Tajiri wa Magomeni
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 4,274
- 2,926
subiri matokeo ya uchaguziHuyu ni Mungu gani ambaye anachangamana na mashetani wakati rusufel alimbwaga duniani kwa ushetani wake.
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
subiri matokeo ya uchaguziHuyu ni Mungu gani ambaye anachangamana na mashetani wakati rusufel alimbwaga duniani kwa ushetani wake.
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Usitukumbushe imebaki story kura zote kwa Gwajima.Naam, ni wakati muafaka kwa wana Kawe wote kusemezana kuhusu tarehe hii muhimu sana kwetu..
View attachment 1588452
Amechafuliwaje kwa mfano?! Ni kwamba hajaongea huo USHENZI, au?! Hivi si ndo ni huyo huyo alikuwa anahamasisha Wasukuma wampambanie JPM?! Hivi nyie watu ni kwamba mmekula viapo vya kutetea chochote hata kama kimevuka kiwango cha juu kabisa cha upumbavu, au?! Au ni birds of the feather?!Mbunge wa Kawe. Kwa Kadri mnavyomchafua ndivyo watu watakavyomchagua kwa kishindo.
Ni Wakatoliki na Waislamu mazuzu tu ndie wanaweza kumpa kura Gwajima!! Na kwavile Wakatoliki na Waislamu kwa pamoja wanatengeneza a largest subset of the population basi kama Gwajima atashinda kwa kura halali basi itakuwa ni kura za wapumbavu na mazuzu!! Kwanza hata asiye RC na Mwislamu, ni mlevi tu ndie anaweza kumpa kura mtu anayeendekeza ukabila kama Gwajima!!Usitukumbushe imebaki story kura zote kwa Gwajima.