Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 5,360
- 11,514
Sijui. Mimi huwa napenda kuyaangalia mambo kwa upeo wa tofauti kidogo.
Mbowe ni kiongozi mkubwa tu kitaifa kwa CHADEMA. Najiuliza hiyo kuvamiwa kwake na kupigwa miguu lengo lilikuwa nini? Hospitali huwa mtu anayepigwa kwa magongo au kitu kikubwa mwilini majeraha yake yanafahamika. Kitaalamu kabisa.
Kwa Mbowe haikuwa hivyo nini kilichotokea kiuhalisia? Hawa watu waliweza kuingia mpaka kwa Mbowe bila CCTV kuwa detect ilikuaje? Lakini inakuaje Mbowe anakosa CCTV pale kwake? Hakujifunza kwa lililotokea kwa Tundu Lissu?
Tuseme alivamiwa akiwa nje. Je, Mbowe hana Mlinzi hata mmoja? Aliposhushwa kwenye gari au alikuwa ana drive mwenyewe?alikuwa all alone kwa wakati wote huo?
Napata maswali mengi kuliko majibu. Mimi nina tatizo la kutoacha jambo kiporo. Nlikuwa najiuliza Serikali kama ndo ilikuwa imetuma watu basi ilikuwa inafanya mambo kipuuzi kabisa. Yaani mnatuma watu wakampige miguu Mbowe? Ili iweje?
Tunajua wale ambao walitumwa kwa Tundu Lissu walitumwa ili wamuue. Walitumwa na nani...hatujui. na mimi binafsi nashangaa Serikali mpaka leo imeona haina haja ya kufuatilia jambo hilo.
Je ni kweli Mbowe alivamiwa na hao mabaradhuli wakampiga piga tu miguuni? Ili iweje sasa? Lakini naye Mbowe anaishi peke yake sehemu hiyo tena bila Ulinzi? Mi kuna mambo huwa tu nakaa nawaza. Nasema hiii...
Hizi siasa za Kitanzania. Usanii vyama vyote vinafanya.yaani hakuna wa kumwamini. Inafikia hatua hata ukweli tunaanza kuu doubt.
Mambo kama haya mara nyingi sisi ambao tumebaki na akili zetu ndo tunawaza. Lakini wafuasi wa Chama na Mtu. Hawawezi pata muda huu wa kuwaza. Wataishia kutukana tu
1. Peopleeeeeeeeeeeee's ! Power.
2. Kidumu chama cha mapinduzi! Kidumuuuuuuuu.
Mbowe ni kiongozi mkubwa tu kitaifa kwa CHADEMA. Najiuliza hiyo kuvamiwa kwake na kupigwa miguu lengo lilikuwa nini? Hospitali huwa mtu anayepigwa kwa magongo au kitu kikubwa mwilini majeraha yake yanafahamika. Kitaalamu kabisa.
Kwa Mbowe haikuwa hivyo nini kilichotokea kiuhalisia? Hawa watu waliweza kuingia mpaka kwa Mbowe bila CCTV kuwa detect ilikuaje? Lakini inakuaje Mbowe anakosa CCTV pale kwake? Hakujifunza kwa lililotokea kwa Tundu Lissu?
Tuseme alivamiwa akiwa nje. Je, Mbowe hana Mlinzi hata mmoja? Aliposhushwa kwenye gari au alikuwa ana drive mwenyewe?alikuwa all alone kwa wakati wote huo?
Napata maswali mengi kuliko majibu. Mimi nina tatizo la kutoacha jambo kiporo. Nlikuwa najiuliza Serikali kama ndo ilikuwa imetuma watu basi ilikuwa inafanya mambo kipuuzi kabisa. Yaani mnatuma watu wakampige miguu Mbowe? Ili iweje?
Tunajua wale ambao walitumwa kwa Tundu Lissu walitumwa ili wamuue. Walitumwa na nani...hatujui. na mimi binafsi nashangaa Serikali mpaka leo imeona haina haja ya kufuatilia jambo hilo.
Je ni kweli Mbowe alivamiwa na hao mabaradhuli wakampiga piga tu miguuni? Ili iweje sasa? Lakini naye Mbowe anaishi peke yake sehemu hiyo tena bila Ulinzi? Mi kuna mambo huwa tu nakaa nawaza. Nasema hiii...
Hizi siasa za Kitanzania. Usanii vyama vyote vinafanya.yaani hakuna wa kumwamini. Inafikia hatua hata ukweli tunaanza kuu doubt.
Mambo kama haya mara nyingi sisi ambao tumebaki na akili zetu ndo tunawaza. Lakini wafuasi wa Chama na Mtu. Hawawezi pata muda huu wa kuwaza. Wataishia kutukana tu
1. Peopleeeeeeeeeeeee's ! Power.
2. Kidumu chama cha mapinduzi! Kidumuuuuuuuu.