The Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 10,959
- 13,426
Sitii neno.
Naleta kama ilivyo.
Najua Zitto Kabwa yumo humu.
Huenda atatuelezea dhamira na nia yake ni nini.
Je, namna hii hajawa bonge la kupe tena la kujipeleka?
Je, imekuwaje akamuacha Mpina na kumpigia kampeni mama yake?
Je, amelishwa kitu?
Namna hii, ACT Wazenguaji itashindwa kuwa CCM B?
Maswali ni mengi kuliko majibu.;
Sikiliza mwenyewe uamue.
View: https://youtube.com/shorts/S8Bz1HLqaxc?si=xFK269yu406ruwr9
Naleta kama ilivyo.
Najua Zitto Kabwa yumo humu.
Huenda atatuelezea dhamira na nia yake ni nini.
Je, namna hii hajawa bonge la kupe tena la kujipeleka?
Je, imekuwaje akamuacha Mpina na kumpigia kampeni mama yake?
Je, amelishwa kitu?
Namna hii, ACT Wazenguaji itashindwa kuwa CCM B?
Maswali ni mengi kuliko majibu.;
Sikiliza mwenyewe uamue.
View: https://youtube.com/shorts/S8Bz1HLqaxc?si=xFK269yu406ruwr9