Kumbe wanaume nao huingia katika Hedhi!

Kumbe wanaume nao huingia katika Hedhi!

Mara nyingi nimekua nikiamini kwamba yale tunayoyafahamu kuhusu maisha ni machache sana ukilinganisha na yale tusioyafahamu. Kiasi cha miezi kadhaa iliyopita nilisoma utafiti fulani kuhusu hedhi. Awali nilipousoma niliona ni hadithi tupu. Lakini nilipoona ni vyema kuujaribu kwa kutenda miezi minne baadae nilishangaa. Hata wewe najua utashangaa utakaposoma makala haya. Lakini ombi langu kwako ni kukutaka ujaribu kufanya mazoezi ili uthibitishe ukweli huo.

Miaka ya hivi karibuni imegundulika kwamba hata wanaume hupata hedhi-ingawa wanaume hawana alama za nje za kuwaonesha kwamba wako kwenye hedhi, kama walivyo wanawake ambao hutoka damu siku zao za hedhi zinapofika na kukamilika.

Kwa karne na karne hakuna mtu aliyekuwa akifikiria kwamba wanaume wangeweza kuwa wanapata nao hedhi kama wanawake. Kama mwanaume akiamua kuweka kumbukumbu zake kwenye dayari na kujiangalia kila siku hali yake inavyobadilikana kuwa ya kusikitika, ya kawaida, furaha na hasira……akiifuatilia hali yake namna hiyo kwa siku zote 28 za mwezi, halafu na mwezi unaofuata, akafanya hivyo hivyo, halafu mwezi wa tatu nao akatenda hivyo, na halafu ailinganishe miezi hiyo mitatu atashangaa.

Kuna siku tatu, nne au tano ambazo zitafanana katika dayari zote tatu, lini ana hasira ana masikitiko, ni mharibifu, na tabia nyingine kama hizo. Hivyo ndivyo vipindi vya hedhi kwa wanaume kama ilivyo kwa wanawake. Zoezi hili anaweza kufanya mwanaume yeyote, akishindwa kupata matokeo anaweza kuwasiliana na mimi na kuuliza ni kwa nini nimeandika uongo.

Ni jambo ambalo lipo na limeshafanyiwa tafiti mbalimbali, hata mimi binafsi nimefanya zoezi hilo kwa miezi minne na limetoa majibu kama hayo. Kwa kawaida mwanaume hana dalili za kimwili za kutoka damu kama mwanamke – ndio maana, karne na karne hakuna mtu aliyejali – lakini ni jambo la uhakika kwamba wanaume wanapata hedhi.

Dalili za mwanaume aliye kwenye hedhi ziko akilini zaidi na sababu ziko wazi: mwanamke asili yake ni kimwili zaidi, kihisia zaidi, na mwanaume ana asili ya ubongo zaidi. Lakini mwanaume anapata usumbufu ule ule anaopata mwanamke anapokuwa kwenye hedhi. Tofauti ni moja tu, kwamba mwanaume hatoki damu. Lakini kila mwezi, baada ya siku 28, hali fulani ya kiakili na kihisia itakuwa inajirudia.

Na kama umejaribu kujichunguza kwa mwaka mzima, utashangaa kwamba, ulikuwa na hasira mgomvi, mwenye huzuni na vingine vya aina hiyo, si hivihivi tu bali ni kwa sababu ulikuwa kwenye hedhi. Kama ukishafanya zoezi nililokwambia la dayari, jiulize, kama ulipokuwa kwenye hali hizo ulikuwa umekerwa na yeyote au chochote. Utagundua kwamba hukuwa umekerwa bali ulikuwa unasumbuliwa na hedhi yako.

Mwanaume na mwanamke wameumbwa kwa ‘matofali' yaleyale, kwa maumbile yaleyale na baiolojia ileile. Tofauti yao ni kwamba mwanaume ni chanya na mwanamke ni hasi kama tungekuwa tunazungumzia umeme. Huwezi kupata umeme kwa kuwa na chanya mbili; wala ukitumia hasi mbili bali ukichanganya chanya na hisi. Hivyo, kama mwanamke anapata hedhi kama hatua muhimu kuelekea mwito wa kimaumbile, haiwezekani mwanaume asipitie hatua hiyo, ingawa kwa uchanya wake.

Kupata hedhi kwa mwanamke inaeleweka kwamba, ni kutokana na wito wa kimwili. Maana yake ni kwamba, alikuwa amefikia hatua ambapo kimaumbile alitakiwa kujamiiana ili apate ujauzito. Je, kama hakuna mabadiliko kwa mwanaume, itawezekana vipi mwanaume kujamiiana na mkewe ambaye yuko kwenye hitaji hili la kimaumbile?

Ina maana basi kwamba mwanaume naye ni lazima kila mwezi awe na mabadiliko ambayo yatamfanya aingie mahali ambapo atavutana na mwanamke kimapenzi. Hili ni suala la maumbile ili kufanya kuzaliana kuwepo. Utajuaje kuwa mwanaume ameingia kwenye hali hiyo? Ndiyo pale ambapo wataalamu wamegundua hizo siku nne au tano za mabadiliko ya kiakili kwa mwanaume!
Lakini nilipoona ni vyema kuujaribu kwa kutenda miezi minne baadae nilishangaa.
Kwahiyo mkuu na wewe unaingia hedhi......You must be kiddin me lmao!!!!!
Hata wewe najua utashangaa utakaposoma makala haya.
Mkuu mimi nashangaa hiyo miiezi minne umejaribu kutenda nini ili na wewe ukajiona umeingia hedhi...Hii kali kweli aisee....
Lakini ombi langu kwako ni kukutaka ujaribu kufanya mazoezi ili uthibitishe ukweli huo.
Hebu tuambie hayo mazoezi wewe ulifanya vipi maana kama haujatoka damu hiyo sio hedhi sasa kama that is what happened to you, you got me thinking
 
Nimegoogle na hii ni mojawapo ya majibu:

"It seems that men may have cycles, as do most living things. However, men's cycles are more subtle and less disruptive. I found no
substantial research that proves men have cycles,especially for 4 days, but I found quite a bit of theoretical and anecdotal information that some men do indeed have ?cycles?. The jury is still out!"

unaweza kuendelea kusoma hapa:Google Answers: Male Period?

I think we are, by and large, talking about natural human emotions that are not gender specific. All human beings get sad, happy, angry, and the list goes on and on. Therefore, I am not buying the theory that men also undergo cycles.
 
Duh..........umenigusa mno

wiki iliyopita kuna siku kama nne mfululizo nilikuwa so down
na nilikuwa sitaki hata kupokea simu ya mtu for no good reason..

Yaani nilikuwa sina interest na chochote
ni kula kulala,tv na internet

hata kuzungumza niliona uvivu

kwa kuwa nilikuwa nina matibabu ya malaria nili connect na tiba hiyo
but nilikuwa najiuliza mbona huwa hainitokei hivyo mara zote ninapougua malaria???

Could it be..............?????????????????
Leo tarehe moja subiri hadi ufike tarehe 15 uone kama utaingia hedhi.....lol!! this is insane
 
Nimegoogle na hii ni mojawapo ya majibu:

"It seems that men may have cycles, as do most living things. However, men's cycles are more subtle and less disruptive. I found no
substantial research that proves men have cycles,especially for 4 days, but I found quite a bit of
theoretical and anecdotal information that some men do indeed have 'cycles'. The jury is still out!"

unaweza kuendelea kusoma hapa:Google Answers: Male Period?

hapo ni sawia kabisa....hakuna kitu kama male menstrual cycle.
 
Bora umesema!!


Kweli



Kweli aiseee....
Trigger ni kukosa uchache mfukoni..ikimaanisha 'imbalance" ya mfuko huathiri balance ya akilini mwako lol

Ungetuwekea huo utafiti tukasoma wenyewe. Hata hivyo
Menstruation ( hedhi) huotokana na kujiambua kwa ukuta wa mfuko wa uzazi kwa vile hakuna cha kurutubisha.Sasa mtoa mada akisema wanaume hupata hedhi, siyo sahihi kwa maana wanaume hawapati mimba na hawana mfuko wa uzazi wenye kuandaa kutunza mimba kiasi ambacho pale mimba inapokosekana basi maandalizi hayo huondolewa! Mtoa mada atafute neno lingine la kuelezea hali hiyo wanayoipata wanaume kwa sababu mbalimbali.Wanawake hupata hali inayoitwa Pre Menstrual Tension kabla ya kupata menstruation/hedhi.Hali hiyo hufanana na dalili alizoweka hapa ambazo huwapata wanaume - hasira, huzuni, kukaa na wasiwasi, kuwa provoked kwa urahisi nk.



Naam!

Soma pia hapa:
(see also » The mystery of the menstruating men - Blogger News Network). Hili ni sawa na ndivyo ilivyo. Lakini kwa utamu zaidi waweza fuatilia historia ya male menstruation ilivyo kuwa tangu enzi za nyuma hata kama mtu hana ugonjwa wa (schistosomiasis).

kwa kubofya hapa:

Project MUSE - Bulletin of the History of Medicine - Jewish Male Menstruation in Seventeenth-Century Spain.

 
Male menstruation inahistoria ndefu tangu enzi. Watu kwa haraka haraka waweza sema kuwa: Ni ugonjwa utokeao hasahasa ktk nchi za kitropic na huletwa na vijidudu -parasites waitwao (Schistosoma haematobium) na huathiri njia ya mkojo (urinary tract) au matumbo (intestines) na husababisha ugonjwa uitwao kitaalam (schistosomiasis) ambapo siku za nyuma ulikuwa ukiitwa (bilharziasis). Kwa hiyo siyo wanaume wote huwa katika hali hiyo (see also » The mystery of the menstruating men - Blogger News Network). Hili ni sawa na ndivyo ilivyo. Lakini kwa utamu zaidi waweza fuatilia historia ya male menstruation ilivyo kuwa tangu enzi za nyuma hata kama mtu hana ugonjwa wa (schistosomiasis).

kwa kubofya hapa:
Project MUSE - Bulletin of the History of Medicine - Jewish Male Menstruation in Seventeenth-Century Spain.

Natumai wana jf mtafurahia historia hiyo ya kujuwa male menstruation huko nyuma ilikuwa namna gani.

Haya maelezo mbona ni ya ugonjwa wa kichocho (schistosomiasis) ambao huwapata wanawake kwa wanaume? hasa kwenye maeneo ya tropic lakini zaidi sana kwenye maeneo yenye kilimo cha umwagiliaji. Najua athari za kichocho kwenye umfumo wa mkoja na utumbo, pia kwenye ubongo. Sasa hii inahusianaje na hiyo inayoitwa hedhi ya wanaume? maana huu ni ugonjwa tu wa kichocho?
 
Hapa labda litumike neno lingine tofauti na hedhi kwa maana naona hilo neno kwa mwanaume ni udhalilishaji!
 
Duh,hebu ngoja ntaanza kuji-monior kuanzia mwezi huu maana mimi nilikua nadhani iko-affiliated na kuishiwa au matatizo madogo madogo ya kifamilia....hii kali bhana, lakini afadhali hatununui mataulo maana nilivyomgumu wa kutoa pesa, ningemwibia Shemeji yenu tu..........

Duh..........umenigusa mno

wiki iliyopita kuna siku kama nne mfululizo nilikuwa so down
na nilikuwa sitaki hata kupokea simu ya mtu for no good reason..

Yaani nilikuwa sina interest na chochote
ni kula kulala,tv na internet

hata kuzungumza niliona uvivu

kwa kuwa nilikuwa nina matibabu ya malaria nili connect na tiba hiyo
but nilikuwa najiuliza mbona huwa hainitokei hivyo mara zote ninapougua malaria???

Could it be..............?????????????????

Aaaah! Mi nimenusurika bhana, hasira ninakuwa nazo pale tu ninapokuwa empty mfukoni au kazi zinapokuwa nyingi sana (Over working) Labda wewe umeshindwa kugundua kuwa kuna siku tatu nne unakosa mshiko kila mwezi. Mwisho napinga kuwa wanaume wanaingia kwenye hedhi na kama wanaingia SIO MIMI, Hao hao!

Hapa labda litumike neno lingine tofauti na hedhi kwa maana naona hilo neno kwa mwanaume ni udhalilishaji!

hahhaahaa mmenifurahisha sana,ukweli wanawake tunabeba misalaba mizito kila mwezi
 
Kwa hiyo ulikuwa kwenye hedhi?makubwa haya ,,,chunguzeni mtuletee majibu
Duh..........umenigusa mno<br />
<br />
wiki iliyopita kuna siku kama nne mfululizo nilikuwa so down<br />
na nilikuwa sitaki hata kupokea simu ya mtu for no good reason..<br />
<br />
Yaani nilikuwa sina interest na chochote<br />
ni kula kulala,tv na internet<br />
<br />
hata kuzungumza niliona uvivu<br />
<br />
kwa kuwa nilikuwa nina matibabu ya malaria nili connect na tiba hiyo<br />
but nilikuwa najiuliza mbona huwa hainitokei hivyo mara zote ninapougua malaria???<br />
<br />
Could it be..............?????????????????
<br />
<br />
 
Duh hii kali ya mwaka. Yaani dume zima eti linapata hedhi. Uongo mtupu. Labda uwe umechacha, mfukoni hamna kitu hapo itakuwa ndio hedhi ya mwanamme. Vinginevyo ni sadiki ukipenda.
 
....lol....si depression hiyo? Midlife crisis hizi bana...mashaka matupu.
Anyway, kama bwana John Gray alivyotabanahisha kwenye vitabu vyake,

2000318232-149x149-0-0_Men_Are_From_Mars_Women_Are_From_Venus_78342132083.jpg
...kuna kipindi mwanaume anajiskia kujichimbia kwenye 'Cave'....
Bwana John Gray ameielezea hali hiyo kwa mapana na marefu na athari zake kwenye mahusiano.
 
Leo tarehe moja subiri hadi ufike tarehe 15 uone kama utaingia hedhi.....lol!! this is insane
<br />
<br />
I think u are the one!Coz nini kinakufanya ushindwe kuamini?Kwani wewe unaposikia hedhi unafikiria nini?Jikague utaona ukweli!
 
<font size="3">Male menstruation inahistoria ndefu tangu enzi. Watu kwa haraka haraka waweza sema kuwa: Ni ugonjwa utokeao hasahasa ktk nchi za kitropic na huletwa na vijidudu -parasites waitwao (Schistosoma haematobium) na huathiri njia ya mkojo (urinary tract) au matumbo (intestines) na husababisha ugonjwa uitwao kitaalam (schistosomiasis) ambapo siku za nyuma ulikuwa ukiitwa (bilharziasis). Kwa hiyo siyo wanaume wote huwa katika hali hiyo <b><font color="#b22222">(see also </font><a href="http://www.bloggernews.net/112878" target="_blank"><font color="#b22222">» The mystery of the menstruating men - Blogger News Network</font></a><font color="#b22222">).</font></b> Hili ni sawa na ndivyo ilivyo. Lakini kwa utamu zaidi waweza fuatilia historia ya male menstruation ilivyo kuwa tangu enzi za nyuma hata kama mtu hana ugonjwa wa <font size="3">(schistosomiasis)</font>. <br />
<br />
kwa kubofya hapa: <br />
<b><a href="http://muse.jhu.edu/journals/bulletin_of_the_history_of_medicine/v073/73.3beusterien.html" target="_blank"><font color="#b22222">Project MUSE - Bulletin of the History of Medicine - Jewish Male Menstruation in Seventeenth-Century Spain</font></a><font color="#b22222">. <br />
<br />
</font></b>Natumai wana jf mtafurahia historia hiyo ya kujuwa male menstruation huko nyuma ilikuwa namna gani.</font>
<br />
<br />
kwakweli hicho ni kichocho wala siyo hedhi hini kwa mujibu wa web ulizo weka.
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
I think u are the one!Coz nini kinakufanya ushindwe kuamini?Kwani wewe unaposikia hedhi unafikiria nini?Jikague utaona ukweli!
<br />
<br />
Hamna kitu kama hivho hizi porojoo kawaambieni watu kwenye vijiwe vya kahawa eti mwanaume anaingia hedhi typical nonsense
 
Back
Top Bottom