"Hakuna klabu ya ligi kuu ya Tanzania isiyokuwa na madeni hivyo watuige sisi Singida Fountain Gate FC ambao huwa hatufichi na wala hatuoni aibu kusema kuwa tuna madeni lukuki" amesema Hussein Massanza msemaji wa Singida Fountain Gate fc
Taarifa: sports headquarters ya Efm radio hivi punde tu
tafadhali Hussein Massanza kwakuwa umesema kuwa hakuna klabu ya ligi kuu ya NBC isiyo na madeni je, unaweza kutusaidia mangumbaru ( tusiojua lolote ) madeni ya vilabu kama vya Simba, Yanga na Azam?
Na je, kwa huko kuropoka kwako kuvisemea hivyo vilabu kuwa vyote vinadaiwa walikutuma uvisemee?
He, kwa huku kukurupuka kuropoka kwako ikitokea baadhi ya vilabu vya ligi kuu ya nbc vikajitokeza na kukupa ushahidi wa financial statements zao na kuthibitisha kuwa havina deni lolote lile utasemaje? Credibility yako itabaki?
Mwisho kama hutojali nitapenda kama msemaji wa Singida Fountain Gate fc utuhakikishie kwa kutuonesha zilipo ofisi za klabu yako hapo / kule mkoani Singida kwani mwezi uliopita kuna mzee na mdau mkubwa wa soka mkoani Singida alisikika katika redio za ufm na hata efm akisema kuwa pamoja na Singida Fountain Gate fc kutamba kuwa na hela na mafanikio ila haina kabisa ofisi hapo Singida na kwamba ofisi za klabu yako ziko katika briefcase ya kiongozi / tajiri wenu
Taarifa: sports headquarters ya Efm radio hivi punde tu
tafadhali Hussein Massanza kwakuwa umesema kuwa hakuna klabu ya ligi kuu ya NBC isiyo na madeni je, unaweza kutusaidia mangumbaru ( tusiojua lolote ) madeni ya vilabu kama vya Simba, Yanga na Azam?
Na je, kwa huko kuropoka kwako kuvisemea hivyo vilabu kuwa vyote vinadaiwa walikutuma uvisemee?
He, kwa huku kukurupuka kuropoka kwako ikitokea baadhi ya vilabu vya ligi kuu ya nbc vikajitokeza na kukupa ushahidi wa financial statements zao na kuthibitisha kuwa havina deni lolote lile utasemaje? Credibility yako itabaki?
Mwisho kama hutojali nitapenda kama msemaji wa Singida Fountain Gate fc utuhakikishie kwa kutuonesha zilipo ofisi za klabu yako hapo / kule mkoani Singida kwani mwezi uliopita kuna mzee na mdau mkubwa wa soka mkoani Singida alisikika katika redio za ufm na hata efm akisema kuwa pamoja na Singida Fountain Gate fc kutamba kuwa na hela na mafanikio ila haina kabisa ofisi hapo Singida na kwamba ofisi za klabu yako ziko katika briefcase ya kiongozi / tajiri wenu