Kumbe wanawake wanapenda kudanganywa

Tamu chungu

Member
Dec 20, 2015
85
64
Kuna dada mmoja alikosea namba kwenye simu yangu sasa tukajenga urafiki wa kawaida mwishowe nikamtongoza lakini aliniuliza kama nina mke au la.

Kwakuwa sikutaka baadee aje agundue kama nilimdanganya nikaona nimwambie ukweli kwamba nina mke. Dooooooooh hapo utafikiri ndo nilimuongezea speed ya yeye kunikatalia ombi langu.

Analeta maneno meeeeengi sana mara oooooh tulia tu na mkeo lakini cha kushangaza me nikiuchuna mara kwa mara ananitext eti oooooh mbona kimya .Nitaachaje kuwa kimya wakati ulishanambia nitulie na mke wangu.

Hapo ndipo nilipogundua kwamba wanawake hawapendi kuambiwa ukweli. Hata kama una wanawake ishirini ukimwambia sina anaridhika kabisa.
 
Kuna dada mmoja alikosea namba kwenye simu yangu sasa tukajenga urafiki wa kawaida mwishowe nikamtongoza lakini aliniuliza kama nina mke au la.

Kwakuwa sikutaka baadee aje agundue kama nilimdanganya nikaona nimwambie ukweli kwamba nina mke.Dooooooooh hapo utafikiri ndo nilimuongezea speed ya yeye kunikatalia ombi langu.Analeta maneno meeeeengi sana mara oooooh tulia tu na mkeo lakini chakushangaza me nikiuchuna mara kwa mara ananitext eti oooooh mbona kimya .Ntaachaje kuwa kimya wakati ulishanambia nitulie na mke wangu.

Hapo ndipo nilipogundua kwamba wanawake hawapendi kuambiwa ukweli.Hata kama una wanawake ishirini ukimwambia sina anaridhika kabisa.
haha ni wewe ndiyo wajidanganya, akikutext doesnt mean anakutaka umuoe or uwe mpenzi wake..she is just maintaining the friendship, or kama wewe hutaki mwambie or block her number.

Na pia ukimwambia dem ukweli mf, umeoa or una wanawake 100, haimaanishi akubaliane na kile unachotaka wewe, she has the right to choose either to screw the unfaithful married guy or not. So, SILAZIMA AKUBALI OMBI LAKO JAPO KUWA UMEKUWA MKWELI, WENGINE SI TABIA ZAO KUTEMBEA NA MIJIANAUME ISIYO MIAMINIFU AF IMEOA!!!!! I mean what for?!!!!
 
So unazani anakupenda eee? Huwajui vizur wadada wakileo hiyo ni mbinu ya kukuchota maela, soon atakukopa alafu utakuwa mwisho wakuona msg zake.

hahah umeona eeh, koz dem kashaona hili jianaume fala sana , linatongoza mtu kakosea namba tuu af siyo mwaminifu kwa mkewe kisa uchi.... yanii anafaa akombwe tuu! anakuja kujisifia hapa et wanawake wanapenda danganywa...mxiiiieeew kauzi..
 
hahah umeona eeh, koz dem kashaona hili jianaume fala sana , linatongoza mtu kakosea namba tuu af siyo mwaminifu kwa mkewe kisa uchi.... yanii anafaa akombwe tuu! anakuja kujisifia hapa et wanawake wanapenda danganywa...mxiiiieeew kauzi..
Muache soon atakuja mbio Analia hapa maana kila changamoto inayowapata wavulana lazima waje kulia jf
 
hahah umeona eeh, koz dem kashaona hili jianaume fala sana , linatongoza mtu kakosea namba tuu af siyo mwaminifu kwa mkewe kisa uchi.... yanii anafaa akombwe tuu! anakuja kujisifia hapa et wanawake wanapenda danganywa...mxiiiieeew kauzi..
Mbona kama nawewe umepanic au ulishawahi kudanganywa?
 
Acha ujinga wewe,,tulia na mkeo utatongoza na vitu vya ajabu uje ulielie humu tena.
 
Mbona kama nawewe umepanic au ulishawahi kudanganywa?
hahhaha sanaaah, am a feminist, i hate it when a man brug about his stupidity and infidelity towards women. mtu ume mwambia ukweli kakukataa, mwache na mweshim ni maamuzi yake.


and ooh yes nimesahau, tuko hapa kusifia wana ndoa ambao si waaminifu, sorry nimesahau kwelii, my bad!!!!!!! i withdraw my comments. mf.
 
hahhaha sanaaah, am a feminist, i hate it when a man brug about his stupidity and infidelity towards women. mtu ume mwambia ukweli kakukataa, mwache na mweshim ni maamuzi yake.


and ooh yes nimesahau, tuko hapa kusifia wana ndoa ambao si waaminifu, sorry nimesahau kwelii, my bad!!!!!!! i withdraw my comments. mf.


mweshim=muheshimu
Shule ulienda kusoma ujinga
Cc faiza foxy
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom