Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 21,339
- 51,864
- Thread starter
- #21
Wapo matajiri ambao hawapendi kuonekana. Tunawaweka kundi gani
Mtu hatari, mtu m-Bad,
Kumuona ufanye kazi
Wapo matajiri ambao hawapendi kuonekana. Tunawaweka kundi gani
Huwa sikupingi taikon..wewe NI Kama nabii ambaye hujachangamka
Limebarikiwa tumbo lililokuzaa ndugu muandishi.....hakika kazi za mikono yako kupitia kalamu vinakamilisha dhumuni la uwepo wako hapa duniani.....
Uandishi wako
Mpangilio wa uandishi wako na ujumbe uliopo kwenye maandishi vinanifanya nikiri kwa nafsi na kinywa kupitia mikono yangu kuwa wewe ni nguli wa fasihi..... barikiwa sana.....
Watu hatari hawajifichi wanakifivha ni wasumbufu tu elewa hili
Ni kweli hata wale watu tusio wajua ni hatari sana hata kazi wanafanya usiku
wale wa code red kila monthNani huyo
PAMOJABarikiwa Mkuu
Fact mkuuKUMBUKA; VIUMBE HATARI HUPENDA KUJIFICHA.
Anaandika, Robert Heriel.
Moja ya sifa kuu ya kiumbe hatari ni kupendelea kujificha, kukaa mafichoni, kukaa chobingo.
Hawapendi kujianika Anika hovyo, kujidhihirisha hovyo.
Kwanza weka akilini kuwa Kiumbe hatari hujijua kuwa yeye ni hatari, tena hujijua yeye ni mbaya asiyehitaji mchezo.
Nyoka, Nge, Tandu, buibui wang'atao ni miongoni mwa wadudu hatari kubwa, hawa hupenda kukaa mafichoni.
Na hata akiingia ndani ya nyumba yako hawezi pita sehemu wazi inayoonekana, lazima atembee na laini ya ukuta chini ili akitembea usimuone.
Viumbe hatari na Wabaya hupendelea giza katika harakati zao. Kwao nuru ni adui mkubwa.
Ukienda Mbugani ni ngumu Sana kuwaona Wanyama hatari, kama vile Chui, Simba, chatu, Koboko, Cobra, n.k.
Saikolojia ya viumbe hatari ni kutokuwa na Imani na yeyote. Muda wote wako machomacho, kujihami, n.k. pia viumbe hatari hupendelea Ambush, naam ndio shambulizi la kushtukiza.
Katika Maisha wapo watu hatari, na watu hatari siku zote wanatabia hizohizo.
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Fact mkuu
vp wale wa sehem za kuungama,anakuona ila wewe haumuon,je! nawao ni hatar
Wewe umeshawahi kua mtu hatari?Nimemuambia siku akiwa mtu hatari atajua Kwa nini viumbe hatari hujificha
Then umejuaje Kama mtu hatari hujificha?Sijui
Hahaha kabisaHata Kunguni