OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,191
- 103,716
Nakurudisha nyuma kidogo wakati kesi ya Kafulila ikitolewa na Jaji Wambari pale mahakama kuu ya Tabora. Moja kati ya kesi za uchaguzi zilizokuwa na mazonge zonge ni ile ya Kafulila na Hasna Mwilima. Yalisemwa mengi kwamba wazee wa Escrow walisimama kidete kuhakisha Davie hapati kitu
Mwisho mawakili wa Kafulila,msomi Tundu Lissu na Prof.Safari wakanyoosha mikono. Mara ngafla Jaji aliyetoa hukumu ile yenye maswali mengi akapandishwa cheo na Mh.Rais. Jaji Wambari akawa Jaji Kiongozi.......wajuzi tukasema hiyo ni asante au shavu kwa kazi nzuri.
Leo hii Kafulila anapongezwa kwa kazi nzuri ya kuwaumbua majizi ya Escrow....Huu sio unaa wakuu?Kama kweli majizi ya Escrow yanamuuma mbona waliobeba hela kwenye masandarusi kwenda ikulu hajawakamata?
Mwisho mawakili wa Kafulila,msomi Tundu Lissu na Prof.Safari wakanyoosha mikono. Mara ngafla Jaji aliyetoa hukumu ile yenye maswali mengi akapandishwa cheo na Mh.Rais. Jaji Wambari akawa Jaji Kiongozi.......wajuzi tukasema hiyo ni asante au shavu kwa kazi nzuri.
Leo hii Kafulila anapongezwa kwa kazi nzuri ya kuwaumbua majizi ya Escrow....Huu sio unaa wakuu?Kama kweli majizi ya Escrow yanamuuma mbona waliobeba hela kwenye masandarusi kwenda ikulu hajawakamata?