some time, but eventually Kirilo collected it from Arusha. [1] From 26 th September, 1953, for almost a month, the committee toured and addressed public meetings, collecting funds in Dodoma, Mwanza, Bukoba, Ukerewe, Tarime, Musoma and Shinyanga. The president of TAA, Lake Province, Paul Bomani received the three-man TAA committee and addressed meetings with them in the province. Bomani told TAA members and all Africans in Mwanza of the importance of contributing generously to the cause.'' [2]

[1] Money order receipt to Usa River from TAA, details not legible and Ally Sykes handwritten notes. Sykes' Papers.

[2] Report ya Lake Province Kwa Kifupi Iliyotolewa na Bwana Abbas K. Sykes, Sykes’ Papers. Also see Japhet, op. cit. p.62.

Hali hii si hali ya kuwa TAA ilikuwa imesinzia na Nyerere akaja kuiamsha.

Ninayo mengi ambayo ningeweza kuyaweka hapa kudhihirisha kuwa hali
ya siasa Tanganyika kwa wakati ule ilikuwa ya kutia moyo sana.

(Nimeweka hiyo nukuu ya Kiingereza kwa sababu ya rejea kwani katika
Kiswahili rejea zinasumbua kidogo).


Watu wengine wanasoma au wanasikiliza bila kujua kuna kitu kinaitwa critical thinking

Kuna hoja mbili kuhusu hili

1.Mohamed ameondoa ushiriki wa watu makusuadi katika historia anayosema ni ya Tanganyika, ingawa mambo yakibana husema ya wazee wake na ikiwa ngumu zaidi husema ya Waislam

Kosa ambalo Kivukoni walifanya kwa kutotambua michango mingine, kwake lina uhalali

2. Historia ina formula, kuieleza au kuiandika kwa mujibu wa matukio na wakati kama ilivyo
Jaribio la ku ''interject'' personal feelings or ideas, historia husota madole ya machoni dhahir shahir

Kwa waliosikiliza video, Mohamed anasema Kleist Sykes aliunda AA na kisha Jamii fil Islamiya 1933. Mohamed hakueleza chochote kuhusu Cecil Matola.

Kumtaja Cecil ni kumtaja Rais wa kwanza na hivyo hoja ya Kleist kuunda AA inakufa.
Katika maandishia anasema, Kleist aliunda kwasababu alikuwa na pesa na mashuhuri.

Mohamed haelezi Cecil Matola alikuwa msomi na 'immunity' dhidi ya Wakoloni kuliko Kleist
Tendo la kutomtaja Matola, historia haikukaa kimya imemnyooshea kidole

3. Mohamed anasema Abdul Aliunda TANU, Nyerere akiwa Rais wa TAA kabla ya 1954.

Kitendo cha kumuondoa Nyerere, historia inamzaba kibao Mohamed.
Huwezi kuwa Rais wa chama asiyejua transformation. Abdul hakuunda TANU, alishiriki

1929 cecil akiunda AA hadi uchaguzi katika miaka ya 1950 Abdul ni takribani miaka 23.
Kleist na Mwanawe Abdul walibaki na uana harakati kwa miaka 23.

Nyerere aliandika katiba ya TANU katika transformation ya chama kuwa ya kisiasa
Akafungua milango UN kwa kutumia usomi, na kupata Uhuru katika miaka 10

Mohamed hasemi hilo, lakini historia inamsuata bila mtu kuandika kitabu kingine

Miaka 23 Kleist na mwanae Abdul Sykes hawakuwa na wazo la kuandika katiba
Wazo amekuja nalo Nyerere. Ndio maana Mohamed hajibu hoja za nani aliandika katiba
Hataki kumsikia Nyerere mtu anayemchukia sana katika dunia hii

Mohamed anasema hotuba ya Nyerere UN iliandikwa na kamati ya watu watano.
Katika hao Mohamed hamtaji Nyerere aki back date kuandikwa kwake.

Historia inamshataki Mohamed, kama hotuba iliandikwa kabla ya Nyerere ni nani aliyetarajiwa kwenda UN?

Historia inasema kama kamati iliandika hotuba, kulikuwa na tatizo gani ikiwa lilikuwa suala la chama?
Kuna shida gani chama kuandika hotuba kubwa kama ya UN na kumkabidhi mhusika!

Mohamed anaingiza hoja kuonyesha Nyerere alisoma tu bila kujua maudhui ili kumdhalilisha.

Historia inamtetea Nyerere. Wakati hotuba inaandikwa yeye ni mmoja wa watu wachache sana waliokuwa na degree katika kiwango cha Master. Alishakuwa exposed katik siasa za dunia

Mohamed anaweza kumdhalilisha Nyerere atakavyo, wanaosoma kwa critical thinking watakuwa na rafiki yao mmoja anayeitwa Historia atakayewasaidia kuchambua chuki na ukweli
 
Haha.Mkuu Yericko huyo mzee yupo locked ktk karne mbaya. Yupo ktk chupa aliyotoka jin akafungiwa yeye huko. Anajitahidi kugeuza Lullabies kuwa real. Yupo busy kugeuza habari za wahenga kuwa real life events. Kachoka kuona Hollywood wakigeuza science fictions kuwa reality.Ila I wonder how atafanikiwa kugeuza wahenga stupidities kuwa reality.Inaelekea huko uswahili kwao ,huo upuuzi na sifa za kijinga ziliuzwa sana. Niliwahi mkuta mpuuzi mmoja anajichekesha kwa muarabu koko , anasema nyie ni "vijukuu vya mtume" mmeongezewa. huko uswahili kuna sifa km utege, busha, na sauti za kipuuzi km sifa kubwa sana.Huko uswahili uchawi ni sifa, huko uswahili, kuwapa vichaa maembe machanga na mabichi ni akili, huo uswahili kubaka malaya ni sifa, huko uswahili kumpa masikini wa kuja Maziwa yakiwa na mkojo ni baraka, huko uswahili kumpa mtu mikono alambe mikono baada ya kula ni jambo jema(Jiulize jinsi wanavyoshika mavi,maji kidogo bila sabuni zaidi yakujifukiza udi). Km mtu hajaweza kemea haya mambo unategemea dunia yenye ustaarabu mwingine atauweza?


Hawa waswahili hawajui kwanini wakuja huwa wanawapita wenyeji, ukweli ni kwamba wageni walioweza kuja ugenini na kuweza kaa nao pamoja na uadui wao ni kwamba wapo smart enough kuwazidi na mafanikio yao sio msaada au sijui wamekaribishwa kwa wema.Ila wageni wame conquer. Sidhani km binadamu kuwafuga mbwa wenye asili ya ukali na mengine yanaweza kuwa attributed kwa mbwa.Ingekuwa hivyo basi mbwa wa asingekuwa anashambulia wageni. Uswazi kuna visa, kodi za fujo,ndoa za mkeka, kelele ukipika nyama sana, kelele ukichinja wewe ukawanyima nafasi ya kupata mnyama wa kutambika, uswazi mauzauza ni mengi hdi kwa wapangaji wenye nyumba hawana haya wala soni ,wala akili kuwa nyuba ni biashara.Na mpangaji ni mteja.HIvyo vitu kwao havina utaratibu wa kuvishughulikia ,wataelewa vipi dunia?

Nicholas,
Umeghadhibika na unatukana.
Tabu kujibu matusi.
 
Mohamed, Unapingana na Mwalimu Nyerere aloyeikuta TAA ipo taabani akafufua na kuchaguliwa kuwa rais kisha akaiunda TANU, wewe unamwamini mtoto wa Abdulwahid Sykes binti Daisy Abdul Sykes????
Yericko,
Umeniuliza kama namwamini Daisy Sykes.
Sina sababu ya kutomwamini.

Sababu ya kumwamini Daisy si yeye kama mwandishi wa maisha ya
babu yake, Kleist Sykes la hasha, Daisy hana lake katika kile ambacho
kaandika kwa sababu yote aliyoandika yanatokana na aliyoandika babu
yake kabla hajafariki mwaka wa 1947:

Daisy Sykes Buruku, ‘The Townsman: Kleist Sykes’, in Iliffe (ed)
Modern Tanzanians, East African Publishing House Nairobi, 1973, pp.
95-114.

''Publisher,'' EAPH kamwamini na pia mhariri na bingwa wa historia ya
Afrika John Iliffe kamwamini na kitabu kimechapwa.

Ikiwa msomaji atasema kuwa hayo yaliyoandikwa ni uongo hakika ni
bahati mbaya za ikhitilafu.

Lakini ambacho unatakiwa kukizingatia ni kuwa katika historia ya TANU
mimi chanzo changu si Daisy bali ni baba zake, ndugu wawili Abdul na
Ally Sykes pamoja na wazalendo wengine.

Dossa anasema TAA ilikufa baada ya Nyerere kuchukua uongozi ikabidi
yeye na Abdul wawalete wazee ili chama kiinuke upya:

''Mara baada ya Nyerere kuchukua uongozi wa TAA chama kikaanza kusinzia, ushupavu na bidii iliyokuwepo wakati wa uongozi wa Abdulwahid vilitoweka...

Dossa anakumbuka kuwa alikuwa akisimama nje ya nyumba ya mwanakamati na kupiga honi. Mtoto au mke wa mwanakamati angetoka mlangoni kutoa habari kuwa hakuwapo, katoka ilhali yupo ndani. Kwa muda kidogo ilionekana kama Nyerere alikuwa kikwazo cha maendeleo ya TAA. Na huu ndiyo ulikuwa mwendo wa TAA, nguvu yake ilikuwa ikitegemea uwezo wa viongozi wake. Awamu ya kwanza ya uongozi wa Kleist Sykes na Mzee Bin Sudi katika makao makuu TAA ilipiga hatua kubwa. Vivyo hivyo katika zama za Ali Juma Ponda na Hassan Suleiman katika tawi la Dodoma, TAA ilikuwa ikisikika sana na uongozi wake uliheshimiwa hata nje ya Tanganyika. Abdulwahid alikuwepo kama makamu wa rais lakini alipendelea kumwona Nyerere akiendesha ofisi na kufanya maamuzi yake mwenyewe kama rais. Akakihofia kufa kwa chama, Abdulwahid aliwataka shauri viongozi wenzake wa ndani katika TAA - Ally, Dossa, Tewa na Rupia kuwa kipi kifanyike ili kudhibiti hali ile iliyojitokeza. Ilikuwa dhahiri tatizo lilikuwa ni katika kubadilisha uongozi. Wanachama walikuwa hawana imani na uongozi mpya katika ngazi ya juu. Hili linaweza kueleweka ikifikirika kuwa ilikuwa ni miaka mitatu tu huko nyuma wakati Abdulwahid na Dr. Kyaruzi walikifufua baada ya kupoteza mwelekeo baada ya Vita Kuu ya Pili. Iliamuliwa kuwa wazee Waislam wa mjini Dar es Salaam waombwe kumuunga mkono Nyerere.''

pSv5cvj5CVNKJFsbr2fwGfKAMiHVKj6pX5Wda6svDsIUomtY0DZqAanJ0Hq2l676f6Dt6zOQciqarBRP2_GEEcOus9H5IB_Kdccwsha73XZ8c7hphZUftyafN5J5iSeIpgDs5uPogN1WRi-0cC2CKkxETdJXiAGZ4e9rnUPwCkME8zVhkkrn3cn191NEfiQ5eCUsF5hTxW2eO1tk91QLNqQmGUMJ0PS8KU9C9oqegvpQCbS39c8KuLQYlGwfj72Bobx2i2YQHpgQNRFOmNVOjJ9tgL755i7IBwlSeIzOuc3F45hTzxRDcplM8fKWLnPx4cTV_j1tJUbxwuALlTtJYdiw_zA8Gqdzht_0SE84bEzXT2-lrIGZaAtQSl0769Z2BGx7FG81JrjEOfcTPvQ6i6g2ZUQgK6-Kqo6RWE6KkiixK9tIf40vjaL21ZNPgoTu6-HgQ-i1mClL-_1OpwOuP0_SOAExetI8DWTcQwELYQ_TuOXrofDlTJ0TNjiQA-jDMF2eafil1M1Vvrwmed9umVShcuiJ9nA0Biwd1IPhm7G77d0p4sNKGmnWGuZat0akwaLbxg35UwGtolw6VPBiui_gUM-Cc_6f3MQUn-yRHN2pNrXhRI4Z=w839-h629-no


Yericko,
Je, umepatapo kujiuliza Mwalimu Nyerere alipelekwa na nani kwa wazee hawa?

Nimepata huko nyuma kueleza kuwa Nyerere alipelekwa Bagamoyo kwa
Sheikh Mohamed Ramiyya na Idd Faiz Mafungo na Idd Tosiri.

Ushajiuliza Nyerere aijuana vipi na Idd Faiz Mafungo na Idd Tosiri?
Haya ndiyo maswali yangu kwako.
 
Haha.Mkuu Yericko huyo mzee yupo locked ktk karne mbaya. Yupo ktk chupa aliyotoka jin akafungiwa yeye huko. Anajitahidi kugeuza Lullabies kuwa real. Yupo busy kugeuza habari za wahenga kuwa real life events. Kachoka kuona Hollywood wakigeuza science fictions kuwa reality.Ila I wonder how atafanikiwa kugeuza wahenga stupidities kuwa reality.Inaelekea huko uswahili kwao ,huo upuuzi na sifa za kijinga ziliuzwa sana. Niliwahi mkuta mpuuzi mmoja anajichekesha kwa muarabu koko , anasema nyie ni "vijukuu vya mtume" mmeongezewa. huko uswahili kuna sifa km utege, busha, na sauti za kipuuzi km sifa kubwa sana.Huko uswahili uchawi ni sifa, huko uswahili, kuwapa vichaa maembe machanga na mabichi ni akili, huo uswahili kubaka malaya ni sifa, huko uswahili kumpa masikini wa kuja Maziwa yakiwa na mkojo ni baraka, huko uswahili kumpa mtu mikono alambe mikono baada ya kula ni jambo jema(Jiulize jinsi wanavyoshika mavi,maji kidogo bila sabuni zaidi yakujifukiza udi). Km mtu hajaweza kemea haya mambo unategemea dunia yenye ustaarabu mwingine atauweza?


Hawa waswahili hawajui kwanini wakuja huwa wanawapita wenyeji, ukweli ni kwamba wageni walioweza kuja ugenini na kuweza kaa nao pamoja na uadui wao ni kwamba wapo smart enough kuwazidi na mafanikio yao sio msaada au sijui wamekaribishwa kwa wema.Ila wageni wame conquer. Sidhani km binadamu kuwafuga mbwa wenye asili ya ukali na mengine yanaweza kuwa attributed kwa mbwa.Ingekuwa hivyo basi mbwa wa asingekuwa anashambulia wageni. Uswazi kuna visa, kodi za fujo,ndoa za mkeka, kelele ukipika nyama sana, kelele ukichinja wewe ukawanyima nafasi ya kupata mnyama wa kutambika, uswazi mauzauza ni mengi hdi kwa wapangaji wenye nyumba hawana haya wala soni ,wala akili kuwa nyuba ni biashara.Na mpangaji ni mteja.HIvyo vitu kwao havina utaratibu wa kuvishughulikia ,wataelewa vipi dunia?
Mzee wetu anazeeka na imani yake kuwa Tanu ni Wasauzi
 
Yericko,
Umeniuliza kama namwamini Daisy Sykes.
Sina sababu ya kutomwamini.

Sababu ya kumwamini Daisy si yeye kama mwandishi wa maisha ya
babu yake, Kleist Sykes la hasha, Daisy hana lake katika kile ambacho
kaandika kwa sababu yote aliyoandika yanatokana na aliyoandika babu
yake kabla hajafariki mwaka wa 1947:

Daisy Sykes Buruku, ‘The Townsman: Kleist Sykes’, in Iliffe (ed)
Modern Tanzanians, East African Publishing House Nairobi, 1973, pp.
95-114.

''Publisher,'' EAPH kamwamini na pia mhariri na bingwa wa historia ya
Afrika John Iliffe kamwamini na kitabu kimechapwa.

Ikiwa msomaji atasema kuwa hayo yaliyoandikwa ni uongo hakika ni
bahati mbaya za ikhitilafu.

Lakini ambacho unatakiwa kukizingatia ni kuwa katika historia ya TANU
mimi chanzo changu si Daisy bali ni baba zake, ndugu wawili Abdul na
Ally Sykes pamoja na wazalendo wengine.

Dossa anasema TAA ilikufa baada ya Nyerere kuchukua uongozi ikabidi
yeye na Abdul wawalete wazee ili chama kiinuke upya:

''Mara baada ya Nyerere kuchukua uongozi wa TAA chama kikaanza kusinzia, ushupavu na bidii iliyokuwepo wakati wa uongozi wa Abdulwahid vilitoweka...

Dossa anakumbuka kuwa alikuwa akisimama nje ya nyumba ya mwanakamati na kupiga honi. Mtoto au mke wa mwanakamati angetoka mlangoni kutoa habari kuwa hakuwapo, katoka ilhali yupo ndani. Kwa muda kidogo ilionekana kama Nyerere alikuwa kikwazo cha maendeleo ya TAA. Na huu ndiyo ulikuwa mwendo wa TAA, nguvu yake ilikuwa ikitegemea uwezo wa viongozi wake. Awamu ya kwanza ya uongozi wa Kleist Sykes na Mzee Bin Sudi katika makao makuu TAA ilipiga hatua kubwa. Vivyo hivyo katika zama za Ali Juma Ponda na Hassan Suleiman katika tawi la Dodoma, TAA ilikuwa ikisikika sana na uongozi wake uliheshimiwa hata nje ya Tanganyika. Abdulwahid alikuwepo kama makamu wa rais lakini alipendelea kumwona Nyerere akiendesha ofisi na kufanya maamuzi yake mwenyewe kama rais. Akakihofia kufa kwa chama, Abdulwahid aliwataka shauri viongozi wenzake wa ndani katika TAA - Ally, Dossa, Tewa na Rupia kuwa kipi kifanyike ili kudhibiti hali ile iliyojitokeza. Ilikuwa dhahiri tatizo lilikuwa ni katika kubadilisha uongozi. Wanachama walikuwa hawana imani na uongozi mpya katika ngazi ya juu. Hili linaweza kueleweka ikifikirika kuwa ilikuwa ni miaka mitatu tu huko nyuma wakati Abdulwahid na Dr. Kyaruzi walikifufua baada ya kupoteza mwelekeo baada ya Vita Kuu ya Pili. Iliamuliwa kuwa wazee Waislam wa mjini Dar es Salaam waombwe kumuunga mkono Nyerere.''

pSv5cvj5CVNKJFsbr2fwGfKAMiHVKj6pX5Wda6svDsIUomtY0DZqAanJ0Hq2l676f6Dt6zOQciqarBRP2_GEEcOus9H5IB_Kdccwsha73XZ8c7hphZUftyafN5J5iSeIpgDs5uPogN1WRi-0cC2CKkxETdJXiAGZ4e9rnUPwCkME8zVhkkrn3cn191NEfiQ5eCUsF5hTxW2eO1tk91QLNqQmGUMJ0PS8KU9C9oqegvpQCbS39c8KuLQYlGwfj72Bobx2i2YQHpgQNRFOmNVOjJ9tgL755i7IBwlSeIzOuc3F45hTzxRDcplM8fKWLnPx4cTV_j1tJUbxwuALlTtJYdiw_zA8Gqdzht_0SE84bEzXT2-lrIGZaAtQSl0769Z2BGx7FG81JrjEOfcTPvQ6i6g2ZUQgK6-Kqo6RWE6KkiixK9tIf40vjaL21ZNPgoTu6-HgQ-i1mClL-_1OpwOuP0_SOAExetI8DWTcQwELYQ_TuOXrofDlTJ0TNjiQA-jDMF2eafil1M1Vvrwmed9umVShcuiJ9nA0Biwd1IPhm7G77d0p4sNKGmnWGuZat0akwaLbxg35UwGtolw6VPBiui_gUM-Cc_6f3MQUn-yRHN2pNrXhRI4Z=w839-h629-no


Yericko,
Je, umepatapo kujiuliza Mwalimu Nyerere alipelekwa na nani kwa wazee hawa?

Nimepata huko nyuma kueleza kuwa Nyerere alipelekwa Bagamoyo kwa
Sheikh Mohamed Ramiyya na Idd Faiz Mafungo na Idd Tosiri.

Ushajiuliza Nyerere aijuana vipi na Idd Faiz Mafungo na Idd Tosiri?
Haya ndiyo maswali yangu kwako.
Unazungumza mambo ya kufikirika zaidi kuliko uhalisia, jambo muhimu umesema wazi kuwa humwamini Juluis Nyerere aliyekuwa Rais wa TAA 1958 wakati wa ziara ya John.

Hivyo mpaka hapo umejifungia chumbani na kuamini ngano za Daisy juu ya wazazi wake
 
Unazungumza mambo ya kufikirika zaidi kuliko uhalisia, jambo muhimu umesema wazi kuwa humwamini Juluis Nyerere aliyekuwa Rais wa TAA 1958 wakati wa ziara ya John.

Hivyo mpaka hapo umejifungia chumbani na kuamini ngano za Daisy juu ya wazazi wake
Yericko,
Si lazima uamini ninachosema.

Tumeishi miaka mingi na historia ya Chuo Cha Kivukoni.

Si lazima ujibu maswali niliyokuuliza.
Kukaa kimya pia ni jibu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee wetu anazeeka na imani yake kuwa Tanu ni Wasauzi
Yericko,
Mjadala unapendeza ikiwa tutajiepusha na lugha za kihuni kama, ''Wasauzi.''

Wewe utataka kuwa mwandishi wa vitabu ni muhimu kuanzia hapa ukawa
unaijenga heshima na jina lako.

Maalim Faiza anaita hii, ''Elimu bila khiyana,'' sasa hebu wasome hao wenye
TANU yao na hii si kwa ajili yako wewe bali kwa wote wanaotusoma:

''TANU as a political movement had always existed in Abdulwahid’s mind and he persistently and constantly worked for its realisation. A party to unite all the people of Tanganyika irrespective of their ethnic identity or religious affiliation was now a reality. Abdulwahid and the TAA leadership had planted the seeds of unity in Tanzania. If that unity was to be destroyed soon after independence the founding fathers are not to blame. The TANU inaugural meeting was attended by a small crowd of about twenty people, among them Julius Nyerere, Abdulwahid and Ally Sykes, Dossa Aziz, Rupia, Mshume Kiyate, Makisi Mbwana, Jumbe Tambaza, Juma Waziri, Clement Mtamila, Rajab Diwani, Schneider Plantan, Marsha Bilali, Rashidi Ally Meli, Frederick Njiliwa Idd Faiz Mafongo, Idd Tulio, Denis Phombeah and others. Abdulwahid, Ally, Dossa Aziz and Rupia were the main financiers of the movement in Dar es Salaam.

In the colonial environment of 1950s the Sykes family was considered well-to-do, owning several houses in town. Dossa Aziz was also a man of means, driving his own car since 1949 when most Africans could hardly afford a bicycle. Dossa Aziz’s car was the only means of transport to the nationalists including TANU president Nyerere. Dossa Aziz’s house of tiles and glass at Mtoni Kwa Aziz Ali was a building a white colonial officer could envy. As to Rupia, he was out of this league completely. He was rich in the real sense of the word and he made his resources available to the movement. Although Abdulwahid and Ally were considered to have same source of finance, the fact is that each one of them contributed money to support the Party in his own way and capacity.

In 1954, risking his job as Market Master, little did Abdulwahid realise that a time would come when the history of the struggle would be written and his name would not be associated with that important period in the history of Tanganyika as a nation. One can also speculate what would have been the role of Nyerere in the politics of Tanganyika if Chief Kidaha had accepted TAA’s proposal to become president of the Association in 1951; or what would have been the future of Tanganyika if Abdulwahid and the TAA inner circle had accepted Ivor Bayldon’s proposal to form a multiracial political party. This was an obvious ploy contrived by the government to co-opt the nationalists and hence compromise their stand for majority rule. What the government was seeking was to incorporate the TAA leadership with the traditional authorities in the Legislative Council and form what could be wrongly perceived as true representative body of authority with the Governor at the top. This would have nipped in the bud the struggle for majority rule for the Africans of Tanganyika.

With such an hypothetical set up, would Nyerere had been able to form a political party of his own, either within the framework of the TAA or from any other base? Would his party build its power base first from the peasantry in his home area in Musoma, or could he have ventured to build his base from Dar es Salaam with the same Muslim support he was able to get in TANU through his acquaintance with the townsmen?

On the formation of TANU, Iliffe has noted that:

...none of the published accounts, even those of politicians like S.A. Kandoro or E.B.M. Barongo, is particularly revealing. Available government records contain little of importance. President Nyerere has never analysed the process in public...The most difficult problem of all is to evaluate president Nyerere’s own role in the process of transformation, specially the extent to which he was planning a mass movement or was led into it by provincial politicians already involved in mass action. [1]

Abdulwahid now thirty years old, had accomplished the ambition of his lifetime, an ambition which had originated from his late father, who twenty-one years before had predicted a continuous struggle between the Africans of Tanganyika and the colonial state. Kleist Sykes had foretold the role of the next generation. In a letter he wrote in 1933 to Mzee bin Sudi, then president of the African Association, Kleist at the tender age of twenty-nine years had this to write:

Let us struggle with all our hearts towards the path of civilization just like other tribes are doing. It does not matter if we do not accomplish everything. Those who will come after us will finish the rest.'' [2]

[1] Iliffe, 'The Role of African...' op. cit. p. 24.
[2] See Buruku, op. cit. p. 105.

Yericko,
Naweka na kwa Kiswahili baadhi kama yalivyo katika nakala
ya kitabu tafasiri ya Kiswahili:

''Abdulwahid sasa akiwa na umri wa miaka 30, alikuwa amekamilisha lile lengo lake kubwa katika maisha yake, lengo ambalo lilianza kwa marehemu baba yake ambaye miaka ishirini na moja iliyopita alitabiri kuendelea kwa mapambano kati ya Waafrika wa Tanganyika na serikali ya kikoloni. Kleist Sykes alikuwa halikadhalika ametabiri jukumu la kizazi kijacho. Katika barua aliyomwandikia Mzee bin Sudi, rais wa African Association, mwaka wa1933, Kleist katika umri mdogo wa miaka ishirini na tisa, akiwa kijana mdogo sana aliandika maneno haya:

''Tupambane kwa nguvu zetu zote kuelekea njia ya ustaarabu kama vile watu wa makabila mengine wanavyofanya. Haidhuru kitu ikiwa hatukamilishi kila kitu. Wale watakaokuja baada yetu watakamilisha yatakayobakia.''

Kwa hakika Kleist alikuwa mtu wa fikra. Alizungumzia kuhusu "wastaarabu," ambao hivi leo ungemaanisha, "kujitawala," na kuhusu makabila ambayo TANU imeyageuza kuwa taifa. Katika mwaka wa1954 robo karne baadaye katika jengo lilo hilo, 25 New Street ambalo Kleist alisaidia kulijenga kwa njia ya kujitolea, kizazi kipya nchini Tanganyika kilikuwa kikiigeuza African Association aliyoiunda katika mwaka 1929 kuwa chama cha siasa. Lengo lake lilikuwa kuwatayarisha Watanganyika kujitawala. Miongoni mwa waliokuwa wakiongoza harakati za kudai uhuru zilizokuwa zikiibuka walikuwa watoto wake watatu, Abdulwahid, Ally na Abbas.

Inapendeza wakati mwingine mtu akakaa na kutafakari juu ya hatima. Mwaka wa 1954, Abdulwahid akihatarisha kazi yake kama Market Master, haikumjia hata kidogo kuwa siku itafika historia ya kudai uhuru iandikwe na jina lake lisihusishwe na hiki kipindi muhimu katika historia ya uzalendo wa Tanganyika. Vilevile mtu anaweza kukisia hii leo Nyerere angekuwa wapi katika siasa za Tanganyika kama mwaka wa 1951 Chifu Kidaha angekubali lile pendekezo la Abdulwahid la kumuomba kuchukua uongozi na kuwa rais wa TAA. Au nini ungekuwa mustakbal wa Tanganyika kama Abdulwahid na wenzake katika uongozi wa ndani wa TAA wangekubali lile pendekezo la Ivor Bayldon la kuunda chama cha siasa cha mchanganyiko wa mataifa mbali mbali. Hii ilikuwa ujanja uliopangwa na serikali kuwatia wazalendo katika siasa hizo na hivyo kuwatoa katika msimamo wao wa kutaka utawala wa Waafrika waliokuwa wengi. Kile serikali ilichokuwa ikitafuta kilikuwa kuunganisha uongozi wa TAA na utawala wa machifu katika Baraza la Kutunga Sheria na kuunda kile ambacho kingeweza kudhaniwa kama uwakilishi halali wa serikali na Gavana akiwa mkuu wa serikali. Jambo hili lingedhuru harakati za utawala wa Waafrika wa Tanganyika.

Suali la kujiuliza ni kuwa, ‘’Je Nyerere angeweza kuunda chama chake mwenyewe cha siasa ama ndani ya TAA au kutoka chanzo kingine chochote? Je, chama chake kingejenga msingi wa nguvu yake kwanza toka kwa wakulima katika sehemu za kwao huko Musoma au angebahatisha kujenga msingi wake wa siasa Dar es Salaam kwa msaada ule ule wa Waislam alioweza kuupata katika TANU kupitia kwa watu kama Abdulwahid na Ally Sykes, Dossa Aziz, Sheikh Suleiman Takadir na watu wengine miongoni mwa watu wa mjini?’’

Juu ya kuundwa kwa TANU Iliffe ameandika kuwa:

''...Si taarifa hata moja zilizochapishwa hata zile za wanasiasa kama S.A. Kandoro au E.B.M. Barongo zenye kufichua hasa kumbukumbu za serikali zilizopo zina umuhimu kiasi gani katika kueleza kuundwa kwa TANU. Rais Nyerere katu hajaeleza wazi hadharani kuhusu hilo... Tatizo gumu sana katika yote ni kutathmini nafasi ya Nyerere mwenyewe katika utaratibu wa mageuzi ya siasa, hususan kile kiwango ambacho alikuwa anapanga kuunda chama cha siasa au aliongozwa kwenye chama hicho na wanasiasa wa pale mjini ambao tayari walikuwa wanahusika katika harakati za siasa.''

TANU, kama chama cha siasa, kilikuwa ndani ya fikra za Abdulwahid katika maisha yake na alifanya kazi kwa uthabiti kuhakikisha kuwa TANU kingekuwa chama cha kuwaunganisha Watanganyika wote bila kujali kabila au dini zao. Kuundwa kwa TANU kwake yeye kulikuwa jambo lisilo na shaka. Abdulwahid na uongozi wa TAA walikuwa wamepanda mbegu za umoja wa wananchi wa Tanganyika na ikiwa umoja huo uliangamizwa mara baada ya uhuru kupatikana waasisi wa umoja huo hawapaswi kulaumiwa. Maisha ya siasa ya Abdulwahid hayawezi kutenganishwa na historia ya TANU wala historia ya taifa la Tanganyika. Hakuna mwanaiasa yeyote anayeweza kujilinganisha na marehemu Abdulwahid kwa yale aliyoyafanya wakati wa ukoloni. Abdulwahid alitoa mwelekeo kwa chama cha wafanyakazi, aliunda chama cha siasa na alimweka Nyerere kwenye kiti cha madaraka.''
 
Nimeamua kwa hiari yangu kuachana na huu mnakasha, nawatakia washiriki wote mtakaoendelea kila la kheri. Narudi kwenye mambo muhimu zaidi kitaifa yanayojiri katika uwanja wa siasa...
Kila la kheri.
 
Watu wengine wanasoma au wanasikiliza bila kujua kuna kitu kinaitwa critical thinking

Kuna hoja mbili kuhusu hili

1. ameondoa ushiriki wa watu makusuadi katika historia anayosema ni ya Tanganyika, ingawa mambo yakibana husema ya wazee wake na ikiwa ngumu zaidi husema ya Waislam

Kosa ambalo Kivukoni walifanya kwa kutotambua michango mingine, kwake lina uhalali
Hii inaitwa mkuki kwa nguruwe...

2. Historia ina formula, kuieleza au kuiandika kwa mujibu wa matukio na wakati kama ilivyo
Jaribio la ku ''interject'' personal feelings or ideas, historia husota madole ya machoni dhahir shahir

Kwa waliosikiliza video, anasema Kleist Sykes aliunda AA na kisha Jamii fil Islamiya 1933. Mohamed hakueleza chochote kuhusu Cecil Matola.

Kumtaja Cecil ni kumtaja Rais wa kwanza na hivyo hoja ya Kleist kuunda AA inakufa.
Katika maandishia anasema, Kleist aliunda kwasababu alikuwa na pesa na mashuhuri.

haelezi Cecil Matola alikuwa msomi na 'immunity' dhidi ya Wakoloni kuliko Kleist
Tendo la kutomtaja Matola, historia haikukaa kimya imemnyooshea kidole
Hapa kuna urongo...
3. anasema Abdul Aliunda TANU, Nyerere akiwa Rais wa TAA kabla ya 1954.

Kitendo cha kumuondoa Nyerere, historia inamzaba kibao .
Huwezi kuwa Rais wa chama asiyejua transformation. Abdul hakuunda TANU, alishiri

Nyerere aliandika katiba ya TANU katika transformation ya chama kuwa ya kisiasa
Akafungua milango UN kwa kutumia usomi, na kupata Uhuru katika miaka 10

hasemi hilo, lakini historia inamsuata bila mtu kuandika kitabu kingine

anaweza kumdhalilisha Nyerere atakavyo, wanaosoma kwa critical thinking watakuwa na rafiki yao mmoja anayeitwa Historia atakayewasaidia kuchambua chuki na ukweli
Mkuu mtanganyika wa kweli, kwanza asante kwa mchango huu, japo katika simulizi za mzee wetu huu kuna urong mwingi, pia kuna ukweli fulani, kwa vile ana kipaji za simulizi, kilichovumbuliwa na padri wa Katoliki, na ana uwezo mkubwa alioupata kwenye shule ya misheni pale Forodhani, hivyo hata akiongopa kiasi gani kwa kujazia urongo wa kuunga unga kwa malengo fulani, ("the motive behind", and "the man with a mission"), lakini simulizi zake ni tamu, hivyo sisi wapenda hadithi, tunapenda kumsoma kama kwenye "hadithi hadithi" " hadithi njoo, uwongo njoo, utam kolea"

"Paliondokea janja gaa,
Kajenga nyumba kakaa
Mwanangu mwana Sitti
Vijino kama chikichi
vya kujengea ukuta
na vilango vya kupitia".

Mwacheni Mzee wtu aendelee kutusimulia hadithi tamu.

Paskali.
 
Hii inaitwa mkuki kwa nguruwe...


Hapa kuna urongo...
Mkuu mtanganyika wa kweli, kwanza asante kwa mchango huu, japo katika simulizi za mzee wetu huu kuna urong mwingi, pia kuna ukweli fulani, kwa vile ana kipaji za simulizi, kilichovumbuliwa na padri wa Katoliki, na ana uwezo mkubwa alioupata kwenye shule ya misheni pale Forodhani, hivyo hata akiongopa kiasi gani kwa kujazia urongo wa kuunga unga kwa malengo fulani, ("the motive behind", and "the man with a mission"), lakini simulizi zake ni tamu, hivyo sisi wapenda hadithi, tunapenda kumsoma kama kwenye "hadithi hadithi" " hadithi njoo, uwongo njoo, utam kolea"

"Paliondokea janja gaa,
Kajenga nyumba kakaa
Mwanangu mwana Sitti
Vijino kama chikichi
vya kujengea ukuta
na vilango vya kupitia".

Mwacheni Mzee wtu aendelee kutusimulia hadithi tamu.

Paskali.
Paskali,
Hii si hadithi hii ndiyo kweli yenyewe.

Kwa mara ya kwanza iliwashtua wengi waliochukuliwa na historia mfano
wa Chuo Cha Kivukoni.

Mmoja katika wale wenye akili zilizopea aliamua kuzungumza na mimi.
Kwanza alitaka kujua historia yangu.

Nikamweleza historia ya babu yangu katika harakati za kupambana na
ukoloni:

''(Babu yangu) Salum Abdallah Popo alikuwa muasisi wa harakati za vyama vya wafanyakazi na alikuwa miongoni mwa watu wa mwanzo kabisa kuanzisha upinzani na kuunga mkono juhudi za kuupinga utawala wa kikoloni. Mwaka 1947 aliongoza mgomo wa kwanza Tanganyika wa wafanyakazi wa Tanganyika Railways katika majimbo ya kati ya nchi. Tanganyika ilipopata uhuru wake mwaka 1961 Salum Abdallah Popo aliachana mkono na Nyerere kama wengi walivyofanya na aliwekwa kizuizini na serikali chini ya sheria ya Preventive Detention Act of 1962 kwa ajili ya msimamo wake wa kuamini kuwa vyama vya wafanyakazi viwe huru. Akiwa mwenyekiti wa Tanganyika Railways African Union (TRAU) alipinga vyama vya wafanyakazi kuwekwa chini ya Tanganyika African National Union (TANU) chini ya Rais Julius Nyerere.''

Paskali
Huyu ni babu yangu na alikuwapo toka siku ya kwanza TANU inaundwa
na ni mmoja kati ya wanachama wa mwanzo wa TANU Tabora.

Salum Abdallah si ''character,'' katika kitabu cha hadithi.

''Halikadhalika natoa shukurani kwa marehemu Rashid Mussa ambae katika mazungumzo yetu, yeye bila kufahamu kuwa mimi ni mjukuu wa Salum Abdallah Popo alinieleza habari za babu yangu wakati anaanza siasa na jinsi alivyoongoza mgomo wa kwanza wa Tanganyika nzima pale Tabora mwaka 1947...

Ingawa vitabu vya historia havimtaji, lakini babu yangu yeye ndiye aliyeongoza mgomo wa kwanza wa Tanganyika mwaka 1947 dhidi ya Waingereza katika majimbo ya kati ya Tanganyika. Babu yangu alikuwa mmoja wa wazalendo wa kwanza wakati wa ukoloni kuanzisha harakati za vyama vya wafanyakazi. Vilevile alikuwa kati ya watu wa mwanzo kuiunga mkono Tanganyika African National Union (TANU), chama cha kizalendo kilichopigania na kunyakua uhuru kutoka kwa Waingereza mwaka 1961...

TAA ilipofanya mkutano wa siri katika shule moja pale Tabora ili kuchangisha fedha kumwezesha katibu wa TAA Jimbo la Magharibi Germano Pacha kusafiri Dar es Salaam kuhudhuria mkutano mkuu wa kuanzishwa TANU Julai mwaka 1954 mchango, mkubwa kupita yote ilikuwa shilingi ishirini. Fedha hizi alitoa babu yangu. Mkutano huu ulihudhuriwa na watu maarufu wa Tabora pamoja na baadhi ya waalimu kama Abubakar Mwilima, Harub Said na George Magembe. Hawa walikuja kuwa watu muhimu sana wakati wa harakati za kudai uhuru. Hata hivyo, babu yangu alitupana mkono na Julius Nyerere kama wengi walivyofanya, na alitiwa kizuizini na serikali mara baada ya uhuru chini ya Preventive Detention Act ya mwaka 1962...

Babu yangu Salum Abdallah na Kleist Sykes walikuwa majirani katika miaka ya 1930 nyumba zao zikitazamana katika Mtaa wa Kipata (sasa Kleist Sykes), na wote wakiwa wameajiriwa na Tanganyika Railways. Babu yangu akifanya kazi katika karakana ya kuyeyusha chuma. Lango kuu la kuingia loko shedi kama sehemu hiyo ilivyokuwa ikijulikana ilikuwa limeelekea katika mtaa ambao sasa unajulikana kama Mtaa wa Nkrumah. Hii ndiyo ilikuwa karana kuu ambayo treni na mabehewa yake yalikuwa yakifanyiwa matengenezo na vipuli kutengenezwa hapo. Kazi yake ilikuwa ngumu inayohitaji kufanyika katika hali ya joto la juu kabisa kutoka katika moto ambao ulihitajika ili kukunja chuma kwa moto mkali. Hii ilikuwa kazi ngumu iliyohitaji nguvu na afya nzuri, kazi hasa iliyomfaa babu yangu kwa tambo lake kubwa la Kimanyema. Kleist alikuwa amesoma katika shule ya Wajerumani. Kwa ajili hii basi alikuwa na kazi isiyokuwa na sulubu, wakati ule akiajiriwa kama karani wa mahesabu. Kleist na Salum Abdallah, baba yangu alinifahamisha, hawakuwa kwa hakika watu waliopendana sana. Wazulu wanafahamika kwa sifa ya shari kama walivyo Wamanyema. Lakini watoto wa Kleist na Salum Abdallah Popo, walikuja kujenga urafiki ambao ulidumu miaka mingi.

Wakati nakua, nilikuja kujua kuhusu watu hawa na mambo yaliyotokea Dar es Salaam hata kabla sijazaliwa mwaka wa 1952. Baba yangu, ndugu zake na watu wengine wa Dar es Salaam walikuwa ndiyo walikuwa walimu wangu kwa yote niliyojifunza kuhusu mji wenyewe na historia yake...''

Paskali,
Hii ndiyo ilikuwa, ''credential,'' yangu kwa huyu msomi.
Historia yangu ilimdhihirishia kuwa najua ninachoandika.

Sikulazimishi kuamini historia hii.

Tumeishi kwa miaka mingi sana na historia ya Chuo Cha Kivukoni na
hakuna aliyedhurika kwa kuamini historia ile.

Hayo yote niliyoweka hapo juu nimetoa katika kitabu cha Abdul Sykes.
 
Paskali,
Hii si hadithi hii ndiyo kweli yenyewe.

Kwa mara ya kwanza iliwashtua wengi waliochukuliwa na historia mfano
wa Chuo Cha Kivukoni.

Mmoja katika wale wenye akili zilizopea aliamua kuzungumza na mimi.
Kwanza alitaka kujua historia yangu.

Nikamweleza historia ya babu yangu katika harakati za kupambana na
ukoloni:

''(Babu yangu) Salum Abdallah Popo alikuwa muasisi wa harakati za vyama vya wafanyakazi na alikuwa miongoni mwa watu wa mwanzo kabisa kuanzisha upinzani na kuunga mkono juhudi za kuupinga utawala wa kikoloni. Mwaka 1947 aliongoza mgomo wa kwanza Tanganyika wa wafanyakazi wa Tanganyika Railways katika majimbo ya kati ya nchi. Tanganyika ilipopata uhuru wake mwaka 1961 Salum Abdallah Popo aliachana mkono na Nyerere kama wengi walivyofanya na aliwekwa kizuizini na serikali chini ya sheria ya Preventive Detention Act of 1962 kwa ajili ya msimamo wake wa kuamini kuwa vyama vya wafanyakazi viwe huru. Akiwa mwenyekiti wa Tanganyika Railways African Union (TRAU) alipinga vyama vya wafanyakazi kuwekwa chini ya Tanganyika African National Union (TANU) chini ya Rais Julius Nyerere.''

Paskali
Huyu ni babu yangu na alikuwapo toka siku ya kwanza TANU inaundwa
na ni mmoja kati ya wanachama wa mwanzo wa TANU Tabora.

Salum Abdallah si ''character,'' katika kitabu cha hadithi.

''Halikadhalika natoa shukurani kwa marehemu Rashid Mussa ambae katika mazungumzo yetu, yeye bila kufahamu kuwa mimi ni mjukuu wa Salum Abdallah Popo alinieleza habari za babu yangu wakati anaanza siasa na jinsi alivyoongoza mgomo wa kwanza wa Tanganyika nzima pale Tabora mwaka 1947...

Ingawa vitabu vya historia havimtaji, lakini babu yangu yeye ndiye aliyeongoza mgomo wa kwanza wa Tanganyika mwaka 1947 dhidi ya Waingereza katika majimbo ya kati ya Tanganyika. Babu yangu alikuwa mmoja wa wazalendo wa kwanza wakati wa ukoloni kuanzisha harakati za vyama vya wafanyakazi. Vilevile alikuwa kati ya watu wa mwanzo kuiunga mkono Tanganyika African National Union (TANU), chama cha kizalendo kilichopigania na kunyakua uhuru kutoka kwa Waingereza mwaka 1961...

TAA ilipofanya mkutano wa siri katika shule moja pale Tabora ili kuchangisha fedha kumwezesha katibu wa TAA Jimbo la Magharibi Germano Pacha kusafiri Dar es Salaam kuhudhuria mkutano mkuu wa kuanzishwa TANU Julai mwaka 1954 mchango, mkubwa kupita yote ilikuwa shilingi ishirini. Fedha hizi alitoa babu yangu. Mkutano huu ulihudhuriwa na watu maarufu wa Tabora pamoja na baadhi ya waalimu kama Abubakar Mwilima, Harub Said na George Magembe. Hawa walikuja kuwa watu muhimu sana wakati wa harakati za kudai uhuru. Hata hivyo, babu yangu alitupana mkono na Julius Nyerere kama wengi walivyofanya, na alitiwa kizuizini na serikali mara baada ya uhuru chini ya Preventive Detention Act ya mwaka 1962...

Babu yangu Salum Abdallah na Kleist Sykes walikuwa majirani katika miaka ya 1930 nyumba zao zikitazamana katika Mtaa wa Kipata (sasa Kleist Sykes), na wote wakiwa wameajiriwa na Tanganyika Railways. Babu yangu akifanya kazi katika karakana ya kuyeyusha chuma. Lango kuu la kuingia loko shedi kama sehemu hiyo ilivyokuwa ikijulikana ilikuwa limeelekea katika mtaa ambao sasa unajulikana kama Mtaa wa Nkrumah. Hii ndiyo ilikuwa karana kuu ambayo treni na mabehewa yake yalikuwa yakifanyiwa matengenezo na vipuli kutengenezwa hapo. Kazi yake ilikuwa ngumu inayohitaji kufanyika katika hali ya joto la juu kabisa kutoka katika moto ambao ulihitajika ili kukunja chuma kwa moto mkali. Hii ilikuwa kazi ngumu iliyohitaji nguvu na afya nzuri, kazi hasa iliyomfaa babu yangu kwa tambo lake kubwa la Kimanyema. Kleist alikuwa amesoma katika shule ya Wajerumani. Kwa ajili hii basi alikuwa na kazi isiyokuwa na sulubu, wakati ule akiajiriwa kama karani wa mahesabu. Kleist na Salum Abdallah, baba yangu alinifahamisha, hawakuwa kwa hakika watu waliopendana sana. Wazulu wanafahamika kwa sifa ya shari kama walivyo Wamanyema. Lakini watoto wa Kleist na Salum Abdallah Popo, walikuja kujenga urafiki ambao ulidumu miaka mingi.

Wakati nakua, nilikuja kujua kuhusu watu hawa na mambo yaliyotokea Dar es Salaam hata kabla sijazaliwa mwaka wa 1952. Baba yangu, ndugu zake na watu wengine wa Dar es Salaam walikuwa ndiyo walikuwa walimu wangu kwa yote niliyojifunza kuhusu mji wenyewe na historia yake...''

Paskali,
Hii ndiyo ilikuwa, ''credential,'' yangu kwa huyu msomi.
Historia yangu ilimdhihirishia kuwa najua ninachoandika.

Sikulazimishi kuamini historia hii.

Tumeishi kwa miaka mingi sana na historia ya Chuo Cha Kivukoni na
hakuna aliyedhurika kwa kuamini historia ile.

Hayo yote niliyoweka hapo juu nimetoa katika kitabu cha Abdul Sykes.
Asante kwa hadithi nyingine nzuri na tamu ya Salum Abdallah Popo, ila
kama umesema urongo kuwa Sykes alianzisha AA wakati sii kweli, mwanzilishi wa AA ni Cecil Matola, mwaka 1927, Sykes alikaimu urais mwaka 1933 baada ya Matola kufariki.

Kisha ukasema urongo Sykes alianzisha TAA, wakati mwanzilishi wa kweli wa TAA ni Dr. Vedastus Kyaruzi.
Urongo huo kama hautoshi, ukasema urongo mwingine kuwa Sykes alianzisha TANU, wakati mwanzilishi wa TANU ni Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Ukasema urongo mwingi kuhusu babu zako na harakati za uhuru, wakati ukweli halisi shujaa wa uhuru na mkombozi wa taifa hili dhidi ya wakoloni ni Mwalimu Julius Kambarage Nyerere pekee!.

Hivyo hii taarifa yako kuwa babu yako yeye ndiye aliyeongoza mgomo wa kwanza wa Tanganyika mwaka 1947 dhidi ya Waingereza katika majimbo ya kati ya Tanganyika needs collaboration, vinginevyo pia inaweza kuwa ni urongo, sio urongo uliotunga weye bali ni urongo wa aliyekusimulia hadithi ya urongo.

Kama babu yako alikuwa mmoja wa wazalendo wa kwanza wakati wa ukoloni kuanzisha harakati za vyama vya wafanyakazi, this also needs collaboration, tulivyofunzwa sisi, waanzilishi wa harakati za migomo ya wafanyakazi ni kina Michael Kamaliza na Rishidi Kawawa .

Hili la kusema kuwa alikuwa kati ya watu wa mwanzo kuiunga mkono Tanganyika African National Union (TANU), chama cha kizalendo kilichopigania na kunyakua uhuru kutoka kwa Waingereza mwaka 1961 bila kumtaja shujaa pekee wa TANU na uhuru wa Tanganyika ni omission!, some omissions za makusudi nazo pia ni urongo!.

Bahati mbaya sana sisi wengine hatukujaliwa kipaji cha kusimulia hadithi za wazee wetu tulizo simuliwa, ila hata mimi Mzee wangu, Andrew Mayalla ni miongoni wa Watanganyika walioongoza vikosi vya polisi kwenye parade ya uhuru na mama yangu alifanya kazi bomani, picha zipo, hivyo mimi na wewe kwa kiasi fulani tunafana, ni watoto wa wapigania uhuru, ila mimi sina urongo wowote kuhusu wazee wangu.

Urongo unafuata kanuni ya samaki kwenye tenga la samaki, samaki mmoja akioza... hivyo hata kama kuna ukweli wa asilimia 99% katika simulizi zako, urongo wa asilimia 01% unatosha kabisa kuharibu tenga la samaki wote, ila kitu kizuri, hadithi zako kwanza ni tamu, pili ni elimishi, hivyo licha ya urongo na zile sumu ndani ya simulizi zako, so far you are the best story teller humu jf, in fact you are an orator na narrator!.

Thanks, keep it up, ninakusoma sana na enda ikawa one day nikawa mwanafunzi wako kwenye oratorio skills.

Paskali
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom