Kumbe wanawake wanapenda kudanganywa

Kumbe wanawake wanapenda kudanganywa

Kuna dada mmoja alikosea namba kwenye simu yangu sasa tukajenga urafiki wa kawaida mwishowe nikamtongoza lakini aliniuliza kama nina mke au la.

Kwakuwa sikutaka baadee aje agundue kama nilimdanganya nikaona nimwambie ukweli kwamba nina mke.Dooooooooh hapo utafikiri ndo nilimuongezea speed ya yeye kunikatalia ombi langu.Analeta maneno meeeeengi sana mara oooooh tulia tu na mkeo lakini chakushangaza me nikiuchuna mara kwa mara ananitext eti oooooh mbona kimya .Ntaachaje kuwa kimya wakati ulishanambia nitulie na mke wangu.

Hapo ndipo nilipogundua kwamba wanawake hawapendi kuambiwa ukweli.Hata kama una wanawake ishirini ukimwambia sina anaridhika kabisa.
mtigo pesa ili ujiridhishe vizur
 
Nimesema hivi msichana ni kama kitoto kidogo chenye kamasi piuani. Bila kukidanganya kua utaleta pipi hakikubali uende.
Hata vyenyewe vinajua ni vitoto
 
Kuna dada mmoja alikosea namba kwenye simu yangu sasa tukajenga urafiki wa kawaida mwishowe nikamtongoza lakini aliniuliza kama nina mke au la.

Kwakuwa sikutaka baadee aje agundue kama nilimdanganya nikaona nimwambie ukweli kwamba nina mke. Dooooooooh hapo utafikiri ndo nilimuongezea speed ya yeye kunikatalia ombi langu.

Analeta maneno meeeeengi sana mara oooooh tulia tu na mkeo lakini cha kushangaza me nikiuchuna mara kwa mara ananitext eti oooooh mbona kimya .Nitaachaje kuwa kimya wakati ulishanambia nitulie na mke wangu.

Hapo ndipo nilipogundua kwamba wanawake hawapendi kuambiwa ukweli. Hata kama una wanawake ishirini ukimwambia sina anaridhika kabisa.
Jiandae kisaikolojia kutoa ela
 
Kuna dada mmoja alikosea namba kwenye simu yangu sasa tukajenga urafiki wa kawaida mwishowe nikamtongoza lakini aliniuliza kama nina mke au la.

Kwakuwa sikutaka baadee aje agundue kama nilimdanganya nikaona nimwambie ukweli kwamba nina mke. Dooooooooh hapo utafikiri ndo nilimuongezea speed ya yeye kunikatalia ombi langu.

Analeta maneno meeeeengi sana mara oooooh tulia tu na mkeo lakini cha kushangaza me nikiuchuna mara kwa mara ananitext eti oooooh mbona kimya .Nitaachaje kuwa kimya wakati ulishanambia nitulie na mke wangu.

Hapo ndipo nilipogundua kwamba wanawake hawapendi kuambiwa ukweli. Hata kama una wanawake ishirini ukimwambia sina anaridhika kabisa.
Ukweli ni muhimu katika mahusiano ila inategemea ni ukweli wenye kulenga nini! Wanawake wengi wameangamia au kupoteza safari zao za maisha kwa kudanganywa. UKWELI HULETA WIVU NA HUHARIBU LENGO
 
haha ni wewe ndiyo wajidanganya, akikutext doesnt mean anakutaka umuoe or uwe mpenzi wake..she is just maintaining the friendship, or kama wewe hutaki mwambie or block her number.

Na pia ukimwambia dem ukweli mf, umeoa or una wanawake 100, haimaanishi akubaliane na kile unachotaka wewe, she has the right to choose either to screw the unfaithful married guy or not. So, SILAZIMA AKUBALI OMBI LAKO JAPO KUWA UMEKUWA MKWELI, WENGINE SI TABIA ZAO KUTEMBEA NA MIJIANAUME ISIYO MIAMINIFU AF IMEOA!!!!! I mean what for?!!!!
Nimekuelewa what u mean aisee
Ni sawa tu na wanaume wasiopenda kutembea na MIJIWANAWAKE ambayo imeolewa na bado ina mitamaa
 
Mlikuwa hamuelewani lugha, hawa wenzetu huwa wana lugha nyingi sana! jaribu kujua lugha anayoiongea.
Kwa maelezo yako, inaonyesha tayari amekubali ila tatizo ni wewe tu kuielewa lugha yake.
 
Kuna dada mmoja alikosea namba kwenye simu yangu sasa tukajenga urafiki wa kawaida mwishowe nikamtongoza lakini aliniuliza kama nina mke au la.

Kwakuwa sikutaka baadee aje agundue kama nilimdanganya nikaona nimwambie ukweli kwamba nina mke. Dooooooooh hapo utafikiri ndo nilimuongezea speed ya yeye kunikatalia ombi langu.

Analeta maneno meeeeengi sana mara oooooh tulia tu na mkeo lakini cha kushangaza me nikiuchuna mara kwa mara ananitext eti oooooh mbona kimya .Nitaachaje kuwa kimya wakati ulishanambia nitulie na mke wangu.

Hapo ndipo nilipogundua kwamba wanawake hawapendi kuambiwa ukweli. Hata kama una wanawake ishirini ukimwambia sina anaridhika kabisa.
si wote, ukweli umuweka mtu huru kutoa maamuzi sahihi
 
haha ni wewe ndiyo wajidanganya, akikutext doesnt mean anakutaka umuoe or uwe mpenzi wake..she is just maintaining the friendship, or kama wewe hutaki mwambie or block her number.

Na pia ukimwambia dem ukweli mf, umeoa or una wanawake 100, haimaanishi akubaliane na kile unachotaka wewe, she has the right to choose either to screw the unfaithful married guy or not. So, SILAZIMA AKUBALI OMBI LAKO JAPO KUWA UMEKUWA MKWELI, WENGINE SI TABIA ZAO KUTEMBEA NA MIJIANAUME ISIYO MIAMINIFU AF IMEOA!!!!! I mean what for?!!!!
Ndio tabia yako?!
 
Chikira sawa lakini "KE"walio wengi "ME" akiwambia ukweli wanaona ni uwongo na akiwambia uwongo wanaona ni ukweli.So wanaume inabidi wawe waongo ili kufanikisha mitego yao.
Ila mimi niko tofauti na wanawake wenzangu! Mie mwanamme akinidanganya halafu nikajua amenidanganya namchukia sana, napenda ukweli hata mie sipendi kumdanganya mwanamme,
 
Ila mimi niko tofauti na wanawake wenzangu! Mie mwanamme akinidanganya halafu nikajua amenidanganya namchukia sana, napenda ukweli hata mie sipendi kumdanganya mwanamme,
Mimi sikatai ila nasemea majority.Ni sawa na "ukuta"(nadhani unanielewa).Kuna wasichana wanamaliza vyuo vikuu wakiwa na "Ukuta".lakini ukileta mada hapa utaambiwa hakuna mdada anaweza kumaliza chuo kikuu bila ukuta wake kuvunjwa.Lakini walio wengi ni hukoo sekondari,shule za msingi kutwa zimeshabomolewa na tinga tinga la jiji. ..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom