Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,622
- 8,397
Siku kama ya leo mwaka 2007 mwanamuziki nguli wa miondoko ya Rege, Lucky Philip Dube maarufu kwa jina la Lucky Dube aliuawa kwa kupigwa risasi
> Tukio hilo lilitokea muda mfupi baada ya mwanamuziki huyo kuwapeleka watoto wake wawili kwa Mjimba wao eneo la Rosettenville Jijini Johanesburg
> Kufuatia mauaji hayo watu 5 walikamatwa na kushtakiwa kwa kuhusika na tukio hilo ambapo 3 waliachiwa huru baada ya kubainika hawana hatia
> Wawili walijaribu kukimbi lakini walikamatwa na kuhukumiwa kifungo cha maisha jela