Kumbukumbu: Rais Magufuli alimpandisha cheo Jaji wa kesi ya Kafulila

Try to put your mind free for at least a minute........

Magufuli alikua waziri wakati ule na hakuweza kuwa upande wa wapinzani au ingempasa ajiuzu kama Lyatonga kipindi kile. Hii tunaweza kuuita ni uoga ili kulinda maslahi ya mtu binafsi au uzalendo wa kumlinda aliempa dhamana!

Upande wa pili mheshimiwa anaonekana kuongea sana mpaka anasahau alichokiongea juzi ndio maana nyingi ya kauli zake zinaonekana kuwa na utata, kwa mfano akiwa Kigoma alimponda mbunge wa CHADEMA lakini akamsifia mbunge wa ACT na pia akiwa Tabora alimsifia mbunge wa Lipumba, Sakaya mpaka akajisahau.

Ukiangalia ahadi zake nyingi kwa wananchi na wafanyakazi zimefeli, Milion 50 kila kijiji, ajira, increament na nyinginezo.

Kiukweli mheshimiwa rais anahitaji kusaidiwa katika kuongea, awe na mipaka, aongee vitu vyenye mantiki, wasaidizi wake wako wapi? Mbona wanamwacha boss katika hali hii?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usilolijua litakusumbua! Jaji wambali kabla ya kuwa jaji alikuwa msajili wa mahakama ya Rufaa. Kipindi hicho wasajili walikuwa wananguvu sana kimaamuzi katika utawala wa mahakama (hili usiniulize, kama hujui maana). Wambali alikuwa na msimamo dhabiti, hakuwaogopa wala kuwanyenyekea majaji pale alipoona masuala yao au madai yao ni ya kikazi (administration) zaidi. aliwahudumia kama watumishi wengine tu wa mahakama.
Alipopewa ujaji (kipindi cha utawala wa kikwete) Majaji wenzake walimtenga, hata wakati wa chakula ilibidi apelekewe chakula kwenya ofisi (chamber) yake mwenyewe. Alikuwa akijumuika na majaji wenzake kwenye chai au chakula majaji wote walikaa kimya, hakuna story. Akiwa bado jaji wa mahakama kuu Tabora, alitolewa kituoni kwake akapelekwa Lushoto (chuo cha mahakama) kuwa principal. Majaji wengine walifurahia wakisema hii ni demotion.
Hapa juzi kateuliwa kuwa jaji kiongozi, kuna majaji wamefurahia, kuna walionuna wakidhani atalipiza kisasi. Lakini huyu bwana hata hakumbushii kilichokuwa kinaendelea huko nyuma.
una swali zaidi?
Mkuu kama kesi ya Kafulià hakuiamua kwa haki,kulikuwa na mizengwe na sheria hazikufatwa,hilo tu moja lilitosha kufuta kila kitu na kumdisqualify kwa nafasi yoyote,sorry nimesàhau kwamba Hapa ni Tanzania
 
Mwisho mawakili wa Kafulila,msomi Tundu Lissu na Prof.Safari wakanyoosha mikono. Mara ngafla Jaji aliyetoa hukumu ile yenye maswali mengi akapandishwa cheo na Mh.Rais. Jaji Wambari akawa Jaji Kiongozi.......wajuzi tukasema hiyo niasante au shavu kwa kazi nzuri.

Kupanda cheo kwa jaji hakuji ghafla,na ni mchakato unaofuata vigezo.
Wakati anapanda cheo,kumbuka kwamba waliokuwa wanafiti kwenye nafasi hiyo yeye ndio alikuwa anaongoza kw siniority.

Usitake kuwadanganya watu kwa kutumia kesi ya Kafulila.

Mmeumizwa sana kafulila kusifiwa,wakati huo huoakiyafanya Lowassa au Mbowe, huwa mnasisitiza kwenye siasa hakuna adui wa kudumu
 
Wakati mwingine huwa nafikiriaga kumpongeza JPM kwa baadhi ya hatua zake lakini huwa najiuliza, sitokuja kuzijutia pongezi zangu?
Aisee Mimi mwenyew huwa sitoi pongezi. Nakumbuka hata siku alipopokea ripoti ya Mruma niliwaambia sitampongeza hadi tulipwe.....ukimpongeza jamaa unaweza kuumbuka mapema sana.
aise huwa napatwa na hisia kama zako

Sent using Jamii Forums mobile app

Ila
Huyo ngosha kazidi kwa unafki yaani anapuliza.
 
Mpwa hao ndio CCM. Akili zao wanazijua wao wenyewe
Nakurudisha nyuma kidogo wakati kesi ya Kafulila ikitolewa na Jaji Wambari pale mahakama kuu ya Tabora. Moja kati ya kesi za uchaguzi zilizokuwa na mazonge zonge ni ile ya Kafulila na Hasna Mwilima. Yalisemwa mengi kwamba wazee wa Escrow walisimama kidete kuhakisha Davie hapati kitu

Mwisho mawakili wa Kafulila,msomi Tundu Lissu na Prof.Safari wakanyoosha mikono. Mara ngafla Jaji aliyetoa hukumu ile yenye maswali mengi akapandishwa cheo na Mh.Rais. Jaji Wambari akawa Jaji Kiongozi.......wajuzi tukasema hiyo ni asante au shavu kwa kazi nzuri.

Leo hii Kafulila anapongezwa kwa kazi nzuri ya kuwaumbua majizi ya Escrow....Huu sio unaa wakuu?Kama kweli majizi ya Escrow yanamuuma mbona waliobeba hela kwenye masandarusi kwenda ikulu hajawakamata?
 
Kuuliza sio ujinga, naomba kuuliza utaratibu wa kupandisha vyeo majaji unaanzia kwa raisi au unaanzia wapi? Au inaanzia na jopo fulani la majaji kisha raisi anahidhinisha?
CC: Pascal Mayalla,
Petro E. Mselewa
Mkuu Titicomb, utaratibu umeelezwa hapa
Mkuu, utaratibu wa kupandisha majaji vyeo (vya uteuzi) unaansia kwenye tume ya utumishi wa mahakama, raisi anapelekewa mapendekezo tu. kazi ya raisi ni kuidhinisha. Tazama kifungu namba 29(1) cha sheria ya uongozi wa mahakama (The Judiciary administration Act, 2011. Act no. 4 of 2011).

Hivyo mchakato wa kuteua majaji hauanzii kwa rais bali huishia kwa rais.

Katika mchakato huo kunapotokea nafasi wazi, tume ya utumishi wa mahakama hukutana na kupendekeza majina angalau matatu kutokana na sifa na vigezo.

Kisha rais anateua mmoja wao, kwa kawaida mamlaka ya rais kwenye uteuzi wa majaji ni kama maelekezo na sio muongozo.

Katika uteuzi wa Jaji Mkuu, kitendo alichokifanya rais Magufuli kupelekewa majina na akaona hakuna anayetosha ni udhalilishaji mkubwa kwa tume ya utumishi wa mahakama. Kaimu Jaji Mkuu huteuliwa only kunapotokea nafasi ya Jaji Mkuu ipo wazi kwa sababu zozote za kidharura, safari, kuugua au kifo, lakini sio wakati nafasi iko wazi baada ya Jaji Mkuu kumaliza muda wake.

Kitendo cha kuteua Kaimu Jaji Mkuu na kumkaimisha Prof.Juma mpaka sasa, lengo lake ni kuionyesha Tume ya Utumishi wa mahakama kuwa yeye hapangiwi kitu.

Mtu asiye mwanasheria hawezi kumjua mwanasheria mzuri kuliko wanasheria wenyewe, hivyo kitendo cha jopo la wanasheria kumpelekea majina ya wenye sifa na kustahili halafu akawaona wote hawafai na badala yake kutoa probation kwa mmoja wao ni udhalilishaji wa mhimili huu wa mahakama kukaimiwa kipindi kirefu hivi ni kutengeneza unnecessary uncertainty!.

Tukija kwa Jaji Wambali ni kama alivyo Prof.Juma, ni mweledi wa hali ya juu, tofauti yaa Prof.Juma ni introvert Wambali ni extrovert. Introvert ni mkimya, extrovert ni outspoken. Wambali anasema lolote kwa yeyote.

Bahati nzuri mimi nimepitia kwenye mikono wengi waliokuwa walimu wa FoL ya enzi hizo kuanzia Dr. Tulia akiwa kasichana, Prof. Juma alikuwa Dean wangu, Prof. Kabudi supervisor wangu, Dr.Mwakyembe mshauri wangu etc, hivyo nawafahamu kwa karibu, Wambali hakupata cheo cha asante au favours kwa kesi ya Kafulila bali ni very deserving.

https://www.google.com/url?sa=t&sou...ggnMAM&usg=AFQjCNEh_6NWdc1RfDIjWt-hNEpl5K-vuQ
Paskali
 
Mkuu Titicomb, utaratibu umeelezwa hapa


Hivyo mchakato wa kuteua majaji hauanzii kwa rais bali huishia kwa rais.

Katika mchakato huo kunapotokea nafasi wazi, tume ya utumishi wa mahakama hukutana na kupendekeza majina angalau matatu kutokana na sifa na vigezo.

Kisha rais anateua mmoja wao, kwa kawaida mamlaka ya rais kwenye uteuzi wa majaji ni kama maelekezo na sio muongozo.

Katika uteuzi wa Jaji Mkuu, kitendo alichokifanya rais Magufuli kupelekewa majina na akaona hakuna anayetosha ni udhalilishaji mkubwa kwa tume ya utumishi wa mahakama. Kaimu Jaji Mkuu huteuliwa only kunapotokea nafasi ya Jaji Mkuu ipo wazi kwa sababu zozote za kidharura, safari, kuugua au kifo, lakini sio wakati nafasi iko wazi baada ya Jaji Mkuu kumaliza muda wake.

Kitendo cha kuteua Kaimu Jaji Mkuu na kumkaimisha Prof.Juma mpaka sasa, lengo lake ni kuionyesha Tume ya Utumishi wa mahakama kuwa yeye hapangiwi kitu.

Mtu asiye mwanasheria hawezi kumjua mwanasheria mzuri kuliko wanasheria wenyewe, hivyo kitendo cha jopo la wanasheria kumpelekea majina ya wenye sifa na kustahili halafu akawaona wote hawafai na badala yake kutoa probation kwa mmoja wao ni udhalilishaji wa mhimili huu wa mahakama kukaimiwa kipindi kirefu hivi ni kutengeneza unnecessary uncertainty!.

Tukija kwa Jaji Wambali ni kama alivyo Prof.Juma, ni mweledi wa hali ya juu, tofauti yaa Prof.Juma ni introvert Wambali ni extrovert. Introvert ni mkimya, extrovert ni outspoken. Wambali anasema lolote kwa yeyote.

Bahati nzuri mimi nimepitia kwenye mikono wengi waliokuwa walimu wa FoL ya enzi hizo kuanzia Dr. Tulia akiwa kasichana, Prof. Juma alikuwa Dean wangu, Prof. Kabudi supervisor wangu, Dr.Mwakyembe mshauri wangu etc, hivyo nawafahamu kwa karibu, Wambali hakupata cheo cha asante au favours kwa kesi ya Kafulila bali ni very deserving.

https://www.google.com/url?sa=t&source=web&rct=j&url=/amp/s/www.jamiiforums.com/threads/mhe-kaimu-jaji-mkuu-prof-ibrahim-juma-naomba-usiruhusu-udhalilishaji-huu-ndani-ya-mahakama-zetu.1271249/%3Famp%3D1497935355&ved=0ahUKEwjnwqOCoKHVAhVJAsAKHaGNBJMQFggnMAM&usg=AFQjCNEh_6NWdc1RfDIjWt-hNEpl5K-vuQ
Paskali
Ahsante sana mkuu Pascal Mayalla
 
Nakurudisha nyuma kidogo wakati kesi ya Kafulila ikitolewa na Jaji Wambari pale mahakama kuu ya Tabora. Moja kati ya kesi za uchaguzi zilizokuwa na mazonge zonge ni ile ya Kafulila na Hasna Mwilima. Yalisemwa mengi kwamba wazee wa Escrow walisimama kidete kuhakisha Davie hapati kitu

Mwisho mawakili wa Kafulila,msomi Tundu Lissu na Prof.Safari wakanyoosha mikono. Mara ngafla Jaji aliyetoa hukumu ile yenye maswali mengi akapandishwa cheo na Mh.Rais. Jaji Wambari akawa Jaji Kiongozi.......wajuzi tukasema hiyo ni asante au shavu kwa kazi nzuri.

Leo hii Kafulila anapongezwa kwa kazi nzuri ya kuwaumbua majizi ya Escrow....Huu sio unaa wakuu?Kama kweli majizi ya Escrow yanamuuma mbona waliobeba hela kwenye masandarusi kwenda ikulu hajawakamata?
Hizo ndizo tabia za rohoni za wanasiasa!Usiamini maneno yao wapime kwa matendo yao,tena ya muda mrefu!Usiwatathimini kwa tukio na kauli ya Siku moja
 
nilivyo usoma huu uzi na baadhi ya mawazo ya wachangiaji nimegundua jambo la ziada,
majungu na fitna zimeshamiri ktk mhimili, hivyo viongozi wenye dhamana wakomeshe tabia hizo ambazo hazina tija kwa maendeleo ya taifa.
majungu, fitina na ubeya visifumbiwe macho hata kidogo!
 
Tatizo sizonje kama kinyonga akiwa kwenye njano anakuwa wa njano gafla anabadilika anakuwa mwekundu mara bluu mara kijani mara anarudi kule kule njano mtu kama huyu mm simuelewi kabisa kama mnamuelewa naombeni mnieleweshe na mm

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakurudisha nyuma kidogo wakati kesi ya Kafulila ikitolewa na Jaji Wambari pale mahakama kuu ya Tabora. Moja kati ya kesi za uchaguzi zilizokuwa na mazonge zonge ni ile ya Kafulila na Hasna Mwilima. Yalisemwa mengi kwamba wazee wa Escrow walisimama kidete kuhakisha Davie hapati kitu

Mwisho mawakili wa Kafulila,msomi Tundu Lissu na Prof.Safari wakanyoosha mikono. Mara ngafla Jaji aliyetoa hukumu ile yenye maswali mengi akapandishwa cheo na Mh.Rais. Jaji Wambari akawa Jaji Kiongozi.......wajuzi tukasema hiyo ni asante au shavu kwa kazi nzuri.

Leo hii Kafulila anapongezwa kwa kazi nzuri ya kuwaumbua majizi ya Escrow....Huu sio unaa wakuu?Kama kweli majizi ya Escrow yanamuuma mbona waliobeba hela kwenye masandarusi kwenda ikulu hajawakamata?
unachanganya mambo kama kawaida yenu. kesi mahakamani na escrow sio kitu kimoja
 
Back
Top Bottom