I couldn’t care less. Sijawahi kuwa shabiki wa Zitto, na pengine sitawahi kuwa!Poa ila ujumbe umefika barabara na ukiona hivi, ujue imekuingia barabara.
Sitii neno.
Naleta kama ilivyo.
Najua Zitto Kabwa yumo humu.
Huenda atatuelezea dhamira na nia yake ni nini.
Je, namna hii hajawa bonge la kupe tena la kujipeleka?
Je, imekuwaje akamuacha Mpina na kumpigia kampeni mama yake?
Je, amelishwa kitu?
Namna hii, ACT Wazenguaji itashindwa kuwa CCM B?
Maswali ni mengi kuliko majibu.;
Sikiliza mwenyewe uamue.
View: https://youtube.com/shorts/S8Bz1HLqaxc?si=xFK269yu406ruwr9
Sitii neno.
Naleta kama ilivyo.
Najua Zitto Kabwa yumo humu.
Huenda atatuelezea dhamira na nia yake ni nini.
Je, namna hii hajawa bonge la kupe tena la kujipeleka?
Je, imekuwaje akamuacha Mpina na kumpigia kampeni mama yake?
Je, amelishwa kitu?
Namna hii, ACT Wazenguaji itashindwa kuwa CCM B?
Maswali ni mengi kuliko majibu.;
Sikiliza mwenyewe uamue.
View: https://youtube.com/shorts/S8Bz1HLqaxc?si=xFK269yu406ruwr9
Hao ndio watu wa propaganda sasa katika vyama vya siasa vya nchi hii.Hiyo video ya siku nyingi nyuma. Sio tz kipindi hiki cha uchaguzi
Hiyo inaonesha iliwauma sana alivyoondoka kwao.Chadema wanahisi wasipomuongelea vibaya Zitto watafutiwa usajili..............wao Kila siku na Zitto. Sijui kawakosea nini'?!!!!!!!
Kwakweli wanasikitisha na wanatia huruma sana🤣🤣🤣Hiyo inaonesha iliwauma sana alivyoondoka kwao.
Chuki yao ni sawa na mme amuache mkewe halafu mke awe anamsema vibaya mmewe wa zamani hapo inaonesha kaumia kuachwa.
Asieumia huwa hana muda na kumsema vibaya Ex wake.
Pia inaonesha namna walivyo na vijana wenye akili ndogo wanaojadili watu kuliko hoja.
Humu jukwaani katika hizi wiki kadhaa Zitto anaongoza kusemwa kuliko kampeni ya NRNE sasa sijui nae ni miongoni mwa kampeni yao.
Wivu tuChadema wanahisi wasipomuongelea vibaya Zitto watafutiwa usajili..............wao Kila siku na Zitto. Sijui kawakosea nini'?!!!!!!!
Sio kila mtu anayetoa maoni kinyume na matamanio yako ni chadema punguza ujuaji na ujingaChadema wanahisi wasipomuongelea vibaya Zitto watafutiwa usajili..............wao Kila siku na Zitto. Sijui kawakosea nini'?!!!!!!!
Wanafanya aliewaita nyumbu aonekane anajua kupatia.Kwakweli wanasikitisha na wanatia huruma sana🤣🤣🤣
I have decided to Ignore you!Chadema wanahisi wasipomuongelea vibaya Zitto watafutiwa usajili..............wao Kila siku na Zitto. Sijui kawakosea nini'?!!!!!!!
Sitii neno.
Naleta kama ilivyo.
Najua Zitto Kabwa yumo humu.
Huenda atatuelezea dhamira na nia yake ni nini.
Je, namna hii hajawa bonge la kupe tena la kujipeleka?
Je, imekuwaje akamuacha Mpina na kumpigia kampeni mama yake?
Je, amelishwa kitu?
Namna hii, ACT Wazenguaji itashindwa kuwa CCM B?
Maswali ni mengi kuliko majibu.;
Sikiliza mwenyewe uamue.
View: https://youtube.com/shorts/S8Bz1HLqaxc?si=xFK269yu406ruwr9
Yaani hapa umewakilisha akili ya wabongo asilimia 90%Mbona ina maandishi ya kampeni?
Au ni editing?
Thank you very much for being an ignorant!!🙏🙏I have decided to Ignore you!