CleverKING yaelekea wewe ni wa siku nyingi kidogo sio wa "kuku kavaa raizoni ..."Saleh Jabir alikua akiishi United Arab Emirates U.A.E na mwaka 2003 alihamia England ambako ndiko anapoishi mpaka leo.
mkuu dj kessy kitambo pale dodoma enzi za seleman chagua bega.Dj Kassim -NK Disco Sound (Dodoma)
Safi kabisa umeweka kumbukumbu sawa.john maganga alikuwa anamuigiza wacko jacko.
Sio mbaya mkuu angalau unakumbukumbuWewe na mimi zamani zetu zinafanana kidogo, lakini zamani zinazotajwa humu mmmh zimezidi mwanangu. Kina Godfather, young millionaire nilikuwa nasikia tu kwenye radio wakitangazwa lakini sikuwa umri wa kuingia club
Huyo chagua bega lazima alikuwa mtu wa sangi, mande na mtungo huo ndio ugangwe wa enzi hizo mtu anaingia club shati hajafunga vishikizo ila huku chini kalifunga kama wanawake wanavyofunga kanga nywele push back aah.mkuu dj kessy kitambo pale dodoma enzi za seleman chagua bega.
Mkuu hilo neno ugangwe umenikumbusha mbali sana,yaani utemi,uhuni,ujanja n.k.Huyo chagua bega lazima alikuwa mtu wa sangi, mande na mtungo huo ndio ugangwe wa enzi hizo mtu anaingia club shati hajafunga vishikizo ila huku chini kalifunga kama wanawake wanavyofunga kanga nywele push back aah.
Sangi mande na mtungo yote yana maana moja kuwa mnachukua kishtobe (manzi )demu mpo zaidi ya mmoja kisha mnamchangia ndio maana yake mzee mwenzangu.Hata hiyo a.k.a ya jamaa (chagua bega )ina maana alikuwa hatongozi yeye anamwambia demu achague bega kisha jamaa anambeba.Mkuu hilo neno ugangwe umenikumbusha mbali sana,yaani utemi,uhuni,ujanja n.k.
Ila haya maneno,Sangi,mande na mtungo umeniacha Mkuu,siyajui maana yake,au pengine nimeyasahau tu!!
Hahahaa! Kupiga mande nimelikumbuka hili neno aisee,na upo sahihi kabisa kwa tafsiri uliyoitoa, pamoja mkuu.Sangi mande na mtungo yote yana maana moja kuwa mnachukua kishtobe (manzi )demu mpo zaidi ya mmoja kisha mnamchangia ndio maana yake mzee mwenzangu.Hata hiyo a.k.a ya jamaa (chagua bega )ina maana alikuwa hatongozi yeye anamwambia demu achague bega kisha jamaa anambeba.
ndiyo ilikuwa zake huyu mbabe alikuwa hatongozi bali kuchukua tu.Sangi mande na mtungo yote yana maana moja kuwa mnachukua kishtobe (manzi )demu mpo zaidi ya mmoja kisha mnamchangia ndio maana yake mzee mwenzangu.Hata hiyo a.k.a ya jamaa (chagua bega )ina maana alikuwa hatongozi yeye anamwambia demu achague bega kisha jamaa anambeba.
Yeah chini ya abraham Magomelo..walikuwa na chama chao tdma.
Na yule mtoto wa marehemu Lemmy ongala jina nimemsahau..Flora tingisha,Queen Dafida pia alikuwepo mmoja akijiita Kokoliko.
Duniani vimepita vyuma ama kweli ardhi inajua kumeza wababe wa kipindi hicho wengi wametangulia mbele ya haki na walio baki wengi wamemrudia mola wao.ndiyo ilikuwa zake huyu mbabe alikuwa hatongozi bali kuchukua tu.
Pamoja sana ndugu yangu khasa tunapokumbuka waqt uliopita ila inasaidia vijana pia kujua waqt huo mambo yalikuwaje.Hahahaa! Kupiga mande nimelikumbuka hili neno aisee,na upo sahihi kabisa kwa tafsiri uliyoitoa, pamoja mkuu.
Kama sikosei aliitwa jesca au jane muda umekwenda wapi?Na yule mtoto wa marehemu Lemmy ongala jina nimemsahau..
Musa Simba alikuwa njema stejini usipime!!!!tatizo la black moses hakuwa mzuri kwenye kusakata bolingo bali black dance ndiyo ilikuwa nyumbani kwake na alikuwa akipata upinzani mkali sana toka kwa sammy cool.
mkuu umenikumbusha athuman digadiga alikuwa mbabe na mtata asiyekubali matokeo mara nyingi wapambe wake walifanya vurugu.Musa Simba alikuwa njema stejini usipime!!!!
Kwenye breakdance!!!!!
Hakuwa na mpinzani.
Digadiga alikuwa anawapambe wake wakali wa vurugu.
Dj Mangapi Alimalizia u dj wake pale HIGHWAY NIGHT PACK (kwa macheni)Dj mangapi RIP