Ngongo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2008
- 18,931
- 31,176
Naambiwa mganga wake kafa.Hivi yupo jamaa wa Mtera? Ni kama aliondoka na mwendazake
Naambiwa mganga wake kafa.Hivi yupo jamaa wa Mtera? Ni kama aliondoka na mwendazake
True...kitenge atuwekee na zile clips za kina Peter msigwa, Lena ,lissu na viongoz wengine wa Chadema ili tuone pumba na Michele iliyoko kwenye hivi vyama vya siasa.Hiyo misemo ilishapitwa na wakati
Yanapitaje kibwege ?maoni yangu ni kwamba,
Yaliyopita si ndwele tugange ya sasa na yajayo 🐒
R.I.P. Laigwanan comrade ENL
Hayapiti kwa kuandika vimaneno tu.Mtashindwa kujifunza kufunga midomo yenu mipana kama wasutaji wa uswahilini na vithembe vyenu.maoni yangu ni kwamba,
Yaliyopita si ndwele tugange ya sasa na yajayo 🐒
R.I.P. Laigwanan comrade ENL
..Mtangazaji maarufu wa vipindi vya michezo nchini Maulid Kitenge, amepost video inayoonyesha Mhe. Makonda akimuongelea vibaya hayati Lowassa.
Kitenge ameandika kwenye Video hiyo "WAKATI tunatafakari ya sasa tukumbuke tulipotoka".
ANGALIA VIDEO HAPA
View attachment 2902059
Nini maoni yako?
Written by Mjanja M1
Huku amemsifia NapeKitenge ameandika kwenye Video hiyo "WAKATI tunatafakari ya sasa tukumbuke tulipotoka".
ANGALIA VIDEO HAPA
Halafu huyu samia anampa nafasi ya kutumikia watu.............Mtangazaji maarufu wa vipindi vya michezo nchini Maulid Kitenge, amepost video inayoonyesha Mhe. Makonda akimuongelea vibaya hayati Lowassa.
Kitenge ameandika kwenye Video hiyo "WAKATI tunatafakari ya sasa tukumbuke tulipotoka".
ANGALIA VIDEO HAPA
View attachment 2902059
Nini maoni yako?
Written by Mjanja M1 ✍️
Wakati chadema nzima inamchafua Lowasa ulikua hujazaliwa?Yanapitaje kibwege ?
Mzee nyinyi mmesahau tayari mlivyomchafua marehemu?Halafu huyu samia anampa nafasi ya kutumikia watu.............
Chadema imejaza nyumbu...Mbona Chadema mlizunguka Nchi nzima na kudai Lowasa mwizi baadae mkajumuika naye na kumpa Urais kwenye serikali ya matumaini. Kuna wanafiki kuliko Chadema?
Yap ndiye alimbikiri alipokuwa anaishi nyumbani kwake miaka ya kusoma Mbegani Fisheries
Ingekuwa waliongea ukweli wangesimama katika misimamo yao lakini sasa wanamsifia mbonaSas huko ni kumuongelea vibaya mtu au kusema ukweli 😂😂😂