Ashaanza kuchafua uzi
Mnashangaa nini wakati huo ukahaba Biblia imeubariki na eti hao makahaba ndiyo wa mwanzo kwenda katika ufalme wa Mungu aka mbinguni aka peponi.
Sasa niambieni mkristo yupi asiyetaka kutangulia kwenda kwenye ufalme wa Mungu, mbinguni?
Eli79 una mawazo chanya kila siku. Mungu akutunzeTatizo kubwa ni pale ambapo wewe umeamua kwa dhati kabisa kuiheshimi ndoa na mwenza wako, lakini yeye ameamua kujirahisisha na kuidhalilisha familia. Mwisho anakuletea maradhi na kukusababishia anguko kubwa.
FaizaFoxy, sio kosa lako kutafsir Biblia kama kitabu cha hadithi, usipokuwa na Roho wa Bwana ni ngumu kuelewa Biblia.Mathayo 21:31
...Basi Yesu akawaambia, Amin nawaambia, watoza ushuru na makahaba wanatangulia mbele yenu kuingia katika ufalme wa Mungu.
Mkuu, kwani unafahamu kabla ya kuolewa alikuwa anafanya shughuli gani ?? Hao mabinti wanaojiuza ukikutana naye mchana huwezi kumfahamu, utatangaza uchumba na hatimaye ndoa, sasa kwa kuwa alishazoea kujipatia kipato cha ziada kwa kutumia huo ujasiriamali, hawezi kuacha.Weekend iliyopita nilitoka na jamaa yangu aliyenitembelea, tukaenda sehemu moja iko busy sana jina nalihifadhi. Kuna live band, club, vyakula na vinywaji almost kila variety.
Kina dada hujichanganya sana kwenye eneo hilo. Jamaa yangu huyo ni mpenzi wa mambo yetu yale, hivyo kadri alivyokuwa akipata moja baridi ndivyo ari ya kupata kimwana mmojawapo ilivyokuwa inaongezeka.
Baadaye aliamua kumwita mhudumu amwitie kimwana aliyekuwa amevutiwa naye.
Walikwenda pembeni kidogo kujadili, baadaye jamaa yangu huyo akarudi akaniambia amekubaliana kwenda kumgegeda huyo kimwana lakini akaomba kwa vile sio mwenyeji nimpeleke lodge.
Nikampa ufunguo ili watangulie kwenye gari, baadaye nilikwenda na kuwakuta wamo ndani ya gari tayari, nilimsalimia huyo kimwana, sauti yake ikawa sio ngeni masikioni mwangu. Nilipogeuka sikuamini macho yangu kuwa ni mke wa jirani yetu mtaani. Sikuwa na la kufanya zaidi ya kumwambia jamaa yangu aje aendeshe gari mwenyewe, Nikatoa udhuru. Jamaa yangu alinipa mrejesho kapewa mambo si kawaida.
Sasa ninachojiuliza ni kuwa kumbe hata wake za watu wanajiuza?
....kama hujui maana ya kitu bora ukae kimya tu,ulitaka na sisi tufundishwe kuwapiga mawe mpk wafe?, halafu nyie mnaowapiga mawe ndio mtaenda peponi?, sijui akili zenu mmeziweka wapi!
Mathayo 21:31
...Basi Yesu akawaambia, Amin nawaambia, watoza ushuru na makahaba wanatangulia mbele yenu kuingia katika ufalme wa Mungu.
FaizaFoxy, sio kosa lako kutafsir Biblia kama kitabu cha hadithi, usipokuwa na Roho wa Bwana ni ngumu kuelewa Biblia.
Kwa hiyo sion sababu ya watu kukushambulia kwa maneno kwa jinsi ulivyofikiri ni kwamba tu kwa vile huelewi Yesu alikuwa anamaanisha nini.
Ubarikiwe
Maneno kuntu..!Wewe huongozwi na Biblia? Au unachaguwa mistari?
Wewe unaejuwa soma Biblia nimebandika juu hapo, nipe maana yake.
Halafu soma na hii uone "Mungu" anavyotaka hauna, mara hawatauona mara wao ndiyo wa mwanzo kuuona...
Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti,
10 wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang'anyi.
Mkuu, kwani unafahamu kabla ya kuolewa alikuwa anafanya shughuli gani ?? Hao mabinti wanaojiuza ukikutana naye mchana huwezi kumfahamu, utatangaza uchumba na hatimaye ndoa, sasa kwa kuwa alishazoea kujipatia kipato cha ziada kwa kutumia huo ujasiriamali, hawezi kuacha.
Hiyo inamaanisha kuwa Yesu alikuja kwa ajili ya kuokoa waliopotea(wenye dhambi) wakiwemo makahaba na watoza ushuru. Kama binadamu asingetenda dhambi, Yesu asingekuja duniani. Lakini hiyo aya haihalalishi ukahaba. Isome vizuri.
ahahaaa manuu bna.utasababisha tusipewe hela ya saluni ujueTofauti ya huyo mke wa jamaa ni ameenda sokoni kabisa lakini wako wake zetu wengi tu walioko majumbani ukiwatongoza wanakubali ila cha kwanza utapigwa mzinga wa elfu 50 ya kusuka ili mkikutana awe smart..na hii pia ni kujiuza...
Ni kweli imeandikwa, lakini mukitadha wake ulikuwa upi?
Waliotajwa wote wapo. Kazi ya neno la Mungu ni kuwabadilisha watu ili wasiangamie bali wabadilike, waache matendo maovu, ili waweze kusamehewa na hatimaye warithi ufalme wa mbinguni.
Rejea Bukwabi's comments, have nothing to add to that and mind you no one has his/her own Bible.Hakuna tafsiri yangu hapo, nimebandika kama ilivyo. Kama unaona hiyo ni tafsiri yangu, weka wewe hiyo mistari ya Biblia yako tuone kama u mkweli.