Dragoon
JF-Expert Member
- Nov 24, 2013
- 7,012
- 8,126
Mkuu, utaratibu wa kupandisha majaji vyeo (vya uteuzi) unaansia kwenye tume ya utumishi wa mahakama, raisi anapelekewa mapendekezo tu. kazi ya raisi ni kuidhinisha. Tazama kifungu namba 29(1) cha sheria ya uongozi wa mahakama (The Judiciary administration Act, 2011. Act no. 4 of 2011).Kuuliza sio ujinga, naomba kuuliza utaratibu wa kupandisha vyeo majaji unaanzia kwa raisi au unaanzia wapi? Au inaanzia na jopo fulani la majaji kisha raisi anahidhinisha?
CC: Pascal Mayalla,
Petro E. Mselewa