Kumbe St. Augustine University of Tanzania (SAUT) ni moto wa kuotea mbali

Unajua unaweza ukamaliza sijui udom, udsm naviita vyuo vyenye utitiri wa watu na mie nliosoma saut na kupata degree yangu..kikazi unakuta nna kaz nzur tu na mjinga yoyote atajisifu kasoma sijui ud sijui wapi lakin anaish kwa mawazo,jina la chuo halina mashiko,
nlienda interview na wenzako wa udsm na udom ila mbna wao ndo wameonekana vilaza? Tuwe makini katika hoja lasivyo tutakuwa kama watoto
 
Unajua unaweza ukamaliza sijui udom, udsm naviita vyuo vyenye utitiri wa watu na mie nliosoma saut na kupata degree yangu..kikazi unakuta nna kaz nzur tu na mjinga yoyote atajisifu kasoma sijui ud sijui wapi lakin anaish kwa mawazo,jina la chuo halina mashiko,
nlienda interview na wenzako wa udsm na udom ila mbna wao ndo wameonekana vilaza? Tuwe makini katika hoja lasivyo tutakuwa kama watoto

ilikua interview ya kazi gani hyo?
 
SAUT tuko juu! Achana na kasumba ya kizaman et UDSM na UDOM ndo kila kitu, kuna watu wengi tu na wamefanikiwa hapohapo saut!
 
SAUT tuko juu! Achana na kasumba ya kizaman et UDSM na UDOM ndo kila kitu, kuna watu wengi tu na wamefanikiwa hapohapo saut!

acha kujitutumua labda mko juu kwa idadi ya vilaza Tanzania,hiko chuo yani hakistahili kutoa degree sijui TCU nao wanautaratibu gani maana huwezi ku-admit watu wenye principle 1 kusoma bachelor kwa bridge coz fupi hvyo halafu leo mje kwa watabe wa muhimbil,ardhi,ud,mzumbe na sua eti mjivunie.
 
kaka serious hicho chuo bado sana cuz wanafinzi wengi wanao kwenda pale ni vilaza so how can you compare it with other universities ambazo wanataka wanafunzi waliofanya vizuri???.......wewe fikiria tu halafu njoo tena uchangie bado hakistahili kupewa sifa zozote na kuhusu eti wabunge hicho ni kipaji binafsi cha mtu ni sawa na ukute shule ya kata dogo kapiga div 1.7 o level halafu ticha aanze kujisifu kwamba ni juhudi binafsi za walimu acheni kuficha maradhi kifo kitawaumbua wana saut bora mueleze jukwaa ukweli.
i
Mkuu, nakubaliana na ww kwamba vyuo vingi binafsi idadi kubwa ya wanafunzi inaochukuwa ni wale ambao hawakufanya vizuri Form VI. Na wengi wanaenda huko baada ya kukosa vyuo vya serikali, hususani UDSM, SUA, Mzumbe na UDOM. Hata hivyo, nina mashaka endapo kutofanya vizuri Form VI basi huyo mtu ni kilaza na ku-conclude chuo chake sio bora kv inachukua wanafunzi wa design yake. Uzoefu unaonesha kwamba, hakuna guarantee ya 100% kwamba as far as mtu ali-perform vizuri form VI, basi huyo ataendelea kuwa best no matter what!! Wapo madogo wengi ambao wanafeli darasa la 7 na kwenda private schools na huko wanababua One za kutisha na sio zile za point 16, 17! Likewise, wapo watu kibao wanaotoka na One za kutisha O-Level na kwenda kuishia kupata III au hata IV A-Level. Nakumbuka wakati naingia A-Level, kuna demu tulianza kumfahamu wakati hata kuripoti school alikuwa bado! Demu alikung'uta Point 8 (O-Level) huko alikotoka, hivyo kila mtu alikuwa anakisubiria hicho kichwa kinachotisha!!! May be kwa shule kama Mzumbe, wasingeshituka kuckia kuna mtu anakuja na pt 8, lakini kwa shule kama Tambaza, ambayo dents wake wengi tulikuwa tunatoka DSM na usomaji wetu wa kimagumashi wa kutafuta Div II (enzi zile tulikuwa tunaita Div za kisela) pt 8 zilikuwa ni nyingi mno!!!! Hata hivyo, mwisho wa siku yule demu akaja kutoka A-Level na point 18 huku weengine wakijiuliza inakuwaje watu kama akina NasDaz ambao hata class hawaingii wanafanya wonders!!! Mjini shule bana, na hili ni fundisho kwenu mliosomea vijijini na hata mikoani! Usimuige mwenzako toka Aza boy, kibasila au Jite ute kwa kuona ni mtu wa chimbo sana halafu ukaiga staili yake----mwisho wa cku,utakuta ww unazungusha mwenzako anasonga!!! So, nachotaka kusema ni kwamba, chuo kuchukua cream ya form VI sio kigezo kwani hao hao cream wanaweza kuwa wabovu versity! Mimi siamini endapo SAUT ni wazuri kivile, lakini hata kama si wazuri kivile, bado kigezo hakiwezi kuwa inatokana na kuchukua wanafunzi ambao hawakupata One form VI! Kama chuo kina vigezo vya kutosha; well qualified and competent lecturers as well as enough facilities, basi am sure chuo hicho kinaweza kumbadilisha Div III holder (in form VI) na kuwa best graduate na kuwa competitive kwa kumlinganisha na graduates wenzake from the same field and from other versities!!
 
i
Mkuu, nakubaliana na ww kwamba vyuo vingi binafsi idadi kubwa ya wanafunzi inaochukuwa ni wale ambao hawakufanya vizuri Form VI. Na wengi wanaenda huko baada ya kukosa vyuo vya serikali, hususani UDSM, SUA, Mzumbe na UDOM. Hata hivyo, nina mashaka endapo kutofanya vizuri Form VI basi huyo mtu ni kilaza na ku-conclude chuo chake sio bora kv inachukua wanafunzi wa design yake. Uzoefu unaonesha kwamba, hakuna guarantee ya 100% kwamba as far as mtu ali-perform vizuri form VI, basi huyo ataendelea kuwa best no matter what!! Wapo madogo wengi ambao wanafeli darasa la 7 na kwenda private schools na huko wanababua One za kutisha na sio zile za point 16, 17! Likewise, wapo watu kibao wanaotoka na One za kutisha O-Level na kwenda kuishia kupata III au hata IV A-Level. Nakumbuka wakati naingia A-Level, kuna demu tulianza kumfahamu wakati hata kuripoti school alikuwa bado! Demu alikung'uta Point 8 (O-Level) huko alikotoka, hivyo kila mtu alikuwa anakisubiria hicho kichwa kinachotisha!!! May be kwa shule kama Mzumbe, wasingeshituka kuckia kuna mtu anakuja na pt 8, lakini kwa shule kama Tambaza, ambayo dents wake wengi tulikuwa tunatoka DSM na usomaji wetu wa kimagumashi wa kutafuta Div II (enzi zile tulikuwa tunaita Div za kisela) pt 8 zilikuwa ni nyingi mno!!!! Hata hivyo, mwisho wa siku yule demu akaja kutoka A-Level na point 18 huku weengine wakijiuliza inakuwaje watu kama akina NasDaz ambao hata class hawaingii wanafanya wonders!!! Mjini shule bana, na hili ni fundisho kwenu mliosomea vijijini na hata mikoani! Usimuige mwenzako toka Aza boy, kibasila au Jite ute kwa kuona ni mtu wa chimbo sana halafu ukaiga staili yake----mwisho wa cku,utakuta ww unazungusha mwenzako anasonga!!! So, nachotaka kusema ni kwamba, chuo kuchukua cream ya form VI sio kigezo kwani hao hao cream wanaweza kuwa wabovu versity! Mimi siamini endapo SAUT ni wazuri kivile, lakini hata kama si wazuri kivile, bado kigezo hakiwezi kuwa inatokana na kuchukua wanafunzi ambao hawakupata One form VI! Kama chuo kina vigezo vya kutosha; well qualified and competent lecturers as well as enough facilities, basi am sure chuo hicho kinaweza kumbadilisha Div III holder (in form VI) na kuwa best graduate na kuwa competitive kwa kumlinganisha na graduates wenzake from the same field and from other versities!!

umesomeka vema sana mkuu kuhusu dhana potofu ya vyuo
 
SAUT tuko juu! Achana na kasumba ya kizaman et UDSM na UDOM ndo kila kitu, kuna watu wengi tu na wamefanikiwa hapohapo saut!

Kwani UDOM nao wameshaingia kwenye competition? Maana nilikuwa nasikia kuwa ni chuo cha kata..
 
Vyuo vyote vya Tanzania vimejaa usanii mtupu.

Hata vyuo vikongwe kama Udsm, Sua na Mzumbe vimebaki majina ila ubora wa Elimu ni zero.

Watanzani tunaendekeza siasa sana, hapa tunabishana bila kuangalia vigezo gani tunatumia.
 
Kwani UDOM nao wameshaingia kwenye competition? Maana nilikuwa nasikia kuwa ni chuo cha kata..

hata udsm ilianza kama udom, tatizo kubwa udom wanataka kizeeke kabla ya kupitia ujana. Hili ni tatizo kubwa.
 
sijui unamaanisha nini?...

wewe mbona unakichwa kigumu hivyo? Yani vitu viko wazi mpaka tu uweke alama ya kiulizo ndo sentensi ikamilike au? Em rudi vidudu wakuelimishe tena maana bado ujaiva.
 
wote mnabishana ujinga tu elimu yenu imewasaidia sijui nini yaani siamini jina la chuo halikupatii GPA nzuri acheni ushamba wa kubishana na ukipata degree bila kuisaidia jamiii wewe ni mjingaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Kupata Div-I form Six na hatimaye ukapata admission UDSM, SUA na MU hakumanishi kwamba wewe ni bora kuliko wengine; wangapi tunakutana nao madarasani na wengine maofisini na hizo Div-One lkn bado wanashangaashangaa tu:

Huu si muda wa kujistukia provided umepata admission au umepitia kwenye Higher Learning Institution yeyote hapa nchini we ni bora na una nafasi kudhirisha ubora wako mbele ya jamii; hao akina Wenje na Machali tunawaona kwenye siasa lakini tukienda kwenye nyanja nyingine tuna wakuta vijana wengi sana wanaofanya vizuri na wanatisha; si kwamba wanatoka SAUT, UD, MU na SUA tu bali ata kwenye Vyuo vingine tena Taasisi tu mbazo ziko chini NACTE.

Tuache sifa za kijinga kila mmoja anawaajibika na ni lazima kuwajibika kwa nafasi yake.
 
Kupata Div-I form Six na hatimaye ukapata admission UDSM, SUA na MU hakumanishi kwamba wewe ni bora kuliko wengine; wangapi tunakutana nao madarasani na wengine maofisini na hizo Div-One lkn bado wanashangaashangaa tu:

Huu si muda wa kujistukia provided umepata admission au umepitia kwenye Higher Learning Institution yeyote hapa nchini we ni bora na una nafasi kudhirisha ubora wako mbele ya jamii; hao akina Wenje na Machali tunawaona kwenye siasa lakini tukienda kwenye nyanja nyingine tuna wakuta vijana wengi sana wanaofanya vizuri na wanatisha; si kwamba wanatoka SAUT, UD, MU na SUA tu bali ata kwenye Vyuo vingine tena Taasisi tu mbazo ziko chini NACTE.

Tuache sifa za kijinga kila mmoja anawaajibika na ni lazima kuwajibika kwa nafasi yake.

Nakuunga mkono kabisa maana suala kutoa viongozi wazuri aidha vyuoni au shuleni ni juhudi za mwanafunzi mwenyewe.
 
Ama kweli bongo tuko nyuma sana..sitaki kuamin mtu na akili timam unakaa kusifia chuo bila kujali mtaan kumekaaje? Kwenye soko la ajira tunacho angalia ni how potential the candidate is na sio eti unatoka chuo gani. Kwa ushauri tu plz students jitahidi kuwa well informed kwenye field yako ili uweze kukompete,jina la chuo halikup ajira kama hujui kitu.!
 
kaka serious hicho chuo bado sana cuz wanafinzi wengi wanao kwenda pale ni vilaza so how can you compare it with other universities ambazo wanataka wanafunzi waliofanya vizuri???.......wewe fikiria tu halafu njoo tena uchangie bado hakistahili kupewa sifa zozote na kuhusu eti wabunge hicho ni kipaji binafsi cha mtu ni sawa na ukute shule ya kata dogo kapiga div 1.7 o level halafu ticha aanze kujisifu kwamba ni juhudi binafsi za walimu acheni kuficha maradhi kifo kitawaumbua wana saut bora mueleze jukwaa ukweli.
Hamy-D ningependa kufaham 'which level are u' kielimu,ili niweze kuevaluate post zako sambamba na uelewa wako.!
 
Saut moto wa kuotea mbali wapi? Law school mnafeli! CPA mnafeli..aha aha
 
Just to mention few;

Rais JK-UDSM
Waziri mkuu Pinda-UDSM
Makamu wa kwanza wa rais wa znz Balozi Seif Idd- UDSM
Ex-PM Lowasa-UDSM
Waziri Mkuchika-UDSM
Waziri Ngeleja-UDSM

The list goes on,...........
ha ha ha haaaaaaaaa teh teh umeifanya jioni yangu kuwa bora kabisa acha nikapata serengeti japo 2,product za UD majanga tu inawekana wao ni wazuri kwenye paper tu lakini uongozi zero kabisa.
 
Back
Top Bottom