Weekend iliyopita nilitoka na jamaa yangu aliyenitembelea, tukaenda sehemu moja iko busy sana jina nalihifadhi. Kuna live band, club, vyakula na vinywaji almost kila variety.
Kina dada hujichanganya sana kwenye eneo hilo. Jamaa yangu huyo ni mpenzi wa mambo yetu yale, hivyo kadri alivyokuwa akipata moja baridi ndivyo ari ya kupata kimwana mmojawapo ilivyokuwa inaongezeka.
Baadaye aliamua kumwita mhudumu amwitie kimwana aliyekuwa amevutiwa naye.
Walikwenda pembeni kidogo kujadili, baadaye jamaa yangu huyo akarudi akaniambia amekubaliana kwenda kumgegeda huyo kimwana lakini akaomba kwa vile sio mwenyeji nimpeleke lodge.
Nikampa ufunguo ili watangulie kwenye gari, baadaye nilikwenda na kuwakuta wamo ndani ya gari tayari, nilimsalimia huyo kimwana, sauti yake ikawa sio ngeni masikioni mwangu. Nilipogeuka sikuamini macho yangu kuwa ni mke wa jirani yetu mtaani. Sikuwa na la kufanya zaidi ya kumwambia jamaa yangu aje aendeshe gari mwenyewe, Nikatoa udhuru. Jamaa yangu alinipa mrejesho kapewa mambo si kawaida.
Sasa ninachojiuliza ni kuwa kumbe hata wake za watu wanajiuza?
Angelita, pm mpenzKwani mke wa mtu ndo ana nini???
Kila kitu ni matokeo ya tabia ama maamuzi ya muhusika.
Yaap
wake za watu ndiyo wakwanza kujiuza hapa Dar lkn huwa wanajiuza kiaina sana
Hadi uwe MNDEWA wa Dar ndiyo utajua kama wanajiuza
Kama umetoka MKOA huwezi wajua
......... jamaa kamtuma muhudumu amwite alafu wakasogea pembeni kidogo kujadiliana wewe hukumuona hadi kwenye gari??? Lakini pia mbona sijaona element ya mtu kujiuza kwenye bandiko lako???
Si kila mwanamke anajiuza wengine wanapata hamu ya samaki tu baada ya kuchoshwaa Na matembele.
Kwani mke wa mtu ndo ana nini???
Kila kitu ni matokeo ya tabia ama maamuzi ya muhusika.
Sawa na msemo usemao hakuna mwanamume mwaminifu...Hakuna mwanamke asiyejiuza isipokuwa kila mmoja na style yke...
Naomba uweke hiyo aya nasi tupate huo ufahamu mkuu.
Mnashangaa nini wakati huo ukahaba Biblia imeubariki na eti hao makahaba ndiyo wa mwanzo kwenda katika ufalme wa Mungu aka mbinguni aka peponi.
Sasa niambieni mkristo yupi asiyetaka kutangulia kwenda kwenye ufalme wa Mungu, mbinguni?