AirTanzania
JF-Expert Member
- Mar 17, 2011
- 1,139
- 1,035
UKIMWI hauwezi kuisha. Mia.
Na Condom pia haziwezi kuisha, as long utamu upo ngoma inogile
Hekima ni Busara, PAW
Ficha Upumbavu wako; Usiifiche Hekima yako!
Kuwa na Busara
UKIMWI hauwezi kuisha. Mia.
mkuu unafikili ni siri? haya mambo yapo wazi yanaeleweka. Mimi naona wanasaidia sana sababu hawa wa mtaani wanasumbua sana wakati wote tabia ni ile ile. hawa wanakupiga mzinga kisiri wale unaelewana nao kiroho nzuri. Mia
wameshazoea kila style mpaka ya kuruka kichurachura kwa ndoa utawaweza?
lol mume wangu hata usiende huko ntakubeba hata mgongoni
UKIMWI hauwezi kuisha. Mia.
sisi wanafunzi wanatumalizia stress
Jero wanadaka?
mia.
sasa hiyo mbunye itakuaje? hata unyayo unamapumziko
aisee
Du ukione hvyo nasi demand imekua kubwa kuliko supply so inabid wakeshe kama popo kukidhi haja ya wateja wao...Elfu
buguruniiiiii..! uongo....! eeeh unaosha rungu na wewe unaoshwa na ukimwi bomba tu mia hata mimi nasupport
ulikuwepo kwa muda wa masaa 24? au uliwaonaje? mnh
Kijana utumie ile mipira ya wakubwa lasivyo JF itakumis sana na uwe muangalifu sana sio pia unatujazia watoto wa mitaani. Enjoy Kijana wa 100
Hekima ni Busara, PAW
lol mume wangu hata usiende huko ntakubeba hata mgongoni
duh!..Kwani na wewe demu? siku zote hizo sijakupm!. asante. Mia
huwa humbebi nini? siku zote unambeba wapi?
kongosho na wewe unaendaga pale?
ukimwi upo na unaua. kama uliandikiwa kufa kwa risasi utakufa kwa risasi tu. Mia