Kumbukumbu baada ya msoto mkali

Kumbukumbu baada ya msoto mkali

nzalendo

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2009
Posts
12,683
Reaction score
14,066
Naam ni msoto baada ya kupoteza muelekeo kwa miaka kadhaa.

Kila kitu kilikwama kuharibika na kuchakaa.

Nguo viatu vyote viliisha yaani kuna mashati yalichakaa mpaka yakawa kama neti.

Habari ya kulala njaa ilikuwa jambo la kawaida sana,muhimu watoto wapate japo chai jioni.

Tulichakaa mpaka tukawa simulizi kwa majirani,sometimes gengeni na kwenye mangi shop hatukuaminiwa sababu ya ugumu wa kulipa.

Inapopatikana pesa kidogo mtoto anaugua hivyo pesa yote inakwisha.

Mifumo ya shughuli zangu ikabadilika nikawa napata riziki kwenye jua kali na huku nina njaa.

Sikukataa tamaa......nilikuwa sikosi nyumba ya ibada hata kama sina sadaka.

Ashukuriwe Mungu kuna mtu nilimtendea wema miaka mingi iliyopita na nilikuwa nimekwisha msahau.

Alinikuta nimechoka sana sana.....ingawa wengi kwenye hali hii walinikimbia....yeye hakufanya hivyo.

Nakumbuka maneno yake....mkuu haya si maisha yako.....kwa kifupi hata sura na muonekano kwa ujumla ulikuwa unatisha kwa kupigika na maisha na kuonekana kama mgonjwa....

Kwanza alinipoza na fedha kiasi...akanipa business card kwamba lazima j3 usubuhi niripoti ofisini.

Jumapili jioni naangalia nguo ya kwendea ofisini...sina....viatu sina...daah....

Nakumbuka niliamka alfajiri kupanda basi moja ili kusevu nauli......kipande kilichobaki nilichapa mguu...asubuhi kumepoa lakini nilisweti kimtindo.

Nilipokelewa kwa ukarimu ofisini hawakujali muonekano na mavazi yangu yaliyochoka.

Nilipigwa na A/C roho ikatulia.....nikasema kimoyomoyo Mungu saidia wanangu wasipite kwenye mateso kama haya......na kimsingi mateso waliyapata waziwazi.....dua na maombi yasirudie tena....AMEN amen 🙏
 
Naam ni msoto baada ya kupoteza muelekeo kwa miaka kadhaa.

Kila kitu kilikwama kuharibika na kuchakaa.

Nguo viatu vyote viliisha yaani kuna mashati yaluchakaa mpaka yakawa kama neti.

Habari ya kulala njaa ilikuwa jambo la kawaida sana,mubimu watoto wapate japo chai jioni.

Tulichakaa mpaka tukawa simplicity kwa majirani,sometimes gengeni na kwenye mangi shop hatukuaminiwa sababu ya ugumu wa kulipa.

Inapopatikana pesa kidogo mtoto anaugua hivyo pesa yote inakwisha.

Mifumo ya shughuli zangu ikabadilika nikawa napata riziki kwenye jua kali na huku nina njaa.

Sikukataa tamaa......nilikuwa sikosi nyumba ya ibada hata kama sina sadaka.

Ashukuriwe Mungu kuna mtu nilimtendea wema miaka mingi iliyopita na nilikuwa nimekwisha msahau.

Alinikuta nimechoka sana sana.....ingawa wengi kwenye hali hii walinikimbia....yeye hakufanya hivyo.

Nakumbuka maneno yake....mkuu haya si maisha yako.....kwa kifupi hata sura na muonekano kwa ujumla ulikuwa unatisha kwa kupigika na maisha na kuonekana kama mgonjwa....

Kwanza alinipoza na fedha kiasi...akanipa business card kwamba lazima j3 usubuhi niripoti ofisini.

Jumapili jioni naangalia nguo ya kwendea ofisini...sina....viatu sina...daah....

Nakumbuka niliamka alfajiri kupanda basi moja ili kusevu nauli......kipande kilichobaki nilichapa mguu...asubuhi kumepoa lakini nilisweti kimtindo.

Nilipokelewa kwa ukarimu ofisini hawakujali muonekano na mavazi yangu yaliyochoka.

Nilipigwa na A/C roho ikatulia.....nikasema kimoyomoyo Mungu saidia wanangu wasipite kwenye mateso kama haya......na kimsingi mateso waliyapat waziwazi.....dua na maombi yasirudie tena....AMEN amen 🙏
Barikiwa sana . Na pole Kwa yote. Mungu halali Wala hasinzii
 
Naam ni msoto baada ya kupoteza muelekeo kwa miaka kadhaa.

Kila kitu kilikwama kuharibika na kuchakaa.

Nguo viatu vyote viliisha yaani kuna mashati yaluchakaa mpaka yakawa kama neti.

Habari ya kulala njaa ilikuwa jambo la kawaida sana,mubimu watoto wapate japo chai jioni.

Tulichakaa mpaka tukawa simplicity kwa majirani,sometimes gengeni na kwenye mangi shop hatukuaminiwa sababu ya ugumu wa kulipa.

Inapopatikana pesa kidogo mtoto anaugua hivyo pesa yote inakwisha.

Mifumo ya shughuli zangu ikabadilika nikawa napata riziki kwenye jua kali na huku nina njaa.

Sikukataa tamaa......nilikuwa sikosi nyumba ya ibada hata kama sina sadaka.

Ashukuriwe Mungu kuna mtu nilimtendea wema miaka mingi iliyopita na nilikuwa nimekwisha msahau.

Alinikuta nimechoka sana sana.....ingawa wengi kwenye hali hii walinikimbia....yeye hakufanya hivyo.

Nakumbuka maneno yake....mkuu haya si maisha yako.....kwa kifupi hata sura na muonekano kwa ujumla ulikuwa unatisha kwa kupigika na maisha na kuonekana kama mgonjwa....

Kwanza alinipoza na fedha kiasi...akanipa business card kwamba lazima j3 usubuhi niripoti ofisini.

Jumapili jioni naangalia nguo ya kwendea ofisini...sina....viatu sina...daah....

Nakumbuka niliamka alfajiri kupanda basi moja ili kusevu nauli......kipande kilichobaki nilichapa mguu...asubuhi kumepoa lakini nilisweti kimtindo.

Nilipokelewa kwa ukarimu ofisini hawakujali muonekano na mavazi yangu yaliyochoka.

Nilipigwa na A/C roho ikatulia.....nikasema kimoyomoyo Mungu saidia wanangu wasipite kwenye mateso kama haya......na kimsingi mateso waliyapat waziwazi.....dua na maombi yasirudie tena....AMEN amen 🙏
Hongera kwa kuvuka, Mimi nipo kwenye hiki kipindi Giza limetanda sana
 
Naam ni msoto baada ya kupoteza muelekeo kwa miaka kadhaa.

Kila kitu kilikwama kuharibika na kuchakaa.

Nguo viatu vyote viliisha yaani kuna mashati yaluchakaa mpaka yakawa kama neti.

Habari ya kulala njaa ilikuwa jambo la kawaida sana,mubimu watoto wapate japo chai jioni.

Tulichakaa mpaka tukawa simplicity kwa majirani,sometimes gengeni na kwenye mangi shop hatukuaminiwa sababu ya ugumu wa kulipa.

Inapopatikana pesa kidogo mtoto anaugua hivyo pesa yote inakwisha.

Mifumo ya shughuli zangu ikabadilika nikawa napata riziki kwenye jua kali na huku nina njaa.

Sikukataa tamaa......nilikuwa sikosi nyumba ya ibada hata kama sina sadaka.

Ashukuriwe Mungu kuna mtu nilimtendea wema miaka mingi iliyopita na nilikuwa nimekwisha msahau.

Alinikuta nimechoka sana sana.....ingawa wengi kwenye hali hii walinikimbia....yeye hakufanya hivyo.

Nakumbuka maneno yake....mkuu haya si maisha yako.....kwa kifupi hata sura na muonekano kwa ujumla ulikuwa unatisha kwa kupigika na maisha na kuonekana kama mgonjwa....

Kwanza alinipoza na fedha kiasi...akanipa business card kwamba lazima j3 usubuhi niripoti ofisini.

Jumapili jioni naangalia nguo ya kwendea ofisini...sina....viatu sina...daah....

Nakumbuka niliamka alfajiri kupanda basi moja ili kusevu nauli......kipande kilichobaki nilichapa mguu...asubuhi kumepoa lakini nilisweti kimtindo.

Nilipokelewa kwa ukarimu ofisini hawakujali muonekano na mavazi yangu yaliyochoka.

Nilipigwa na A/C roho ikatulia.....nikasema kimoyomoyo Mungu saidia wanangu wasipite kwenye mateso kama haya......na kimsingi mateso waliyapat waziwazi.....dua na maombi yasirudie tena....AMEN amen 🙏
Ushuhuda mzuri sana... Kuna mtu atapona kupitia andiko hili.
 
Naam ni msoto baada ya kupoteza muelekeo kwa miaka kadhaa.

Kila kitu kilikwama kuharibika na kuchakaa.

Nguo viatu vyote viliisha yaani kuna mashati yaluchakaa mpaka yakawa kama neti.

Habari ya kulala njaa ilikuwa jambo la kawaida sana,mubimu watoto wapate japo chai jioni.

Tulichakaa mpaka tukawa simplicity kwa majirani,sometimes gengeni na kwenye mangi shop hatukuaminiwa sababu ya ugumu wa kulipa.

Inapopatikana pesa kidogo mtoto anaugua hivyo pesa yote inakwisha.

Mifumo ya shughuli zangu ikabadilika nikawa napata riziki kwenye jua kali na huku nina njaa.

Sikukataa tamaa......nilikuwa sikosi nyumba ya ibada hata kama sina sadaka.

Ashukuriwe Mungu kuna mtu nilimtendea wema miaka mingi iliyopita na nilikuwa nimekwisha msahau.

Alinikuta nimechoka sana sana.....ingawa wengi kwenye hali hii walinikimbia....yeye hakufanya hivyo.

Nakumbuka maneno yake....mkuu haya si maisha yako.....kwa kifupi hata sura na muonekano kwa ujumla ulikuwa unatisha kwa kupigika na maisha na kuonekana kama mgonjwa....

Kwanza alinipoza na fedha kiasi...akanipa business card kwamba lazima j3 usubuhi niripoti ofisini.

Jumapili jioni naangalia nguo ya kwendea ofisini...sina....viatu sina...daah....

Nakumbuka niliamka alfajiri kupanda basi moja ili kusevu nauli......kipande kilichobaki nilichapa mguu...asubuhi kumepoa lakini nilisweti kimtindo.

Nilipokelewa kwa ukarimu ofisini hawakujali muonekano na mavazi yangu yaliyochoka.

Nilipigwa na A/C roho ikatulia.....nikasema kimoyomoyo Mungu saidia wanangu wasipite kwenye mateso kama haya......na kimsingi mateso waliyapat waziwazi.....dua na maombi yasirudie tena....AMEN amen 🙏
Pole sana mkuu.Hakuna marefu yasiyo na ncha hongera kwa kuishinda changamoto. Hii hali ninaipitia sasa.
 
Naam ni msoto baada ya kupoteza muelekeo kwa miaka kadhaa.

Kila kitu kilikwama kuharibika na kuchakaa.

Nguo viatu vyote viliisha yaani kuna mashati yaluchakaa mpaka yakawa kama neti.

Habari ya kulala njaa ilikuwa jambo la kawaida sana,mubimu watoto wapate japo chai jioni.

Tulichakaa mpaka tukawa simplicity kwa majirani,sometimes gengeni na kwenye mangi shop hatukuaminiwa sababu ya ugumu wa kulipa.

Inapopatikana pesa kidogo mtoto anaugua hivyo pesa yote inakwisha.

Mifumo ya shughuli zangu ikabadilika nikawa napata riziki kwenye jua kali na huku nina njaa.

Sikukataa tamaa......nilikuwa sikosi nyumba ya ibada hata kama sina sadaka.

Ashukuriwe Mungu kuna mtu nilimtendea wema miaka mingi iliyopita na nilikuwa nimekwisha msahau.

Alinikuta nimechoka sana sana.....ingawa wengi kwenye hali hii walinikimbia....yeye hakufanya hivyo.

Nakumbuka maneno yake....mkuu haya si maisha yako.....kwa kifupi hata sura na muonekano kwa ujumla ulikuwa unatisha kwa kupigika na maisha na kuonekana kama mgonjwa....

Kwanza alinipoza na fedha kiasi...akanipa business card kwamba lazima j3 usubuhi niripoti ofisini.

Jumapili jioni naangalia nguo ya kwendea ofisini...sina....viatu sina...daah....

Nakumbuka niliamka alfajiri kupanda basi moja ili kusevu nauli......kipande kilichobaki nilichapa mguu...asubuhi kumepoa lakini nilisweti kimtindo.

Nilipokelewa kwa ukarimu ofisini hawakujali muonekano na mavazi yangu yaliyochoka.

Nilipigwa na A/C roho ikatulia.....nikasema kimoyomoyo Mungu saidia wanangu wasipite kwenye mateso kama haya......na kimsingi mateso waliyapat waziwazi.....dua na maombi yasirudie tena....AMEN amen 🙏
Pole sana, je ulichapwa / kufungwa riziki na ndugu? Maana ndugu bwana wana matatizo kwa kweli kwani kwenye ukoo akitokea mtu mmoja mchawi basi anafunga nadhiri ya kufunga ndugu wa wenzake ili tu aone wanavyoteseka achekelee.
 
Ilikuaje ukaanguka? (kurudi nyuma). Hapo ndio kuna funzo kuu ili alieko njiani kwa sasa asije pitia hilo eneo lenye vichaka na siafu wa kutisha.
Tunaomba kama hutajali tupe somo, ilikuaje na ulifanya kosa gani ukafikia hiyo hali.

Hili la nguo kuchakaa sipingi, nguo ukikosa hela kidogo tu Huwa zinakuwa za kwanza kukushtakia. Hata zile nzuri zinachuja
 
Pole sana, je ulichapwa / kufungwa riziki na ndugu? Maana ndugu bwana wana matatizo kwa kweli kwani kwenye ukoo akitokea mtu mmoja mchawi basi anafunga nadhiri ya kufunga ndugu wa wenzake ili tu aone wanavyoteseka achekelee.
Hayo na mengine mengi yalisemwa.....yote nilimwachia Mungu.....imebaki kama kumbukumbu na somo kwa wengine.
 
Ilikuaje ukaanguka? (kurudi nyuma). Hapo ndio kuna funzo kuu ili alieko njiani kwa sasa asije pitia hilo eneo lenye vichaka na siafu wa kutisha.
Tunaomba kama hutajali tupe somo, ilikuaje na ulifanya kosa gani ukafikia hiyo hali.

Hili la nguo kuchakaa sipingi, nguo ukikosa hela kidogo tu Huwa zinakuwa za kwanza kukushtakia. Hata zile nzuri zinachuja
Kwa kifupi nilifanya DHAMBI
 
Back
Top Bottom