Kumbe wanawake wanapenda kudanganywa

Kumbe wanawake wanapenda kudanganywa

umeona eeeh.. either way... wote wanafanya tabia isiyo faa..
Nimekuelewa what u mean aisee
Ni sawa tu na wanaume wasiopenda kutembea na MIJIWANAWAKE ambayo imeolewa na bado ina mitamaa
 
Hata wewe ukiwa unatongoza mwanamke na akasema ameolewa basi stimu zote zinaisha...
 
Kuna dada mmoja alikosea namba kwenye simu yangu sasa tukajenga urafiki wa kawaida mwishowe nikamtongoza lakini aliniuliza kama nina mke au la.

Kwakuwa sikutaka baadee aje agundue kama nilimdanganya nikaona nimwambie ukweli kwamba nina mke. Dooooooooh hapo utafikiri ndo nilimuongezea speed ya yeye kunikatalia ombi langu.

Analeta maneno meeeeengi sana mara oooooh tulia tu na mkeo lakini cha kushangaza me nikiuchuna mara kwa mara ananitext eti oooooh mbona kimya .Nitaachaje kuwa kimya wakati ulishanambia nitulie na mke wangu.

Hapo ndipo nilipogundua kwamba wanawake hawapendi kuambiwa ukweli. Hata kama una wanawake ishirini ukimwambia sina anaridhika kabisa.
Mume wa mtu anatia kichefuchefu sijui ni mimi tuu mwenye wivu,kuna wengine wanafikia kukwambia oooh unajua kule nyumbani kelele sasa najiuliza kelele siumezitaka? hawa viumbe hua waongo na maneno ya ajabu yani mwanamke kama hukushika akili yako unakwenda na maji...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom