Kumbi za zamani na ma DJ wake

Kumbi za zamani na ma DJ wake

Huyu ni D Rob (marehemu) kutoka kundi la Kwanza Unit alikuwa ni kijana msanii wa muziki wa Hip-Hop ambaye yeye na kundi lake walifanya shoo nyingi na kampuni ya Kim &The Boys kwenye miaka ya tisini mwanzoni,

Hapa ni New Africa Hotel ambapo kuna Yo! Rap Bonanza moja iliwahi kufanyika na Saleh Jabir akaibuka na ushindi huku mshindi wa pili akiwa Nigger One ,
Hii ilikuwa ni Yo ! Rap Bonanza ya pili baada ile ya awali ambayo ilifanyika Langata social hall Kinondoni.
Screenshot_2017-02-04-21-39-13.jpg
 
sammy cool,kelly john,kuna anti mmoja hivi queen latifah alikua na shape balaa,bila kusahau blood moses,flora lango la jiji
 
Huyu ni D Rob (marehemu) kutoka kundi la Kwanza Unit alikuwa ni kijana msanii wa muziki wa Hip-Hop ambaye yeye na kundi lake walifanya shoo nyingi na kampuni ya Kim &The Boys kwenye miaka ya tisini mwanzoni,

Hapa ni New Africa Hotel ambapo kuna Yo! Rap Bonanza moja iliwahi kufanyika na Saleh Jabir akaibuka na ushindi huku mshindi wa pili akiwa Nigger One ,
Hii ilikuwa ni Yo ! Rap Bonanza ya pili baada ile ya awali ambayo ilifanyika Langata social hall Kinondoni.View attachment 467234
Mkuu yuko wapi saleh jabir wa naruka kama ninja natua kama ndege
 
Namkubali sana John Dilinga DJ JD meweza ku-maintain talent yake hadi ss kwa kupiga flashback na ol skul pale Hyatt kilimanjaro hotel.

Pia nitambue mchango wa DJ peter mo ambae kwa ss anatwanga old skul east 24 the alkade pale mikocheni ukweli ni kwamba watu hawa wanafanya vema katika kufanya muzik wa zamani old skul kuwa chachu katika tasnia ya disko.
 
Namkubali sana John Dilinga DJ JD meweza ku-maintain talent yake hadi ss kwa kupiga flashback na ol skul pale Hyatt kilimanjaro hotel.

Pia nitambue mchango wa DJ peter mo ambae kwa ss anatwanga old skul east 24 the alkade pale mikocheni ukweli ni kwamba watu hawa wanafanya vema katika kufanya muzik wa zamani old skul kuwa chachu katika tasnia ya disko.
Wewe na mimi zamani zetu zinafanana kidogo, lakini zamani zinazotajwa humu mmmh zimezidi mwanangu. Kina Godfather, young millionaire nilikuwa nasikia tu kwenye radio wakitangazwa lakini sikuwa umri wa kuingia club
 
Back
Top Bottom