Kumbe Rwanda Bureeeeee!

Kumbe Rwanda Bureeeeee!

Hivi we Kijakazi umewahi kufika Rwanda?Au umedadisi kuhusu nchi hii ndogo na ukapata linalohusu umeme ukaona umemaliza kuhusu Maendeleo ya Rwanda?

Umeme ndio kila kitu, hayo mengine ya kufagia barabara na kusafisha Majengo ya vioo hayasemi kitu chochote, Ukitaka kujua nchi inamaendeleo kiasi gani angalia uzalishaji wake wa Nishati kwa maana hapo ndipo kila kitu kilipolalia, bila hiyo hakuna kitu unaweza kufanya, hayo mengine Wazungu wanaita lip service tu! Yaani Rwanda leo hii viwanda vyetu kama Tanelec au MM Steel hakiwezi kufanya kazi, kwa kuwa hakuna Umeme wa kutosha sasa hayo maendeleo yako wapi?
 
GDP inachangia kujua thamani ya uchumi wa nchi sikatai,ila inapatikana kwa kugawanya pato la taifa kwa idadi ya watu,,sasa linganisha millioni kumi na millioni arobaini na tano,,mwanza pekee inatumia 43mw per day,,,

per capital income.USD
RWANDA-580.
Tanzania-550.
Southafrica-8342.
Gabon-10,980.
Shelisheli-11,117.
Haina maana kuwa gabon iko juu kimaendeleo kuliko africakusini.
Hata Qatar per capital income yake iko juu kuzidi nchi yeyote ikiwemo marekani.
GDP ya tanzania huwezi linganisha na ya rwanda,ya tanzania iko juu.
GDP ya nchi ndogo kama israel licha ya kuwa na watu milioni nane tu,inaizidi GDP ya Tanzania maradufu.kwasababu ni nchi iliyopiga hatua kiuchumi.
Wakati Rwanda ina watu milioni kumi GDP yake inazidiwa maradufu na GDP ya Tanzania.
 
Maendeleo ni ya watu na sio vitu kama Vasco Dagama anavyowapoteza wadanganyika kuwa foleni za magari barabarani ni maendeleo!!!

ni kiashiria cha maendeleo..hebu uende Timbuktu kama utakuta trafficjamming.
 
per capital income.USD
RWANDA-580.
Tanzania-550.
Southafrica-8342.
Gabon-10,980.
Shelisheli-11,117.
Haina maana kuwa gabon iko juu kimaendeleo kuliko africakusini.
Hata Qatar per capital income yake iko juu kuzidi nchi yeyote ikiwemo marekani.
GDP ya tanzania huwezi linganisha na ya rwanda,ya tanzania iko juu.
GDP ya nchi ndogo kama israel licha ya kuwa na watu milioni nane tu,inaizidi GDP ya Tanzania maradufu.kwasababu ni nchi iliyopiga hatua kiuchumi.
Wakati Rwanda ina watu milioni kumi GDP yake inazidiwa maradufu na GDP ya Tanzania.

hizi figure hapo juu umezitoa wapi!!! Google per capital income by cia utaona tz ni usd 1600, rwanda usd 1500, kenya usd 1700 inayoongoza ni qatar yenye per capital income ya usd zaidi ya 100000.
 
Mi nadhan topic haikuwa na maana ya kulinganisha Tz na Rwanda kiuchumi ila ni kinachozungumziwa Rwanda ni namna walivyopita katika kipindi kigumu na wakakuwa kwa kasi Taifa ni kama lina miaka 19 limetoka vitani na walau limefika hapo walipofikia sasa hyo kasi ya maendeleo ndio inayozungumziwa ila mkianza kujadili kwa kulinganisha na Tz mnapoteza muda wenu tu Tz imekuwapo miaka mingi na ina vigezo vya kiuchumi,kikubwa ni kukubali kwammba Rwanda imeenda kasi sana kujiletea maendeleo na si kuanza kulinganisha Tz na Rwanda.
 
Huyu mtu hajasoma uchumi, mwache! Kama RwF 630 = 1USD, na Tsh 1660= 1USD halafu mtu anasema ni bureeeee!! Hamna kitu hapo usitoke povu utajichosha bure tu!! Ukizungumzia GDP ndio unamvuruga kabisaaa!!

Kwani exchange rate ya dola ndiyo inaonyesha maisha ya wananchi,kulinganisha Rwanda na Tanzania ni sawa na kulinganisha kichuguu na mlima Everest.Tanzania ni kama mlima Everest then Rwanda ni kakichuguu tena kwa upande wa Kigali lakini ukiondoa Kigali sehemu iliyobaki ni vimiinuko ambavo vipo 0.0000099 usawa wa bahari.So dont ever compare Tanzania and Rwanda utatufanya tutapike chakula chetu bure
 
Kagame ndo raisi mwenye akili na makini kuliko wote E.Africa mleta uzi kama unajaribu kutuambia vinginevyo kakojoe ukalale
 
hizi figure hapo juu umezitoa wapi!!! Google per capital income by cia utaona tz ni usd 1600, rwanda usd 1500, kenya usd 1700 inayoongoza ni qatar yenye per capital income ya usd zaidi ya 100000.

Mkuu sources za data zinachanganya kidogo lakini data za Miaghay ni sahihi nilimsikiliza Beno ndulu Per capital income yetu ni hiyo hiyo
 
Exchange rate haimaanishi uchumi mxuri. Please revisit the books

Uko sahihi. Alitakiwa angalau kusema Real Exchange Rate. Not nominal exchange rate. Hopeless kabisa huyo jamaa. Kijakazi yupo juu.
 
Mi nadhan topic haikuwa na maana ya kulinganisha Tz na Rwanda kiuchumi ila ni kinachozungumziwa Rwanda ni namna walivyopita katika kipindi kigumu na wakakuwa kwa kasi Taifa ni kama lina miaka 19 limetoka vitani na walau limefika hapo walipofikia sasa hyo kasi ya maendeleo ndio inayozungumziwa ila mkianza kujadili kwa kulinganisha na Tz mnapoteza muda wenu tu Tz imekuwapo miaka mingi na ina vigezo vya kiuchumi,kikubwa ni kukubali kwammba Rwanda imeenda kasi sana kujiletea maendeleo na si kuanza kulinganisha Tz na Rwanda.

Hakuna lolote pale rwanda. Mnadanganywa. Mimi nimefika. Labda muwasifie kufyagia barabara. Na serikali inakusanya mapato. Sio kama hapa kwetu mapato ya serikali yanakusanywa na Home shopping center.

 
hizi figure hapo juu umezitoa wapi!!! Google per capital income by cia utaona tz ni usd 1600, rwanda usd 1500, kenya usd 1700 inayoongoza ni qatar yenye per capital income ya usd zaidi ya 100000.

unaweza ukawa sawa kidogo.hiyo niliyoweka ni per capital income based on nominal GDP.
Kuna gross domestic income based on purchasing power(PPP)ambayo nadhani ndo umeweka.
Figure kwa mwaka 2013
ni kama hivi.
RWANDA.
GDP(PPP)=TOTAL~16937 billions USD.
Per capital=1,592 USD.
GDP(Nominal)
Total =7,769 billion USD.
Per capital=730.
TANZANIA.
GDP(PPP)=73,859 billion Usd<2012>.
Per capital~1566.usd.
GDP(Nominal)=28,247 billion usd.
Per capital=599.usd.
 
Nimekuwa nikisia makelele meengi kuhusu hii nchi ya Rwanda kwamba ndio mfano wa kuigwa na blah blah nyingi, nikataka niijue zaidi, kumbe hamna chochote hii nchi ina watu zaidi ya
Milioni 10 na uwezo wao wa kuzalisha Umeme ni Megawatt 80 MW tu!!!! nimepigwa na Butwaaa sasa hizo kelele zote za Bw.Kagame hivi Kagame vile ni za nini?
Maendeleao gani hayo yanayoongelewa huko Rwanda kama watu milioni 10 hawawezi kutumia MW 80 za umeme?
Au labda tafsiri ya maendelo imebadilika? au kufagia barabara hapo Kigali ndio maendeleo, hakika hawa jamaa wanasifiwa bureeee tumewaacha mbali saaana, duh Megawati 80 watu milioni zaidi ya milioni 10!

Mkuu angalia facts zako kwanza kabla ya kuweka mambo hapa .... .... ... ... hizo 80MW ... ooops naambiwa wana-import 80 million kwh estimate ya 2009 na wanatumia 304.1 million KWH estimate ya 2009 wana-export 2million KWH sasa uhusiano wa MW 80 unaweza kufafanua kama ukipenda ingawa huyu Kagame ni msaliti na killer ... ... mambo yake mengi yako nyuma ya pazia ... .. Koba anafahamu zaidi yeye kakimbilia Marekani siku nyingi tu yupo hapa naona hajaona huu moto. (population 12 012 589) ya mwaka huu.



FYI Tanzania production 4.489 billion KWH estimate ya 2009 na matumizi 3.589 billion KWH .... ... .. .. hatuuzi wala ku-import ... ..... .. (population est 48 261 942) ya mwaka huu.
 
Nimekuwa nikisia makelele meengi kuhusu hii nchi ya Rwanda kwamba ndio mfano wa kuigwa na blah blah nyingi, nikataka niijue zaidi, kumbe hamna chochote hii nchi ina watu zaidi ya
Milioni 10 na uwezo wao wa kuzalisha Umeme ni Megawatt 80 MW tu!!!! nimepigwa na Butwaaa sasa hizo kelele zote za Bw.Kagame hivi Kagame vile ni za nini?
Maendeleao gani hayo yanayoongelewa huko Rwanda kama watu milioni 10 hawawezi kutumia MW 80 za umeme?
Au labda tafsiri ya maendelo imebadilika? au kufagia barabara hapo Kigali ndio maendeleo, hakika hawa jamaa wanasifiwa bureeee tumewaacha mbali saaana, duh Megawati 80 watu milioni zaidi ya milioni 10!

Hapa naona unaongea kisiasa zaidi. Yaani katika kutakakuifahamu Rwanda na strategies zake za maendeleo unagoogle kidogo tu nakuona kiwango cha umeme wanazalisha unakuja na conclusion ya kujitapa "RWANDA HAWATUWEZI"......! Ama kweli Mitanzania tuna matatizo, tena TUMELAANIWA!
 
Mkuu sources za data zinachanganya kidogo lakini data za Miaghay ni sahihi nilimsikiliza Beno ndulu Per capital income yetu ni hiyo hiyo

nimekupa source u google cia per capital income, wewe unanukulu maneno ya ndulu, nipe source
 
watanzania tunahitaji kujipanga vizuri, leo hii tunaanza kujilinganisha na rwanda inayotegemea kuiba resources congo ni aibu kubwa, tulitakiwa at least kujilinganisha na afrika kusini (kwa resources tulizonazo), lakini leo hii kujilinganisha na rwanda inabidi tujiulize mara mbili tumejikwaa wapi?
 
Huyu mtu hajasoma uchumi, mwache! Kama RwF 630 = 1USD, na Tsh 1660= 1USD halafu mtu anasema ni bureeeee!! Hamna kitu hapo usitoke povu utajichosha bure tu!! Ukizungumzia GDP ndio unamvuruga kabisaaa!!

hii ni jamii ya wakina Tambwe Hizza,achana nao
 
yaani hiyo MW 80 ndio matumizi ya Umeme ya Rwanda kwa watu zaidi ya milioni 10, maanake changanya kila kitu, kila Nyumba ikiwasha taa, kila kiwanda kikizalisha kwa kiwango cha juu, watu wote wakiwa kazini mchana na viyoyozi na kila kitu, wachomea welding wakifanya kazi, mafundi gereji wakiwa kazini n.k ndio wanagonga hapo kwenye MW 80, yaani siku MM steel yetu akitaka kuhamishia kiwanda chake Rwanda nchi nzima itazima kwa kukosa Umeme, yaani huo ni umeme labda wa Wazo Cement na MM steel tu!
yawezekana umeme wao una booster
 
nimekupa source u google cia per capital income, wewe unanukulu maneno ya ndulu, nipe source

And you believe google is always right? Source from the government inasema hiyo ndo Percapita income yetu wewe unaanza kukomaa na habari za google,goole inajua Per capital income yetu kuliko serikali yetu?
 
Back
Top Bottom