mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 22,322
- 56,055
Huyu baba wa watu siku anaondoka alisema mtanikumbuka na kweli mwaka mmoja tangu atoke madarakani watu walianza kumkumbuka.
Pamoja na iflation wanayoiongelea ila enzi za mzee ruksa tumekula sana bata,mi nakumbuka hizi na wewe utamalizia
1. Majumba ya cinema yote yalikuwa yanajaa weekend hapa namaanisha ,cameo,drive in,new chox,empire,empress,star light,odeon.(theatres nyingi zimebadilishwa matumizi )siku hizi demu akikwambia umpeleke movie mlimani city unaanza kuwa na kigugumizi,masista duu wa siku hizi wanadhani kwenda movie ni kitu kipya.
2. Mwanamuziki CHAKACHAKA toka SouthAfrika alivyokuja kulikuwa na show pale Makondeko nakumbuka kiingilio laki moja na ukumbi ulijaa, nani anaikumbuka hii?
Sasa Diamond kufanya show ya elfu 50,000 Mlimani City mnasema kavunja rekodi jamani jamani.
3. Mishahara ilikuwa inakutana na kupeana mikono siku hizi mshahara unakata tarehe 5,kifuatacho madeni,mshahara mwingine ukija unalipa madeni ya mwezi uliopita.
Endeleeeni kutukumbusha, unakumbuka nini enzi za ruksa?
Pamoja na iflation wanayoiongelea ila enzi za mzee ruksa tumekula sana bata,mi nakumbuka hizi na wewe utamalizia
1. Majumba ya cinema yote yalikuwa yanajaa weekend hapa namaanisha ,cameo,drive in,new chox,empire,empress,star light,odeon.(theatres nyingi zimebadilishwa matumizi )siku hizi demu akikwambia umpeleke movie mlimani city unaanza kuwa na kigugumizi,masista duu wa siku hizi wanadhani kwenda movie ni kitu kipya.
2. Mwanamuziki CHAKACHAKA toka SouthAfrika alivyokuja kulikuwa na show pale Makondeko nakumbuka kiingilio laki moja na ukumbi ulijaa, nani anaikumbuka hii?
Sasa Diamond kufanya show ya elfu 50,000 Mlimani City mnasema kavunja rekodi jamani jamani.
3. Mishahara ilikuwa inakutana na kupeana mikono siku hizi mshahara unakata tarehe 5,kifuatacho madeni,mshahara mwingine ukija unalipa madeni ya mwezi uliopita.
Endeleeeni kutukumbusha, unakumbuka nini enzi za ruksa?