GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,747
- 109,202
"Singida Fountain Gate FC tumeamua kuweka Kambi yetu hapa Fountain Gate Stadium ambayo zamani ilikuwa ni Gwambina ila kujiandaa na Mechi yetu ijayo huku huku Kanda ya Ziwa" amesema Msemaji wa Singida Fountain Gate FC Hussein Massanza
Chanzo: Sports Extra ya Clouds FM muda si mrefu (Usiku huu)
Sijui ni kwanini Tanzania mambo ya ghafla ghafla na ya kimya kimya huwa yanapendwa, yanatokea na yameshazoeleka pia.
Chanzo: Sports Extra ya Clouds FM muda si mrefu (Usiku huu)
Sijui ni kwanini Tanzania mambo ya ghafla ghafla na ya kimya kimya huwa yanapendwa, yanatokea na yameshazoeleka pia.