FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,890
- 109,226
Wanajamvi kwa mujibu wa Mohamed, maswali yamejaa lugha ya kughadhabika na shari. Maswali ni hayo hapo juu, kama kuna mahali lipo tatizo naomba mtu anionyeshe kughadhabika au shari, nitaomba radhi.
Kama hakuna Mohamed maswali yapo wazi ndani ya mada na maudhui, jamvi linakusikiliza
Hakuna jipya.
Maswali ni hayo kwa hayo, miaka nenda miaka rudi.
Kama mna jipya nje ya kitabu cha Alama Mohamed Said si mkilete?
Wewe hukubali kuwa katika hiyo kura wengi walikuwa ni Waislam? Leta list yako ya walio hudhuria.