apana..we ntakuletea zile zenye umbo la kidole...ni nzuuuuuurrii sana kwa kweli...
Aaaah! Mi nimenusurika bhana, hasira ninakuwa nazo pale tu ninapokuwa empty mfukoni au kazi zinapokuwa nyingi sana (Over working) Labda wewe umeshindwa kugundua kuwa kuna siku tatu nne unakosa mshiko kila mwezi. Mwisho napinga kuwa wanaume wanaingia kwenye hedhi na kama wanaingia SIO MIMI, Hao hao!
Wewe unataka kutuharibia sasa! Wameshasema hazina MADHARA bana!
Hivyo vitakuwa na madhara asee, hiyo hedhi itakuwa inapotelea wapi? Yaan atakaetumia atajuta manake kuna siku atapata hedhi ya miezi yote aliyoizuia isitoke..