Dr Akili
JF-Expert Member
- Aug 21, 2011
- 4,954
- 4,327
Siyo ugonjwa unaosabishwa na virus wala mdudu yeyote. It is a non infectious disease.Ugonjwa huu virus vyake haviwezi kutengenezwa maabara kama vya koroma?
Siyo ugonjwa unaosabishwa na virus wala mdudu yeyote. It is a non infectious disease.Ugonjwa huu virus vyake haviwezi kutengenezwa maabara kama vya koroma?
No Sio hivyo ndugu yangu. Covid 19 inaanza kama malaria, uchovu mwingi pamoja na misuli kuuma na homa kwa mbali. Hizi dalili zinaweza kudumu kwa siku 4 mpaka 6 then siku ya 7 mpaka 9 ndio siku za hatari zaidi maana hapa unaweza kuamka asubuhi mbavu zinabana pamoja na kifua kuuma na kupumua kwa shida. Ukifanikiwa kuvuka salama siku 11 za mwanzo then uwezekano wa kupona ni mkubwa sana.Cardial Arrest inakukuta uwe ama huna malaria. Na sometimes dawa kali zinaweza kuchangia cardial arrest.
Corona haina tabia ya kuua kirafiki kwamba utaongea na watu kisha unakufa gafla. Corona inakubana upumuaji kwa muda mrefu na mateso ya kupumua hayakupi nafasi ya kupiga hadithi.
Mitazamo tu ... am not mjuaji wala mtaalam
Tabu banaa looh😂😂😂😂 mbona ulikuwa ni uchaguzi wa Yale makundi 5 ya wanawake CCM.....Alikua anafuatilia matokeo ya uchaguzi, nadhani kunamatokeo yalimpa mshtuko.
Tabu mchokonozimchokonozi mwangalie vile.....Ila wananchi waache uzushi..
Wengine wanasema eti ili kuficha ujio wa lissu,
Nani asiye na ubinadamu afanye haya eti kuogopa lissu.
Nadhani wananchi watulie na wazingatie sababu zinazo elezwa.
Wanabodi,
Kumbe sababu ya kifo cha Mpendwa wetu, Benjamin William Mkapa ni Cardiac Arrest!.
Asante sana Mwanafamilia wa familia ya Mkapa, William Erio, kuusema ukweli huu na kumaliza rasmi ile sintofahamu ya chanzo cha kifo, ambayo imezua mijadala kwenye mitandao ya kijamii ikiwemo JF.
Kama Tangazo la kifo lingezingatia sheria tangu pale mwanzo, wala kusingetokea sintofahamu yoyote!.
Hivyo japo haijasemwa ni JF, lakini amini usiamini, mabandiko kama haya
Tangazo la kifo cha Benjamin Mkapa, Kurungenzi ya Mawasiliano Ikulu lawamani. Inahitaji kusaidiwa kumsaidia Rais - Jicho Letu Ndani ya Habari
Japo yanalaumiwa kwa kuonekana watu wana mind vitu vidogo vidogo ambayo sio vya msingi, lakini yanasaidia.
Chanzo cha kifo cha ghafla cha any state leader ambaye hajawahi kutamkwa kusumbuliwa na maradhi yoyote, automatically kita send a shock wave kwenda viral.
Baada ya kauli hii, sasa minongo yote kuhusu chanzo cha kifo imemalizwa rasmi.
Naombeni sana, wanabodi, tuwe na heshima kwa viongozi wetu na tuwe na heshima kwa marehemu, mkiisha ambiwa ukweli wa familia, then tuupokee ukweli huu, tuuamini, na kumheshimu Marehemu kwa kuto toa comments zozote negative based on hisia!.
RIP, Mhe. Rais Mstaafu, Benjamin William Mkapa.
Paskali
Moja ya sababu kuu ya Cardiac Arrest ni Heart Attack
Kumbe najibizana na wazushi walozusha ni corona kwaheri sitaki kupoteza muda wanguTafasiri ya umbea ni kupokea taarifa au kusambaza taarifa ambayo hukuiomba hata wewe ni mbea kwani unahangaika kukataa siyo corona huo ni umbea pia, maana ya umbea ni kusikiliza kupokea taarifa ambazo hukuziomba zije bali zimeletwa na watu.
Ndugu ansema mzee alilazwa kwa maralia na ndiyo aliyokuwa anatibiwa; cardiac arrest imemkuta akiwa amelala akiendelea na matibabu hayo. Kueneza uvumi wowote bila kuwa na uhakika siyo jambo jema kabisa. Taarifa kamili ni za kutoka kwa daktari wake na ndugu zake wa karibu. Ukishawapinga hao basi unakuwa na ajenda yako tuHivi cardiac arrest huwa mgonjwa analazwa hospitali, anapiga stori na wanaomtembelea wee ndipo inamuua? Hapa kuna walakini. Itoshe tu kusema RIP Mkapa. Mambo mengine wanafamilia waendelee kuyafanya siri yao, wasiingie kwenye mtego wa kutuliza uvumi unaoendelea.
Tanzania kumekuwa na ongezeko la conspiracy theorists sana siku hizi. Hawamuamini hata ndugu wa marehemu aliyekuwa naye hospitali hadi anapokata roho. Mpaka wanafikia kupinga kuwa mtu hawezi kufa kwa cardiac arrest bila kujua kuwa watu wote waliopatwa na cardiac arrest wakiwa wamelala hufa; wanaopona ni wale wanaopatwa na cardiac arrest wakaanguka ambapo huduma ya haraka ya CPR huweza kuokoa maisha yao. Ndugu anasema marehemu alimaliza kusikiliza taarfa ya habari akalala, na daktari walipokuja kumwangalia akamkuta keshafariki. Ni taarifa gani tunazohitaji ili turidhike?
Zamani kidogo kulikuwa na kijana maarufu akijulikana PDiddy wa Maimartha alipata cardiac arrest akaanguka mtaani na kufa hapohapo
Kwa kiongozi wa kitaifa kusema aliumwa maralia naona ni sawa na kusema aliumwa kipindupindu- NI AIBUTumetafuna pesa nyingi sana kama taifa kwa Kampeni za kutokomeza Malaria, na hata kufikia hatua ya wagonjwa wengi kupimwa nankukutwa hawana malaria na nafasi yake kuchukuliwa na UTI &/au Typhoid.
Leo hii tena BEN afe kwa malaria!!!! Ajabu gani hii
Umeambiwa hivi ili binadamu afe nilazima pawepo na shambulio la moyo, watu wanachotafta ni hilo shambulio la moyo limesababishwa na nini?Ndugu zangu wenye chuki mnapata tabu sana, Kwani wewe umeambiwa Shambulio la moyo ni lazima liwe na connection na Malaria. Cardiac arrest inaweza kutokea kwa mtu yoyote hata yule ambaye hajawahi kuwa na historia kuugua Moyo
Mda unao mwingi tena mda wa kukataa ukweli hata kusingizia kafa kwa Ugonjwa wa moyo ni uzushi kumbe tunajibizana na wewe MzushiKumbe najibizana na wazushi walozusha ni corona kwaheri sitaki kupoteza muda wangu
Mkuu ukweli huyo mzee hakufa kwa shambulio la moyo bali kafa kwa Corona lakini wameamua kufanya siriUmeambiwa hivi ili binadamu afe nilazima pawepo na shambulio la moyo, watu wanachotafta ni hilo shambulio la moyo limesababishwa na nini?
Malaria inatokana na kuumwa na mbu mmoja tu. Rais Mkapa anaweza kuwa ameumwa na mbu huyo wakati akitoka kwenye mkutano wa CCM; siku hiyo alikuwa amevaa shati la mikono mifupi. Malaria huathiri sana wale ambao huwa hawaumwi na mbu kuliko wale ambao wamezowea kuumwa na mbu kila siku.Kwa kiongozi wa kitaifa kusema aliumwa maralia naona ni sawa na kusema aliumwa kipindupindu- NI AIBU
Yupo wapi maana yawezekana nimechanganyaMuongo hayupo PSSSF